Kununua shati Kariakoo kidogo nigeuzwe mwizi

Yes hizi ndio story zetu pendwa hapa JF tukijipoza na mtanange wa bwana dipii wed
 
UMUGHAKA """"Yule mwanamke nimeshampeleleza na anaishi Mbezi Tangi bovu,sasa nitakachomfanya hatokuja kusahau na lazima atakuja kunipigia magoti.Na yeye ndiye atakayenipa mtaji wa Bajaji,subiri uone"""

Mkuu kama utahitaji msaada wa ku deal na huyu mtu nipo chonde chonde mkuu napenda fursa kama hizi. Lile kofi lazim atalipia aiseee

Naomba collabo mkuu tukafanye kitu achana na mtaji wa bajaji kuna vingine vingi tu kutoka kwa huyo shangazi..
 
Mkuu kama uko vizuri lete hizo nguvu niunganishe na zangu ninazozifahamu tumshughulikie,amenidhalilisha sana yule mjinga
 
Hahahaha mi nikiona thread zako nafurahi tu

Sasa kama uko ulipigwa likibao na ukufanya kitu utamuweza master GENTAMYCINE si atakuvunja mbavu

Case ya wanga hiyo kawaida.
Kunitaja katika Mada za Kipuuzi na za Wapuuzi ni Kunidhalilisha tu Mkuu sawa? Sipendi na Sijapenda.
 
Soko liliungua Urambo Tabora mwaka juzi watu wanalia mapaka yao yamepotea.Nadhani ukiuliza watu wa Urambo mjini watakupa hii story
Dunia ina mambo sana yani badala ya kulilia mitaji yao wao wanalilia paka
 

Mtu anauwawa kimasihara, Mbaya sana
 
Pamoja na hayo lakini nilikuwa nikijitetea,kilichosaidia ilikuwa muonekano wangu!.Aiseee yule mama kumbe nilipomuona yule dogo ndiyo niliharibu kabisa na nadhani ni Mungu tu lakini vinginevyo nilikuwa napigika vibaya sana hadi kuchomwa moto.
Wacha porojo wewe, mwonekano wako ni wa kichoko ndiyo maana walifikia kukupiga makofi! Halafu mwamba wewe ni day waka tu yaani unategemea upate mtaji wa bajaj? Kazi kweli kweli!
 
Ndio umejua leo [emoji1787] tafuta pesa Mkuu hizo siri ziwe zako na watu wakushangae namna utakavyoishi Maisha mazuri na ya Kitajiri.
 
Kijana ulipewa mkoba na wataalamu ama umeonaje yasiyoonekana !?
 
CHAI. UKIKAA UNAWAZA UTOKE NA CHAI GANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…