Kununua shati Kariakoo kidogo nigeuzwe mwizi


Tangazo zuri
 
Mkuu kama uko vizuri lete hizo nguvu niunganishe na zangu ninazozifahamu tumshughulikie,amenidhalilisha sana yule mjinga
Nguvu zipo...
Yaani kakuzalilisha vya kutosha. Huyu ilibido yeye awe down kwako sio kama alivyo fanya.
 
Unakuwa mtumwa wakiumbe nawe ni walewale tu washirikini….
 

Kumbe ni wewe?
Mimi ndiye nilikuzaba lile kofi!
Ila potezea mwana!
 
Kuna jamaa anauza chup ni mchaw yule jamaaa mtu ananunua chakula ugali na mboga au wali na mboga ila anakunywa mchuzi tu chakula hali hata kidogo.
 
Kipya sio nyuzi yako hii inaweza ikawa chai kama chai zingine naona umeota kiburi skuhizi dogo ila huna jipya kwenye biashara ya mtu akikufukuza huna haja ya kubisha mara mbili upo town ila mshamba stuka dogo janja
Mara umuite mshamba mara umuite dogo Janja..πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

jerry relax, Australia haujakubadilisha broda?
 
umenikumbusha mbali sana ndugu yangu,....nikiwa mlowo kipindi hicho ipo bado ndani ya mkoa wa mbeya, tuliingia dukani mimi na binamu zangu wawili....muuzaji alikuwa mzee wa makamo mwanaume, amekaa kwenye kiti cha plastic...wote tukamsalimia mzee then tukaomba atupatie counter books πŸ“š tisa...mzee akiwa anahangaika na ngazi kupanda kutuchukulia mzigo wetu kwenye shelvu za juu, ghafla nikamwona mmama mmoja amekaa kwenye kiti kinginge cha mbao kilichopo kwenye moja ya kona ya duka kwa utulivu wa hali juu mno ndani ya mavazi ya rangi ya damu ya mzee mchanganyiko na nyeusi,..nikadhani hatukumuona hapo kabla sababu ya haraka zetu,...nikamsalimia yule mama shikamoo mama,.hakujibu..ajabu ni kuwa wale binamu zangu wawili wakaniuliza unamsalimia nani, ndipo na yule mzee kusikia hivyo akageuka na kukuta hamna mteja yeyote zaidi yetu,. nayeye tena akaniuliza, hiyo mama shikamoo unampatia nani, muda huo ameshachukua zile counter books πŸ“š anazihesabu,..nikajibu kirahisi tu,...si yule mama pale kwenye kona,...mzee alihamaki isivyo kawaida..binamu zangu wakaanza kucheka na kusema umechanganyikiwa mbona hamna mtu yeyote pale kwenye kona, nilishituka lakini ajabu bado nilikuwa nikiendelea kumuona ,alitupatia mzigo wetu chap tukampa pesa na kusepa, tukiwa tunaondoka mzee aliniita , we kijana mrefu njoo hapa, akauliza wewe n mwenyeji wa hapa nikajibu hapana,....kwenu wapi?... nikamtajia...akaniambia tu,..naomba usije tena dukani hapa, sikutaka mambo mengi kwani tayari nami niliingiwa na hofu na hata hivyo nilikuwa chaliii sana kwa kipindi hicho...niliondoka chap..siku kama tatu mbeleni hakufungua duka ,kwani mjombA alikuwa akienda kumcheki kuhoji nn kilitokea mpaka akafikia maamuzi hayo...mjomba na huyo muuzaji walikuwa wakifahamiana kiasi, na hivyo baada mjomba kusimuliwa mkasa huu alitaka kujua zaidi.....haya mambo ni bahati mbaya sana huwezi kuthibitisha kirahisi mbele ya umma,..but it's just (KUA UYAONE)
 
Yaani mkuu ukimueleza mtu hawezi elewa mpaka ajionee mwenyewe
 
Pole mura
 
kwa nyomi la maduka kkoo huwa napata wakati mgumu sana kuamini ni kudra tu zinatumika kuuza bidhaa.
 
Mama Mungi Ni mchaga piwa.halafu Kuna watu wanasema wachagga sio washirikina.
Kumbuka mazezeta mengi yanapatikana Uru kuliko sehemu nyingine yoyote Tanzania.
Peleka chuki Yako huko
Kwahyo Tanzania tunavyoambiwa ni nchi maskini watu wote ni maskini ? Kwahyo MTU mmoja akiwa mchawi wote ni wachawi? Shenzi kbs wewe maskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…