Kununua Vifaru vya Kivita Kutoka China na Urusi ni kujiandaa kushindwa vita

Kununua Vifaru vya Kivita Kutoka China na Urusi ni kujiandaa kushindwa vita


Nilikuwa nadhani Platnum Members wanaakili 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Umri wako miaka mingapi mleta mada?

1728272751633.png
 
nyie bishaneni..ila aliegundua vifaru ni mfaransa tena mwenye cheo cha kepten tu.ila majeshi yenu ya kiafrika hata bodaboda ya kivita inawashinda..wanachowaza ni kuwekewa manyota meengi mabegani ili ajitatape akipita mtaani aogopeke.
 
Basi kanunue vifaru china upeleke kwenye uwanja wa mapambano halisi uone kipigo utakachopokea.
Muwe mnatumia akili ninyi.
Ununuzi wa silaha na ujuzi wa matumizi ni mambo mawili tofauti.
Ukraine kapewa leopard 2 tanks na Abrams tanks zinazosifika hatari kwa vita Russia kateka vifaru vyote.
Hivyo vifaru unavyovidharau alipewa North Korea apigane na South Korea na akashinda vita.
Hata upewe silaha ya aina gani kama huna ujuzi na mbinu utapigwa tu.
Hivi unajua Egypt iliikomboa Sinai peninsula kwa vifaru vya Russia 1973!??
Kama hamjui kitu nyamazeni aisee sio lazima muongee.
 
Kuna watu mnaongea tu kama mashabiki oyaoya wa Simba na Yanga na hata hamjui mnachoongea.

Vifaru vya China kama VT-4 ni vya kisasa, sio vya gharama kubwa kutokana na production run kuwa kubwa na sharing of technology na PLO's MBT, vina active protection system ukitaka package yake unapewa, vinaweza fyatua kombora kupitia kwenye cannon yake 120mm, vina injini moderst ya 1200HP, transmission sio hydropneumatic sababu maintenance yake ni kubwa nchi zetu hizi hazimudu, vina automatic loader, vina composite armour na armour plates unaongezewa ukitaka, vina electronics za kisasa kama NV na shabaha vinalenga vizuri sana.

VT-4 inaizidi mbali type yoyote ya T-74 ya Urusi, T-80 Oplot ya Ukraine na early T-90 za Urusi. Early Leopard 2 za Ujerumani, Challenger za UK na Abrams za Marekani hizi walizopewa Ukraine hazisogei popote kwenye uwezo wa VT-4.

Hamna anayeweza nibishia labda kwa maneno ya vitenge na khanga. Kwenye open details, facts, performance kwenye tests hasa za Southern Asian countries hakuna anayeiacha VT-4 achukue hivyo vifaru nilivyotaja.
 
Vifaa vya Kizungu especially US na EU kiukweli zina quality kubwa sana.
 
Kuna watu mnaongea tu kama mashabiki oyaoya wa Simba na Yanga na hata hamjui mnachoongea.

Vifaru vya China kama VT-4 ni vya kisasa, sio vya gharama kubwa kutokana na production run kuwa kubwa na sharing of technology na PLO's MBT, vina active protection system ukitaka package yake unapewa, vinaweza fyatua kombora kupitia kwenye cannon yake 120mm, vina injini moderst ya 1200HP, transmission sio hydropneumatic sababu maintenance yake ni kubwa nchi zetu hizi hazimudu, vina automatic loader, vina composite armour na armour plates unaongezewa ukitaka, vina electronics za kisasa kama NV na shabaha vinalenga vizuri sana.

VT-4 inaizidi mbali type yoyote ya T-74 ya Urusi, T-80 Oplot ya Ukraine na early T-90 za Urusi. Early Leopard 2 za Ujerumani, Challenger za UK na Abrams za Marekani hizi walizopewa Ukraine hazisogei popote kwenye uwezo wa VT-4.

Hamna anayeweza nibishia labda kwa maneno ya vitenge na khanga. Kwenye open details, facts, performance kwenye tests hasa za Southern Asian countries hakuna anayeiacha VT-4 achukue hivyo vifaru nilivyotaja.
Sasa kama crew umetoa nyunzi nzito hivi utashangaa anakuja Lucas Mwanshamba kukubishia
 
Ukraine imepewa vifaru kutoka Marekani,UK,German,nk mf.Abraham(US),Leopard-2(Germany),nk nenda kamwulize Zelensky vimemsaidia nini.
amefanikiwa kumdindia mrusi hadi mwa wa 3 kasoro sasa.
 
Hujui vimemsaidia nin ? Urusi ilikuwa nje ya Kyiv ila ss hv wapo wap ?Ukraine yupo ndan ya Urusi Sasa , hv unahitaj kuelelezwa hata hizo taarifa Kila mtu anajuwa
Fuatilia taarifa vizuri! Russia Forces kwa sasa wanamaliza kazi Donbass na majimbo mengine iliyoyateka! Wakati anamalizia kazi Donbass na maeneo aliyoteka anakuja kumalizia Kursk!
Vita ni akili ndugu!
Lengo la Ukraine kuvamia Kursk ilikuwa kuitoa Russia kwenye malengo yake! Ukraine ilitaka Russia ikimbie na kuyaacha majimbo iliyoyateka ili akapigane na Vikosi vya Ukraine Kursk! Russia haikushituka inajua ikimaliza kazi kule Donbass na majimbo iliyoyateka inardudi kusafisha Kursk!
 
Hujui vimemsaidia nin ? Urusi ilikuwa nje ya Kyiv ila ss hv wapo wap ?Ukraine yupo ndan ya Urusi Sasa , hv unahitaj kuelelezwa hata hizo taarifa Kila mtu anajuwa
Fuatilia taarifa vizuri! Russia Forces kwa sasa wanamaliza kazi Donbass! Wakati anamalizia kazi Donbass na maeneo aliyoteka anakuja kumalizia Kursk!
Vita ni akili ndugu!
Lengo la Ukraine kuvamia Kursk ilikuwa kuitoa Russia kwenye malengo yake! Ukraine ilitaka Russia ikimbie na kuyaacha majimbo iliyoyateka ili akapigane na Vikosi vya Ukraine Kursk! Russia haikushituka inajua ikimaliza kazi kule Donbass na majimbo iliyoyateka inarudi kusafisha Kursk!
Jiandae Kisaikolojia! Wafadhiri wa Ukraine wameshaona hakuna namna lazima Zelensky aachie majimbo yaliyotekwa na Russia.
 
Sielewi akili yako ikoje. Kwa hiyo leo hii Museveni akivamia Tanzania eneo lililo kaskazini mwa mto Kagera kama alivyofanya Amini miaka ile wewe utasema tukubali yaishe Museveni achukue eneo "alilokwisha teka".

Una akili finyu sana kuhusu utaifa iwapo unadhani ni sawa kwa Ukraine kuachia eneo lao lilovamiwa na urusia kwa madai kuwa limetekwana Urusi. Urusi ni nchi yenye eneo kubwa sana duniani, wanataka nini kwenye ardhi ya Ukraine kama siyo uchokozi na kiburi tu?
Sheria ya Vita,mshindi anayo haki ya kuchukua maeneo aliyoteka . Field marshall Idd Amin hakushinda Vita ndio maana Kagera haikuchukuliwa. Yale maeneo ya Urusi Kwa haki
 
Sielewi akili yako ikoje. Kwa hiyo leo hii Museveni akivamia Tanzania eneo lililo kaskazini mwa mto Kagera kama alivyofanya Amini miaka ile wewe utasema tukubali yaishe Museveni achukue eneo "alilokwisha teka".

Una akili finyu sana kuhusu utaifa iwapo unadhani ni sawa kwa Ukraine kuachia eneo lao lilovamiwa na urusia kwa madai kuwa limetekwana Urusi. Urusi ni nchi yenye eneo kubwa sana duniani, wanataka nini kwenye ardhi ya Ukraine kama siyo uchokozi na kiburi tu?
Watanzania wenzangu tujifunze kuchanganua mambo bila kuweka mahaba mbele.Kuna wakati nilikuwa muhanga wa kuamini kila kinachotangazwa na Western media.Lakini baada ya Vita ya Yugoslavia na ile ya Iraq ya miaka ya 2000 nilijifunza jinsi hawa watu wa magharibi wanavyotumia vyombo vyao vya habari kueneza propaganda za serikali zao.kama unakumbuka wote walituaminisha Saddam ana silaha za sumu wakati ukweli wakijua hana hata chupa moja ya silaha za sumu.Baada ya vita wachambuzi huru walitoa tathmini jinsi vyombo kama CNN,SKYNEWS,BBC,DW nk vilivyotumiwa kwenye propaganda.Tokea wakati huo nakuwa makini kuzitazama kwa jicho la pili habari zao.
Hivi mnajua ya kwamba habari yeyote inayotolewa ndani ya Israel tayari inakuwa imeishachujwa? Habari yeyote lazima serikali ya Israel iikubali kwanza ndio iruhusiwe kurushwa.Hivi majuzi yalirushwa mabomu ya Ballistic na Hypersonic ambayo nafasi ya kuyazuia ni ndogo kwa ballistic na haipo kabisa kwenye Hypersonic.Lakini mwanzoni tuliambiwa kupitia Skynews na CNN kuwa yote yeamezuiwa.Ukweli halisi haukuweza kujificha kwani kuna raia wa Israel waliorekodi live TIK TOK ,na hata baadae BBC waliona aibu na kutangaza kuwa Iran wamefanikiwa kuzipiga kambi 2 za jeshi la Israel na makao makuu ya MOSSAD .
Kwa kufupisha tusimuamini yeyote kwa wanaotupa habari tupende kuchuja badala ya kuchukua kama zilivilyo.Mimi naamini vifaru vingi vya hizi nchi kubwa kijeshi zina ubora mkubwa isipokuwa wantengenezeana habari za kuchafuana ili kuharibiana biashara kwenye soko la silaha.
Link hii utaona kwa mara ya kwanza BBC wametoa independent news baada ya raia kuwaumbua kwa TIKTOK


View: https://www.youtube.com/watch?v=jdETV6WATa4&t=5s
 
Back
Top Bottom