Kununua Vifaru vya Kivita Kutoka China na Urusi ni kujiandaa kushindwa vita

Kununua Vifaru vya Kivita Kutoka China na Urusi ni kujiandaa kushindwa vita

Mleta Uzi either Kwa kujua ama kutokujua yeye ni miongoni mwa wale watu waliokula na kushiba vyema chakula dhaifu Cha Western propaganda ubongoni mwake na sio tumboni. Hivyo ameamua hadharani bila Soni kutuhubiria na kutulisha
ubora wa kipropaganda kutoka Umagharibi juu ya ubora wa silaha zao ambazo ni "unbeatable".
Na ndio maana ametuletea andiko akituelekeza si vyema kununua silaha za kirusi ama kichina utashindwa vita kirahisi.
Amesahau kuwa hamna silaha Ina ufanisi kiubora kwa asilimia mia Moja.
Aghalabu silaha Bora kabisa za kimagharibi kama HiMARS( US), Leopard tank(German), M1 Abrams,( US) Challenge 2( UK) zimekuwa zikidhalilika vibaya huko Ukraine si kwasababu ni dhaifu sana. No! Bali zimekutana na silaha Bora zaidi dhidi Yao.
 
Hoja yako ni nini hasa? Kazi ya anti tank ni kulipua kifaru. Au unamaanisha vifaru toka Marekani na Ulaya vikipigwa na anti tank ya Urusi aina ya 9M133 Kornet haviungui?
Bradley haiungui.
 
Nilikuwa nadhani Platnum Members wanaakili 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Umri wako miaka mingapi mleta mada?

View attachment 3117298
Basi wewe ni mpumbavu sana kama hukuelewa mada hiyo

Mtu aliyekufa huwa hajui kuwa amekufa ingawa ndugu zake walio hai hupata majozi sana. Mpumbavu naye ni hivyo, huwa hajui kuwa ni mpumbavu na upumbavu wake unawapa shida wenye akili timamu.
 
Basi wewe ni mpumbavu sana kama hukuelewa mada hiyo

Mtu aliyekufa huwa hajui kuwa amekufa ingawa ndugu zake walio hai hupata majozi sana. Mpumbavu naye ni hivyo, huwa hajui kuwa ni mpumbavu na upumbavu wake unawapa shida wenye akili timamu.
Mzee msemo wako hauna maana yoyote. Nimekuuliza swali Umri wako ni Miaka mingapi ili niweze kujidogosha zaidi ninapokujibu.
 
Watanzania wenzangu tujifunze kuchanganua mambo bila kuweka mahaba mbele.Kuna wakati nilikuwa muhanga wa kuamini kila kinachotangazwa na Western media.Lakini baada ya Vita ya Yugoslavia na ile ya Iraq ya miaka ya 2000 nilijifunza jinsi hawa watu wa magharibi wanavyotumia vyombo vyao vya habari kueneza propaganda za serikali zao.kama unakumbuka wote walituaminisha Saddam ana silaha za sumu wakati ukweli wakijua hana hata chupa moja ya silaha za sumu.Baada ya vita wachambuzi huru walitoa tathmini jinsi vyombo kama CNN,SKYNEWS,BBC,DW nk vilivyotumiwa kwenye propaganda.Tokea wakati huo nakuwa makini kuzitazama kwa jicho la pili habari zao.
Hivi mnajua ya kwamba habari yeyote inayotolewa ndani ya Israel tayari inakuwa imeishachujwa? Habari yeyote lazima serikali ya Israel iikubali kwanza ndio iruhusiwe kurushwa.Hivi majuzi yalirushwa mabomu ya Ballistic na Hypersonic ambayo nafasi ya kuyazuia ni ndogo kwa ballistic na haipo kabisa kwenye Hypersonic.Lakini mwanzoni tuliambiwa kupitia Skynews na CNN kuwa yote yeamezuiwa.Ukweli halisi haukuweza kujificha kwani kuna raia wa Israel waliorekodi live TIK TOK ,na hata baadae BBC waliona aibu na kutangaza kuwa Iran wamefanikiwa kuzipiga kambi 2 za jeshi la Israel na makao makuu ya MOSSAD .
Kwa kufupisha tusimuamini yeyote kwa wanaotupa habari tupende kuchuja badala ya kuchukua kama zilivilyo.Mimi naamini vifaru vingi vya hizi nchi kubwa kijeshi zina ubora mkubwa isipokuwa wantengenezeana habari za kuchafuana ili kuharibiana biashara kwenye soko la silaha.
Link hii utaona kwa mara ya kwanza BBC wametoa independent news baada ya raia kuwaumbua kwa TIKTOK


View: https://www.youtube.com/watch?v=jdETV6WATa4&t=5s

Sikuelewa umenikwoti kwa nini wakati post yangu ilikuwa inahusu Ukraine. Hata hivyo Israle hawakusema kuwa walizuia makombora yaote bali walisema kuwa meng yalidunguliwa kwa maana ya kuwa kuna machache yalipenya. Katika makombora 200 wakidungu 180 bado ishiri yakapenya yataleta madhara.
 
Kama wamefikia kutengeneza vifaru wape heshima yao
Sisi hata fataki za sherehe tunanunua kwao ngoja wawawekee mabomu tu maana kila kitu ni kununua tu

Hebu weka na Highway of Death ya Iraq/ Kuwait halafu utuambie zilikuwa mizinga na vifaru vya nani?
Acha ushabiki wa hivyo maana inaonekana hujui vita kabisa na uwezo wa mataifa hayo
Vita ni akili na nguvu
 
Kuna watu mnaongea tu kama mashabiki oyaoya wa Simba na Yanga na hata hamjui mnachoongea.

Vifaru vya China kama VT-4 ni vya kisasa, sio vya gharama kubwa kutokana na production run kuwa kubwa na sharing of technology na PLO's MBT, vina active protection system ukitaka package yake unapewa, vinaweza fyatua kombora kupitia kwenye cannon yake 120mm, vina injini moderst ya 1200HP, transmission sio hydropneumatic sababu maintenance yake ni kubwa nchi zetu hizi hazimudu, vina automatic loader, vina composite armour na armour plates unaongezewa ukitaka, vina electronics za kisasa kama NV na shabaha vinalenga vizuri sana.

VT-4 inaizidi mbali type yoyote ya T-74 ya Urusi, T-80 Oplot ya Ukraine na early T-90 za Urusi. Early Leopard 2 za Ujerumani, Challenger za UK na Abrams za Marekani hizi walizopewa Ukraine hazisogei popote kwenye uwezo wa VT-4.

Hamna anayeweza nibishia labda kwa maneno ya vitenge na khanga. Kwenye open details, facts, performance kwenye tests hasa za Southern Asian countries hakuna anayeiacha VT-4 achukue hivyo vifaru nilivyotaja.
Hawa watu mpaka uwawekee Top 10 ya vifaru duniani ambapo Russia ndio#1 na T14 yako ni #7 hata mchina yumo Top 10
Hawa waachieni CCM na yanga masuala ya vita hata bunduki hawajawahi kuigusa.
 
Kifaru hakina nafasi kwenye Modern Warfare.
Hizi kauli zipo tangu vifaru vimeanza mpaka leo vina generations tatu au nne.
Vifaru vipo na vitakuwepo vita za miaka 40 ijayo.

Kama unasema kifaru kitatoweka tutajie zana ya kivita yenye armour pack kubwa hadi front armour ya 700mm of steel, yenye speed hadi 70 kpm, yenye kupigana huku inatembea, yenye kubeba gun inayotupa shell hadi 4km kwa usahihi kuharibu target, zana yenye kuzuia small arms fire, yenye range ya over 400km, inayoweza negotiate obstacles kama small trenches in all weather conditions.
Jeshi lisilo na vifaru linafanyaje armoured assault? Linaendaje kupambana na armoured division ya jeshi la adui?

Kisa mnaona drones na UAV mnaamini vifaru vimeisha matumizi mnakosea.
Ngoja nikupe mfano, ilikuwepo revolutionary anti tank guided missile maarufu sana kutoka USSR, 9M14 Malyutka. Iliundwa mwanzo mwa 1960s, wakati inabuniwa ndio muda huohuo Soviets wanabuni T-64 main battle tank. Malyutka "Sagger" as one of the best ATGM ever ikaingia uwanja wa vita sambamba na T-64 ambayo popote pale nitakiita kifaru bora zaidi duniani kihistoria.

Wakati T-64 ni the most mass produced tank in the world, Malyutka ni the most produced ATGM duniani pia.
Miaka imeenda leo ni 2024 Urusi na Ukraine wote wana T-64 kwa versions tofauti ila haohao wazalishaji wa Malyutka na walikuwa na stockpile ya maelfu ya makombora hayo hawana hata moja kwenye vita yao hii.

T-64 is here to stay wakati Malyutka wamebaki nazo nchi maskini kama Uganda, Zambia na makundi kama Hezbollah na magaidi wasio na hela ya kununua modern ATGMs.

Hakuna silaha ya kukikaimu kifaru vitani mpaka sasa na haielekei kuwepo.
 
Sielewi akili yako ikoje. Kwa hiyo leo hii Museveni akivamia Tanzania eneo lililo kaskazini mwa mto Kagera kama alivyofanya Amini miaka ile wewe utasema tukubali yaishe Museveni achukue eneo "alilokwisha teka".

Una akili finyu sana kuhusu utaifa iwapo unadhani ni sawa kwa Ukraine kuachia eneo lao lilovamiwa na urusia kwa madai kuwa limetekwana Urusi. Urusi ni nchi yenye eneo kubwa sana duniani, wanataka nini kwenye ardhi ya Ukraine kama siyo uchokozi na kiburi tu?
vip kuhusu crimea
 
Ukiwa uwanja wa vita una operate vipi kifaru? Kwa mazingira yapi na kwa malengo gani?
Kuendesha kifaru (tank) kwenye uwanja wa vita kunahitaji ujuzi, uratibu, na uelewa wa mazingira ya vita. Kifaru ni silaha nzito inayotumika kwa malengo mbalimbali kulingana na aina ya vita na mazingira. Hivi ndivyo kifaru kinaweza kuendeshwa na kutumika:

1. Operesheni ya Kifaru:

Watu wa Operesheni: Kifaru kinahitaji timu maalum, kwa kawaida timu hii inajumuisha watu watatu hadi wanne:

Dereva: Anaendesha kifaru, kuhakikisha usafiri wa haraka na wa usahihi kwenye eneo la vita.

Bunduki Opereta: Anasimamia silaha za kifaru kama vile mizinga mikubwa na bunduki ndogo.

Kamanda: Anaongoza timu, hufuatilia malengo na kutoa maagizo.

Mtazamaji (Loader): Katika baadhi ya vifaru, mtu huyu anashughulika na kupakia risasi kwenye bunduki.



2. Mazingira ya Matumizi ya Kifaru:

Ardhi Tambarare: Kifaru kinatumiwa kwenye maeneo tambarare au maeneo yenye nafasi kubwa kwa sababu ya uwezo wake wa kasi na uwezo wa kushambulia kwa umbali mrefu.

Vita vya Mijini: Kifaru hutumika kwenye vita vya mijini kwa kupelekwa mbele ili kuvunja vizuizi na kusaidia vikosi vya ardhini, ingawa mazingira ya mijini yanaweza kuwa magumu kutokana na vikwazo na mizunguko midogo.

Misitu na Milima: Kifaru zinaweza kuwa na changamoto katika maeneo haya, lakini matoleo ya kifaru yenye uwezo wa kuzoea mazingira magumu hutumika.

Maeneo ya Mchanga na Jangwa: Vifaru vinaweza kufanyiwa maboresho kwa kutumia nyaya maalum kwenye mataya yao ili kushughulikia mchanga mwingi au maeneo yenye kuteleza.


3. Malengo ya Kifaru:

Kushambulia Kambi Adui: Kifaru hutumika kwa kushambulia kambi za adui kwa nguvu, kwa kutumia mizinga mikubwa kubomoa bunkers, majengo, au magari mengine ya kivita.

Kusaidia Wanajeshi wa Miguu: Kifaru kinasafiri mbele ili kuvunja vizuizi na kutoa kinga kwa wanajeshi wa ardhini, likiwa ni kifaa cha kuwakinga kutokana na mashambulizi ya adui.

Kupambana na Vifaru Vingine: Kifaru hutumika kupambana na magari mengine ya kivita ya adui. Kwa kawaida, mizinga yenye uwezo mkubwa hutumika dhidi ya vifaru vya adui.

Ulinzi: Kifaru kinaweza kutumika kama kinga kwenye maeneo muhimu, vikizuia maadui wasipenye au kukamata maeneo muhimu kwenye uwanja wa vita.


Kwa ujumla, kifaru ni chombo chenye nguvu kinachotegemewa sana katika vita nzito, hasa linapokuja suala la kutwaa na kulinda maeneo muhimu au kupambana na magari ya kivita ya adui.

Kwa hisani ya Chatgpt
 
Sheria ya Vita,mshindi anayo haki ya kuchukua maeneo aliyoteka . Field marshall Idd Amin hakushinda Vita ndio maana Kagera haikuchukuliwa. Yale maeneo ya Urusi Kwa haki
Hakuna sheria ya vita inayoruhusu nchi moja kumega ardhi ya nchi nyingine. Zamani sana wakati utawala wa wafalme ndio waliokuwa wakiteka nchi za wenzao lakini siyo leo wakati tuna Umoja wa mataifa na mipaka ya nchi inatambulika.
 
Mchina hata chai yake fake,rice fake.
Mi hata Mchina mwenyewe nikimuona najiuliza huyu ni binadamu au famna.
Sasa we kweli ukanunue kifaru kwa mchina alafu ukutane vitani na Israel si atakuoa kabisa.
Mrusi at least
 
Kuna watu mnaongea tu kama mashabiki oyaoya wa Simba na Yanga na hata hamjui mnachoongea.

Vifaru vya China kama VT-4 ni vya kisasa, sio vya gharama kubwa kutokana na production run kuwa kubwa na sharing of technology na PLO's MBT, vina active protection system ukitaka package yake unapewa, vinaweza fyatua kombora kupitia kwenye cannon yake 120mm, vina injini moderst ya 1200HP, transmission sio hydropneumatic sababu maintenance yake ni kubwa nchi zetu hizi hazimudu, vina automatic loader, vina composite armour na armour plates unaongezewa ukitaka, vina electronics za kisasa kama NV na shabaha vinalenga vizuri sana.

VT-4 inaizidi mbali type yoyote ya T-74 ya Urusi, T-80 Oplot ya Ukraine na early T-90 za Urusi. Early Leopard 2 za Ujerumani, Challenger za UK na Abrams za Marekani hizi walizopewa Ukraine hazisogei popote kwenye uwezo wa VT-4.

Hamna anayeweza nibishia labda kwa maneno ya vitenge na khanga. Kwenye open details, facts, performance kwenye tests hasa za Southern Asian countries hakuna anayeiacha VT-4 achukue hivyo vifaru nilivyotaja.
Umesema vyema
 
Back
Top Bottom