Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Mchina hata chai yake fake,rice fake.
Mi hata Mchina mwenyewe nikimuona najiuliza huyu ni binadamu au famna.
Sasa we kweli ukanunue kifaru kwa mchina alafu ukutane vitani na Israel si atakuoa kabisa.
Mrusi at least
Unaongelea Vifaru vinavyochomwa na Drones za Dola 600?!Hizi kauli zipo tangu vifaru vimeanza mpaka leo vina generations tatu au nne.
Mkuu upo vizuri, hiyo ID yako ni jina la kifaru cha Mrusi nimepata kujua wiki chache zilizopita nilikuwa na M Ukraine mmoja kwenye story za vita akagusia hiyoKuna watu mnaongea tu kama mashabiki oyaoya wa Simba na Yanga na hata hamjui mnachoongea.
Vifaru vya China kama VT-4 ni vya kisasa, sio vya gharama kubwa kutokana na production run kuwa kubwa na sharing of technology na PLO's MBT, vina active protection system ukitaka package yake unapewa, vinaweza fyatua kombora kupitia kwenye cannon yake 120mm, vina injini moderst ya 1200HP, transmission sio hydropneumatic sababu maintenance yake ni kubwa nchi zetu hizi hazimudu, vina automatic loader, vina composite armour na armour plates unaongezewa ukitaka, vina electronics za kisasa kama NV na shabaha vinalenga vizuri sana.
VT-4 inaizidi mbali type yoyote ya T-74 ya Urusi, T-80 Oplot ya Ukraine na early T-90 za Urusi. Early Leopard 2 za Ujerumani, Challenger za UK na Abrams za Marekani hizi walizopewa Ukraine hazisogei popote kwenye uwezo wa VT-4.
Hamna anayeweza nibishia labda kwa maneno ya vitenge na khanga. Kwenye open details, facts, performance kwenye tests hasa za Southern Asian countries hakuna anayeiacha VT-4 achukue hivyo vifaru nilivyotaja.
Kuna watu mnaongea tu kama mashabiki oyaoya wa Simba na Yanga na hata hamjui mnachoongea.
Vifaru vya China kama VT-4 ni vya kisasa, sio vya gharama kubwa kutokana na production run kuwa kubwa na sharing of technology na PLO's MBT, vina active protection system ukitaka package yake unapewa, vinaweza fyatua kombora kupitia kwenye cannon yake 120mm, vina injini moderst ya 1200HP, transmission sio hydropneumatic sababu maintenance yake ni kubwa nchi zetu hizi hazimudu, vina automatic loader, vina composite armour na armour plates unaongezewa ukitaka, vina electronics za kisasa kama NV na shabaha vinalenga vizuri sana.
VT-4 inaizidi mbali type yoyote ya T-74 ya Urusi, T-80 Oplot ya Ukraine na early T-90 za Urusi. Early Leopard 2 za Ujerumani, Challenger za UK na Abrams za Marekani hizi walizopewa Ukraine hazisogei popote kwenye uwezo wa VT-4.
Hamna anayeweza nibishia labda kwa maneno ya vitenge na khanga. Kwenye open details, facts, performance kwenye tests hasa za Southern Asian countries hakuna anayeiacha VT-4 achukue hivyo vifaru nilivyotaja.
Risasi ya rifle inagharimu armoury za majeshi mengi duniani chini ya shilingi 3,000 TZS.Unaongelea Vifaru vinavyochomwa na Drones za Dola 600?!
VT-4 au MBT 3000 nayo ni baada ya VT-2 ambazo Tanzania tunazo chache na Chad wanazo.VT-4 ni toleo la 2022
Mwaka 2024 kampuni ya NORINCO ya China wametoa vifaru vipya GEN IV light tanks
T-14 Armata mara ya kwanza ilionyeshwa live kwenye TV mwaka 2015 kwenye maadhimisho ya Moscow Victory Day Parade ikiwa ni miaka 70 tangu majeshi ya USSR yamalize battle na Nazi Germany.Mkuu upo vizuri, hiyo ID yako ni jina la kifaru cha Mrusi nimepata kujua wiki chache zilizopita nilikuwa na M Ukraine mmoja kwenye story za vita akagusia hiyo
VT-4 ni main battle tank, ni export only tank. China wana light tank zao ni Type 15 ambazo hizi not for export ila export variant yao ni VT-5.
Wanataka waongeze liwe kubwa zaidi na mpaka Sasa washafanikiwaSielewi akili yako ikoje. Kwa hiyo leo hii Museveni akivamia Tanzania eneo lililo kaskazini mwa mto Kagera kama alivyofanya Amini miaka ile wewe utasema tukubali yaishe Museveni achukue eneo "alilokwisha teka".
Una akili finyu sana kuhusu utaifa iwapo unadhani ni sawa kwa Ukraine kuachia eneo lao lilovamiwa na urusia kwa madai kuwa limetekwana Urusi. Urusi ni nchi yenye eneo kubwa sana duniani, wanataka nini kwenye ardhi ya Ukraine kama siyo uchokozi na kiburi tu?