Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Come this way pleasePass me the joint sweetheart!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Come this way pleasePass me the joint sweetheart!
Anakaa pembeni anafaidi sinema ya X iliyo live, mkimaliza anachukua ule ute au maniiMchawi akija nimemaliza au ndio napiga MTU mashine, au napiga masterbation au natiana na mwanamke, au nimelewa atafanya nini
Mchawi harogi chenye kasoro.. Ndio maana hata kwenye pesa hachukui pesa iliyokatwa kidogoKwann bwana mshana?
Kwenye temple zinaenda kupewa ulinzi wa Brahma na kuombewa mambo memaItakuwa wameenda ku lock medulla omblangata ya mdau.
But probably kuna sayansi hapo Mshana Jr maana wahindi hii tabia wanayo. Wao nywele za kwanza za mtoto na watu wazima hupeleka kwenye temple zao
Kwanini?Hawasogelei hata geti lako
😂 atapiga chaboMchawi akija nimemaliza au ndio napiga MTU mashine, au napiga masterbation au natiana na mwanamke, au nimelewa atafanya nini
Nimejifunza kitu hapo kwenye pesa mkuu shukrani. Kama kuna la ziada tiririka natanguliza shukrani.Mchawi harogi chenye kasoro.. Ndio maana hata kwenye pesa hachukui pesa iliyokatwa kidogo
Kwa masaa mangapiPaka chumvi, ndimu au ndumu brother
I'm on my way babe!Come this way please
Mchawi na bangi ni vitu viwili tofauti kabisaKwanini?
Wanakuja ila hawawezi kuchukua bao(shahawa)zako.Hivi ukiwa unavuta bangi na bangi ikawepo nyumbani kwako kila siku wachawi hawaji?
Dakika tu inatoshaKwa masaa mangapi
Inawezekana nikawa situmii sivuti ila nikaweka ndani na ikafanya kazi ?Mchawi na bangi ni vitu viwili tofauti kabisa
Tumia weweee. Its good for your body and mindInawezekana nikawa situmii sivuti ila nikaweka ndani na ikafanya kazi ?
Weka ila makinika na sirikaliInawezekana nikawa situmii sivuti ila nikaweka ndani na ikafanya kazi ?
Wasukuma/watu wa makabila wanawafunga watoto bangi mfano wa hiriziInawezekana nikawa situmii sivuti ila nikaweka ndani na ikafanya kazi ?
sikuwa nalifahamu hiliWasukuma/watu wa makabila wanawafunga watoto bangi mfano wa hirizi
Sawa mkuuWeka ila makinika na sirikali
Pia bange ni dawa ya sikiosikuwa nalifahamu hili