Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #61
Nywele za fedhaDogo ana unywele mzur sanaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nywele za fedhaDogo ana unywele mzur sanaa
Kwa hiyo Ukiwa na bunda zima ulikate kidogo?Mchawi harogi chenye kasoro.. Ndio maana hata kwenye pesa hachukui pesa iliyokatwa kidogo
Hakuna kitu utafanya, zaidi kuzitoa zote, pia kuna nimesikia hapo hapaoti tena..
Say what??Hakuna kitu utafanya, zaidi kuzitoa zote, pia kuna nimesikia hapo hapaoti tena..
Hizo hawawezi kuchukua ni nyingi wao wanacheza na hizi ndogondogoKwa hiyo Ukiwa na bunda zima ulikate kidogo?
Kwanini wachawi ni masikini sana? Kwanini hawapendi vizuri wala utajiri?Hizo hawawezi kuchukua ni nyingi wao wanacheza na hizi ndogondogo
Irrrriss what irrrisssSay what??
Nywele zinabeba utambulisho wako. Zinakuwakilisha wewe kiroho na hata kimwili pia. Ili mchawi akuloge anahitaji kiwakilishi cha kwako chenye utambulisho wako. Ndiyo maana wanakata nywele hizo kisha huenda kukulogea hizo.Wachawi wanafanyia nini hizi nywele?
Ina maanisha hakuna mchawi anaevuta bangi?Mchawi na bangi ni vitu viwili tofauti kabisa
AminaNywele zinabeba utambulisho wako. Zinakuwakilisha wewe kiroho na hata kimwili pia. Ili mchawi akuloge anahitaji kiwakilishi cha kwako chenye utambulisho wako. Ndiyo maana wanakata nywele hizo kisha huenda kukulogea hizo.
Si nywele tu wapo ambao huchukuliwa nguo zao za kawaida au hata nguo za ndani, wengine nyayo zao (mahali ulipokanyaga ukaacha alama ya nyayo au kiatu), wengine picha zao, na viwakilishi mbalimbali vinavyokuwakilisha wewe au unavyomiliki.
The best way niliyoihakikisha ya kushindana na kuzuia mabaya haya yote toka kwa wachawi ni kuamini katika ukombozi uliofanywa na Bwana Yesu Kristo pale msalabani. Ukimpa nafasi Yesu Kristo maishani mwako, huwezi kulogwa. Atakulinda na kukupigania katika yote. Wachawi wanamwogopa sana mtu aliye na Yesu ndani yake. Kwangu hii ni the best and foremost.
Mbombo ngafuNywele zinabeba utambulisho wako. Zinakuwakilisha wewe kiroho na hata kimwili pia. Ili mchawi akuloge anahitaji kiwakilishi cha kwako chenye utambulisho wako. Ndiyo maana wanakata nywele hizo kisha huenda kukulogea hizo.
Si nywele tu wapo ambao huchukuliwa nguo zao za kawaida au hata nguo za ndani, wengine nyayo zao (mahali ulipokanyaga ukaacha alama ya nyayo au kiatu), wengine picha zao, na viwakilishi mbalimbali vinavyokuwakilisha wewe au unavyomiliki.
The best way niliyoihakikisha ya kushindana na kuzuia mabaya haya yote toka kwa wachawi ni kuamini katika ukombozi uliofanywa na Bwana Yesu Kristo pale msalabani. Ukimpa nafasi Yesu Kristo maishani mwako, huwezi kulogwa. Atakulinda na kukupigania katika yote. Wachawi wanamwogopa sana mtu aliye na Yesu ndani yake. Kwangu hii ni the best and foremost.
Mashikolo mageniIrrrriss what irrrisss
Una koneksheni ya huko?Sijawai kusikia ostabey wala masaki mtu kanyolewa
Kwanza Umenuaje kuwa ni Wachawi wamekunyoa
Utajiri wa mchawi sio pesa wala hivi vitu vya kisasa, utajiri wake ni damu tunguli na nguvu za kichawiKwanini wachawi ni masikini sana? Kwanini hawapendi vizuri wala utajiri?
Labda hawa wa michongoIna maanisha hakuna mchawi anaevuta bangi?
labda wachawi wa zamani. wachawi wa sasa wao ndiyo wanalima bangi. hawaogopi kituHivi ukiwa unavuta bangi na bangi ikawepo nyumbani kwako kila siku wachawi hawaji?
Watamnyoa vusiNyoa upala wanavokuja wakute izo nywele hamna
Zipo kama tatu hiviHivi Mshana Jr hauna uzi juu ya hili jani?