Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hapana sihitaji kutumia, kwetu waliovuta bangi wote walichizika vichwa vyepesiTumia weweee. Its good for your body and mind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sihitaji kutumia, kwetu waliovuta bangi wote walichizika vichwa vyepesiTumia weweee. Its good for your body and mind
Sikio ganiPia bange ni dawa ya sikio
Na hakuna mtu anayekufahamu atakwambia hili,anajua amekufundisha dawa...sikuwa nalifahamu hili
Masikio ya binadamSikio gani
Hapo sawa, afadhali umetambua mapemaHapana sihitaji kutumia, kwetu waliovuta bangi wote walichizika vichwa vyepesi
Yangu ni mazima sina changamoto ya sikioMasikio ya binadam
Ila moshi nishauvuta sana sijui kama una madharaHapo sawa, afadhali umetambua mapema
Shukrani mkuu nitalifanyia kazi.Na hakuna mtu anayekufahamu atakwambia hili,anajua amekufundisha dawa...
Haya tunaambiana watu tusiofahamiana ili ikikusaidia tuombeane kheri na uzima
Sijui kweli😅Ila moshi nishauvuta sana sijui kama una madhara
Paka chumvi, ndimu au ndumu brother
Kwahiyo ukitaka pesazako zisichukuliwe kichawi uzikate kidogo?Mchawi harogi chenye kasoro.. Ndio maana hata kwenye pesa hachukui pesa iliyokatwa kidogo
ndimuNdumu ni nini?
Dogo ana unywele mzur sanaa
BangestNdumu ni nini?
Yes. Wanaju vyema vita ya madhabahu. Ndio maana hawarogeki kirahisi madhabahu zao huwapiganiaItakuwa wameenda ku lock medulla omblangata ya mdau.
But probably kuna sayansi hapo Mshana Jr maana wahindi hii tabia wanayo. Wao nywele za kwanza za mtoto na watu wazima hupeleka kwenye temple zao
BangiNdumu ni nini?
Uswazi wanafanya sana hivyo kukwepa chuma uleteKwahiyo ukitaka pesazako zisichukuliwe kichawi uzikate kidogo?
Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app