kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Pata Kinga ili nia yao mbaya iwarudie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asa utajuaje wakati huchangamani na watu wa huko,nimekaa na hayo mambo yapo kwa baadhi ya nyumba kama yalivyo kwa baadhi ya nyumba uswahilini[emoji144]Sijawai kusikia ostabey wala masaki mtu kanyolewa
Naomba unitag zote mkuu, nyuzi zako huwa zina A B C ukizizingatia ni shule kabisa
Zitaota ila zinaweza kuchukua hata miaka 3,simama vizuri kiroho,usipoangalia wataendelea kukunyoa sehemu nyingine zaidi ya hapo,yani maduara hayo yanaweza kuzidi hata kufikua 10 na zaidi...Say what??
Moshi wa bhangi ni mwepesi kuliko wa sigara | Page 3 | JamiiForums Moshi wa bhangi ni mwepesi kuliko wa sigaraHivi Mshana Jr hauna uzi juu ya hili jani?
ShukraniPaka chumvi, ndimu au ndumu brother
Inasemekana ni sawa na kuvuta tu ila siamini kwenye hiloSijui kweli😅
Ila ukivuta moshi wa sigara hata kama sio mtumiaji unapata madhara
Hakika, ila utarudi kutoa mrejesho labda zikiota.Mashikolo mageni
Masaki hakuna uchawi wala mapepo,huwezi kuta mtu wa masaki kwa mwamposaSijawai kusikia ostabey wala masaki mtu kanyolewa
Aaah!!huu ndio mwanzo wa kuwa na kipara kama cha PepZitaota ila zinaweza kuchukua hata miaka 3,simama vizuri kiroho,usipoangalia wataendelea kukunyoa sehemu nyingine zaidi ya hapo,yani maduara hayo yanaweza kuzidi hata kufikua 10 na zaidi...
mkuu kwahiyo anayevuta bangi hawezi kuwa mchawiBangi
Kama wamekunyoa vibaya basi vaa kofia ili watu wasione au nenda saloon kazisawazishe ili ziwe na muonekano mzuri.
Leo pameshaota,huna ujanja mpe Yesu maisha vingivevyo watqkufanya vyovyote na huoti nywele hapo
Bhalosi bhakah bhanduKama wamekunyoa vibaya basu vaa kofia ili watu wasione au nenda saloon kazisawazishe ili ziwe na muonekano mzuri.
Hahahah umenikumbusha mbali aiseeh!!!Juzi nilivuta bangi macho yakawa madogo kama ya kichina, bwege mimi nikajiona nishakuwa mchina(bangi inanipelekesha). Nikamkuta mchina nikajaribu kuongea nae kichina. Ngese yule kanipiga makaratee[emoji1787][emoji1787]. Nakimbia naona njia mbili moja flyover moja ya chini mama..ee bangi[emoji1787][emoji1787]