Kunyolewa nywele na wachawi, nini ufanye baada ya kunyolewa?

Kunyolewa nywele na wachawi, nini ufanye baada ya kunyolewa?

Hii thread inaonyesha jinsi gani ngozi nyeusi ni watu wa IQ ndogo, uwezo wao wa kufikiri na kuchambua mambo umeegemea kwenye uchawi na ushirikina.

Sasa hapo mnaaminije kirahisi amenyolewa hizo nywele na wachawi, kama ni punye je?

Me nataka nijue nijue kwanza, kipindi unanyolewa hizo nywele ulikuwa unajitambua (kwa maana ya kuhisi kama kuna mtu anakuñyoa), au umekuta tu nywele hazipo.

NB.
Uchawi ungekuwa unafanya kazi, Dunia isingekuwa sehemu salama ya kuishi
 
Dawa kuvaa wigi la 100% human hair. Akienda kufanya yake huko anaroga majivu ya muhindi alieshakufa na kuchomwa kitambo.
 
Juzi nilivuta bangi macho yakawa madogo kama ya kichina, bwege mimi nikajiona nishakuwa mchina(bangi inanipelekesha). Nikamkuta mchina nikajaribu kuongea nae kichina. Ngese yule kanipiga makaratee[emoji1787][emoji1787]. Nakimbia naona njia mbili moja flyover moja ya chini mama..ee bangi[emoji1787][emoji1787]
Hahahah umenikumbusha mbali aiseeh!!!
Bhangi sio chai, wakati naenda kuvuta kwa washkaji nikakutana na kidimbwi njiani nikakiruka fresh kabsa
Kimbembe wakati narud nimeshawaka tayr[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nikaona bahari sio bahari, mto sio mto nikajisemea huu mtego huu! nikarud zangu kwa wana! sikugusa tena ile kitu
 
Back
Top Bottom