Kunyolewa nywele na wachawi, nini ufanye baada ya kunyolewa?

Juzi nilivuta bangi macho yakawa madogo kama ya kichina, bwege mimi nikajiona nishakuwa mchina(bangi inanipelekesha). Nikamkuta mchina nikajaribu kuongea nae kichina. Ngese yule kanipiga makaratee🤣🤣. Nakimbia naona njia mbili moja flyover moja ya chini mama..ee bangi🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…