Kuoa asiye na bikra ni sawa tuu na kuoa single mother

Single mother ni sawa na mwiz aliekutwa na kithibitisho, single mother sio mbaya kuwa naye kivumbi ni pale atakapotakiwa kumpeleka mtoto hotelin akamsalimie baba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa post unatumika na mampepo machafu sana. Ina maana ulowahi kuwatoa bikra umewaoa?
Kama hujawaoa huoni kwamba pepo linakutumia kuharibu thamani za wabinti wa watu?
 
Ha haaaaaaa wee kusema ukweli. Unapenda kibamia au hogo?? Simnapenda hogo eti zinawagusa kila kona .

Ndio maana mnatest kwanza
Kuna mshikaji wangu napiga nae kazie anasemae alikutana demu wakafanya mapenzie wamemaliza demue kamwambia baby una mb.... Ndogo ila umejitahidi jamaa akasema nilikosa Cha kumwambia ila ghafla jibu likanijia pale pale nikamwambia mimi sina ndogo sema wewee ndoe unayo kubwa unaambiwa demu alikasilika mshikaji kamwomba msamaha kalibu wiki mbili .Kwahiyo something wanawake wanakuwa zishachezewa zimelegea anaishia kusema jamaa ana kibamia kumbe lake ndo oversize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeleta mada sensitive sana[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thread yako inabidi uandikwe kwa wino wa dhahabu ila wazinifu hatakuelewa


wachache sana


umesema ukweli mtupu
 
Mtoa post unatumika na mampepo machafu sana. Ina maana ulowahi kuwatoa bikra umewaoa?
Kama hujawaoa huoni kwamba pepo linakutumia kuharibu thamani za wabinti wa watu?


niliyemtoa bikra ndio mke wangu hapa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] moto kwa moto
 
Huu uzi siyo rahisi wasichana wa humu kuchangia, maana takwimu zinaonyesha walioolewa wote walikuwa hawana bikra na ambao hawajaolewa nao hawana bikra ama ni single mothers.
 
Huu uzi siyo rahisi wasichana wa humu kuchangia, maana takwimu zinaonyesha walioolewa wote walikuwa hawana bikra na ambao hawajaolewa nao hawana bikra ama ni single mothers.
Kwani ni lazima kuchangia?
 
Huu uzi siyo rahisi wasichana wa humu kuchangia, maana takwimu zinaonyesha walioolewa wote walikuwa hawana bikra na ambao hawajaolewa nao hawana bikra ama ni single mothers.


huu uzi ni jiwe gizani
 
Ni ndoto ya kila mwanaume kuoa bikra ila kwa vile nowadays ni ngumu ....basi watu wanazuga na Maneno ya kujifariji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…