Kuoa kwenye Familia Tajiri ni taabu sana

Kuoa kwenye Familia Tajiri ni taabu sana

Dogo mmoja dereva wangu wa Bajaj akataka kwenda kuoa kwa hawa watu,hakutaka mbwembwe sijui za magari na nini yeye akachukua kijiweni kwake vijana wenzake kumpa kampan ya kumbebea ndugu zake kwenda ukweni kujitambulisha,Bajaj zilikuwa kama sita hivi.

Kufika gate lilipo na ilipo nyumba ya wakwe (ndani ya fence) ni zaidi ya 100 mt sasa ule muongozano wa vile vibajaj mule ndani wale wahaya wakaona ajabu nikasikia mmoja wao(baadae kwenye mazungumzo nilikuja kugundua ni mjomba mtu) akisema kwa lafudhi yao “iih bhojo,hutu tudude twa walemavu tumefuata nini humu ndani,we mujuni ka-press alarm switch pale watu wajiandae kwa mapambano,raabda tumevamiwa”,mwengine akadaki “ina maana ndugu yetu anaolewa na mulemavu”mi nilivyosikia tu ile lafudhi na yale maneno nikamwambia oya dogo hapa mke hamna.
Walikua wanataka mapambano gan tena
 
Kama umezaliwa familia zetu zenye mikosi ukipata kuzaa na familia zilizo barikiwa unajilipua ili watoto wako shida wazisikie redioni ata kama utaachana na mkeo watoto wataishi na kusoma vzr. Ni njia moja wapo ya kubreak poverty circle kwenye koo zetu.
 
Walidhani labda tulioenda pale ni wezi,wao walitegemea ugeni wa ukwe wenye gari kali BMW's VXs etc.

Hao jamaa kwa dharau ni level ingine,uliza sasa walipogundua binti yao anaolewa na dereva wa Bajaj kama huyo baba mtu ndiyo alikuwa hataki hata kusikia.
😳😳😳😳😂😂😂Tupe nyama kidogo mkuu
 
Kuoa kwenye Familia Tajiri ni taabu sana,View attachment 3113332 mkikosana siku ya kesi uwanja mzima unajaa magari ya nyumbani kwao, alafu ukute kuna ndugu zake wengine wapo Nje ya nchi wanafatilia kesi Online, wanatishia kama umeshindwa kulea mtoto wetu tuletee huku Australia tutamlea wenyewe🥱🥱
Kuoa ni tabu period.

Ukioa familia masikini unaweza kupewa mzigo wa kulea na kusomesha familia nzima.
 
Back
Top Bottom