Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia wanasema umri ni namba tu
Lakini kwangu mie kuwa na mahusiano na mwanaume niliyemzidi umri siwezi
Ni kweli. One day atakunyanyapaa. Mpokee mwanaume aliyekuzidi kiumri na kipesa ndiye mtamu.Nasikia wanasema umri ni namba tu
Lakini kwangu mie kuwa na mahusiano na mwanaume niliyemzidi umri siwezi
Salute Mwamba uko Vizuri respectLkn AMINI nakuambia, Kama umri ungekua Nguzo ya kulinda Uhusiano, basi mahusiano au ndoa nyingi Leo hii zingedumu.
Maajabu nikwamba kwa sasa kuna Ongezeko kubwa la ndoa kuvunjika.
MWANAMKE AKIWA MPUMBAVU, HATA UMZIDI MIAKA KUMI, NI MPUMBAVU TUUU , ANAWEZA KUA KONDOO KWA MUDA LKN BAADAE AKAWA CHUI VILEVILE.
mwanamke kama amekupenda na Kwa kuzingatia , Wanawake waliumbwa kua mwanamke wa Mume mmoja, basi AMINI nakuambia, akikupenda, hata kama kakuzidi miaka 5 ,atakuheshim. Atakusalimia, atakuona wee ni Baba yake !!. TENA NDO ATAJITAHIDI SANA KILA KUKICHA, KUKUFANYA UAMINI KUA ULIFANYA CHAGUZI SAHIHI KUMUOA.
KIKUBWA NI WEWE MWANAUME, UNAKUA NGANGARI, MUDA WOTE UNAMFANYA AJIONE NI MDOGO KWAKO ( SIO KIBABE AU KIPIGO)., KWA MAHABA, UPENDO, NA MAISHA KWA UJUMLA.
YES, KUNA NYAKATI AKIKOSA, WEE USIJALI KAKUZIDI, KOROMA, KAMA MAKOFI MTIE MAKOFI !!!.
Chukua jiko weweJamani kuoa mwanamke aliyekuzid umri ni sawa. Ushauri Jaman!
Kwan wewe hujafikia umri wa kuolewa tu, maake nakuhitaji sana.Nasikia wanasema umri ni namba tu
Lakini kwangu mie kuwa na mahusiano na mwanaume niliyemzidi umri siwezi
😂😂🙌Usije kua una 23 alafu Dem ana 25...wote bado mkawa bado ni watoto walochangamka