Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

Nimeipenda hii
 

vipi uliolewa ukiwa bikra?

N.B: TUSIPANGIANE WA KUOA !
 
Hlf kuna mjinga mmoja anajisifu kaoa demu bikra
 
Chai haina sukari ndugu
 
Baadae kuja kuongea na demu akasema alipewa dawa ya kufunga na mama yake kumfanya awe na utepe tena.

Mumewe mpaka leo anaamini kambikiri mkewe kumbe demu keshabikiriwa toka kinda. Hata mimi sikumkuta na bikra.
Kwa hiyo unawaambiaje hao wanaotamba kuwa hawakuoa mtumba ilhali demu alitobolewa bikra kisha akaenda kununua nyingine🤣
 
Mbona umejikita kwenye masemango yaliyoambatana na chuki zidi ya wanaoamini hilo badala ya kujenga hoja zenye nguvu ili kutete hiyo title yako hapo juu?

Umeleta hoja nzuri lkn umeshindwa kuitetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…