Kuoa mwanamke masikini

Eeh kwahy itabidi uwahi kurudi home mapema ili kumkanda Kanda kila idara mkuu😅😅👊
Wanaotafuta mwanamke mwenye hela ni masikini, akitegemea mke naye achangie manunuzi ya unga na maharage; kwa imani zetu za kiarabu, mwanamke ni pambo la ndani hatakiwi kufanya kazi yoyote, zaidi ya kumkanda kanda mume, ndio maana Afghanistan wanalitekeleza hilo.​
 
dini ya kislam inajua sana kulea wanawake kwa ujuzi na maadili
 

Bongo wanawake wengi wenye sifa za wake bora wanatoka familia zinazounga unga.

Matajiri ama watu wa kipato cha kati wanalea mabinti kimayai mayai sana na kizungu zungu. Hao mabinti mambo safi ukioa lazima uone pengo la mama wa ki africa linapwaya ndani ya nyumba kutoka kwa mkeo.
 
Ndoa sio hela wala elimu ni UPENDO KWANZA. Kwa upande wangu sasa hivi naangalia uwezo wake wa kiakili kuanzia kwenye maongezi. Inanikata sana stimu demu hana hela hata kuchangia tu mawazo hawezi. Hana hela halafu hata kuandika ndo wale wa kuchanganya R & L halafu kichwani mwake mtupu kabisa. Bora asiwe na hela hata kumi ila akili ziwemo. Nataka demu tukikaa tunaweza jadili hata mwelekeo mpya wa siasa za Urusi dhidi ya zile za Magharibi.
 
sio kweli hasa kwa hizi jamii zetu, vinginevyo ukaoe afghanistan au pwani, kidooogo ndio mwanamke anajua nini mwanaume anataka
 
Mbona nyie wadada mnaolewaga na mwanaume kisa ana kazi nzuri au biashara nzuri Anita Makirita
 
Mkuu una muoa yeye na hakuoi wewe na huoi umasikini wao na mwanamke akiolewa mali zao au umasikini wa kwo hajinao kwako na kwenye ukoo wenu.
 
nimepigika sana kufika hapa nilipo leo...na niliwahi kuachwa kwa sababu ya umasikini wangu, leo nimejipata iweje nichukue mwanamke hohehae anaenuka changamoto na matatizo?
Mkuu uliachwa na masikini mwenzako au alikuwa binti tajiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…