Kuoa na kuolewa ni muhimu aisee

Kuoa na kuolewa ni muhimu aisee

Acha ujinga wewe
Udomo zege hapo karibu yako hakuna wanawake?
Mnapenda sana vya kunyonga???

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Albabu imekuuma saana, au ulitaka nikuombe kalio wewe unamuonea wivu mwenzio!?

Usikurupuke tu, kukaa kpimya ni busara, sasa mimi na To yeye huwa tuna masihara ya hapa na pale, unadhani nimejuaje kama yupo mbeya na hajaandika kwenye uzi wake, alipo yeye na ninapoishi mimi kuna kama kilometa 1000 hivi, huko mbarali, uporoto ni porojo tu hata kufika sijawahi.

Au unamtaka wewe nini mzee!? (joke) 😂 🤣
 
Ukipata mtu anaekupenda halafu kwenye sita kwa sita mnakua na same intimacy aiseeee ni raha bana
Unaweza mpigia mama mkwe simu kumuelezea balaa la mwanae[emoji16][emoji119]
Aiseee kumbe ndio kipimo cha kujua kuwa unamkuna vizuri....dah sie wa dakika mbili wadhungu hao kazi tunayo
 
Albabu imekuuma saana, au ulitaka nikuombe kalio wewe unamuonea wivu mwenzio!?

Usikurupuke tu, kukaa kpimya ni busara, sasa mimi na To yeye huwa tuna masihara ya hapa na pale, unadhani nimejuaje kama yupo mbeya na hajaandika kwenye uzi wake, alipo yeye na ninapoishi mimi kuna kama kilometa 1000 hivi, huko mbarali, uporoto ni porojo tu hata kufika sijawahi.

Au unamtaka wewe nini mzee!? (joke) 😂 🤣
😂😂😂😂😉
 
Sie watu la kaskazin hayo mambo hatuelewi wee ka hata maisha YAKO yote huko ILA kwangu muumala usome vzr[emoji1787][emoji1787]kuwaza ngono bila pesa hiyo ni ROHO ya umasikin kemea
Sawa cute😉
 
Write your reply...Kila goti litapgwa na kila ulimi utakiri...nyegez izi samthing'i elzi jaman japo wengne hujaribu kufa na tai shingoni...imagine uko na mleta mada na genye zake hizi,bhagoooosha!!unaweza malza ng'ombe za urithi!!"hell is for everybody"maana pale kati patamu mno...obheja
😂😂😂
 
Back
Top Bottom