makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Albabu imekuuma saana, au ulitaka nikuombe kalio wewe unamuonea wivu mwenzio!?Acha ujinga wewe
Udomo zege hapo karibu yako hakuna wanawake?
Mnapenda sana vya kunyonga???
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Usikurupuke tu, kukaa kpimya ni busara, sasa mimi na To yeye huwa tuna masihara ya hapa na pale, unadhani nimejuaje kama yupo mbeya na hajaandika kwenye uzi wake, alipo yeye na ninapoishi mimi kuna kama kilometa 1000 hivi, huko mbarali, uporoto ni porojo tu hata kufika sijawahi.
Au unamtaka wewe nini mzee!? (joke) 😂 🤣