Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......magonjwa ya mda mrefuShida gani mfano ambayo unaweza kuipata ndugu wa damu wakakukimbia lakini mke akawa na wewe?
Hao ndugu labda kama ulikuwa unaishi nao tofauti........magonjwa ya mda mrefu
Hasa hasa ukipata ugonjwa wa kuugua muda mrefu,ndugu watakuchokaShida gani mfano ambayo unaweza kuipata ndugu wa damu wakakukimbia lakini mke akawa na wewe?
Mkuu mke una uhakika gani hatakuchoka?..kukuchoka atakuchoka sema hana jinsi..wewe pata hizo shida mwanzoni mwa ndoa na iwe hamna hata mtoto uone balaa lake..Hasa hasa ukipata ugonjwa wa kuugua muda mrefu,ndugu watakuchoka
Nikipigia picha nineshazeeka, nipo alone dah... Nabaki namwomba Mungu nipate mke mwema, na familia yenye baraka.Sii lazima.
Ila mkumbuke kuna uzee.
Ni wewe tu kuchagua kuoa ili masela wakutombee mke au uache kuoa umiliki demu (na yeye lazima masela watamla maana siku hizi hakuna demu wa peke yako)Swali linalotaka jibu sahihi.
Kama Mwanaume anapata kila anachotakiwa kukipata kwenye ndoa kwa njia mbadala, kuna haja ya Kuoa?
Sex atapata nje
Mtoto atamzalisha mtu
Kufua kuna Laundry
Out kuna Hunters
Kula hotelini,
Uzuri hapati stress
Usilinganishe zama zile na hizi wewe...enzi hizo hakukuwa na watu wengine hivyo Adamu asingempata Hawa asingekuwa na mbinu nyingine maana hakukuwa na mademu wengine.Ni kwa nini Mungu asimuache Adam peke yake? Nijibu swali "NI LAZIMA "
Swali linalotaka jibu sahihi.
Kama Mwanaume anapata kila anachotakiwa kukipata kwenye ndoa kwa njia mbadala, kuna haja ya Kuoa?
Sex atapata nje
Mtoto atamzalisha mtu
Kufua kuna Laundry
Out kuna Hunters
Kula hotelini,
Uzuri hapati stress