Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Sii lazima.
Ila mkumbuke kuna uzee.
Uzee umefanyajae mkuu ?? Kwani nikimzalisha mtu nikahudumia mwanangu mpaka nikamsomesha kuna tofauti gani na yule mzee aliyezaaalfu mwanamke baadae anaanza kufanyiwa fitina na mwanamke kuchonganishwa na mwisho wa siku wanakutenga .! Mi naona bora kubaki hivi bila kuoa aseee..! Wanawake ni kero sana tena ukute hana hofu ya Mungu unajutia kuoa kabisa