Kuoana watu wa system ni zaidi ya mtihani anapohamishwa mmoja kikazi

Kuoana watu wa system ni zaidi ya mtihani anapohamishwa mmoja kikazi

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Unaweza ukalichukua poa poa hili swala Ila litakapokukuta ndio utanielewa vizuri ujue zamani mwanaume ata kama Wote mlikuwa wafanyakazi wa serikali kulikuwa kuna ule urahisi wa mwenza wako kuhamia kikazi pia mahali ulipo kutokana na ile capacity ya chance tofauti na Sasa kuomba uhamisho si jambo rahisi rahisi kama zamani

Inatokea unahamishiwa kikazi dodoma Baada ya mwezi unahamishiwa Tena iringa Sasa Sijui iringa huko pia utahama nae

Pia nitoe rai kwa kijana unaeoa siku za hivi karibuni haswa wa mtu serikali aidha kampuni zenye matawi mbalimbali Tanzania jiandae kisaikolojia kulikabili hili swala unaweza ukaliona ni jambo jepesi Lina heka heka zake

Imagine mkeo anahamishwa kikazi na huna cha kufanya😂(utasikia anakwambia anaenda headquarter ndo mgogoro nafsia inakuwa mingi)

Kuna mengi huwa yanayotokea juu ya hili swala naomba kuwasilisha

"Uvumilivu ndio ngao walioko kwenye ndoa nawapa salamu zao"
All in All kazi iendelee lakini pia people's power
 
Wanawake waajiriwa
1. Wanathamini Kazi zao kuliko ndoa zao.
Mf: -Anaweza katisha tendo la ndoa,kisa anahitajika na boss kazini. Na huna la kumfanya.

2. Wanawaheshimu maboss wao kuliko waume zao.
Mf:
-Anaweza kusubirisha sim Yako,Ili apokee sim ya boss wake
-anaweza kukustopisha usiendelee kumfanya mapenzi, ili apokee kwanza sim ya boss wake. Na wataongea masaa.

3. Wako tayari kuvunja ndoa zao, Ila sio kupoteza Kazi zao.
Mf: Boss wake akimtaka kimapenzi, kumchomolea nje Ni ngum Sana. Yuko tayar kurisk Ndoa
 
Ungesema ni kada Gani zinachangamoto za aina hiyo kuliko kuja na conclusive imagination,Mimi nimeoa mke mwalimu Sasa ni 20 years sijawahi kuwa mbali na mke wangu hata mita 100 tofauti na pale anapoenda kwao mbeya kusamilia na Mimi kwenda shinyanga kusamilia
 
Wanawake waajiriwa
1. Wanathamini Kazi zao kuliko ndoa zao.
Mf: -Anaweza katisha tendo la ndoa,kisa anahitajika na boss kazini. Na huna la kumfanya.

2. Wanawaheshimu maboss wao kuliko waume zao.
Mf:
-Anaweza kusubirisha sim Yako,Ili apokee sim ya boss wake
-anaweza kukustopisha usiendelee kumfanya mapenzi, ili apokee kwanza sim ya boss wake. Na wataongea masaa.

3. Wako tayari kuvunja ndoa zao, Ila sio kupoteza Kazi zao.
Hiiiiiiiiiii sa kazi na km kweli utachagua km??? Acha basi
 
Ungesema ni kada Gani zinachangamoto za aina hiyo kuliko kuja na conclusive imagination,Mimi nimeoa mke mwalimu Sasa ni 20 years sijawahi kuwa mbali na mke wangu hata mita 100 tofauti na pale anapoenda kwao mbeya kusamilia na Mimi kwenda shinyanga kusamilia
MTOA MADA atakua anazungumzia Watu WA mambo ya ndani na TISS, HAWA uhamisho Ni kugusa tu
 
Back
Top Bottom