Kuoana watu wa system ni zaidi ya mtihani anapohamishwa mmoja kikazi

Kuoana watu wa system ni zaidi ya mtihani anapohamishwa mmoja kikazi

Wale wa system waje watoe maelezo ya system, wasio wa system pen na karatasi muhimu 😂...

"Ok kaka pale mtu system ukimaliza then mke wa mtu wa system utaongea"
😄
 
Ni heri serikali iendelee kukaza.
Watanzania bila kuwabana wanakufunga kila kona.
Janja janja nyingi sana. Kuna dada alikuwa mahakama Arusha Longido alikuwa tayari kwa lolote ili aonekane mke wangu ahamie dar
 
Wanawake waajiriwa
1. Wanathamini Kazi zao kuliko ndoa zao.
Mf: -Anaweza katisha tendo la ndoa,kisa anahitajika na boss kazini. Na huna la kumfanya.

2. Wanawaheshimu maboss wao kuliko waume zao.
Mf:
-Anaweza kusubirisha sim Yako,Ili apokee sim ya boss wake
-anaweza kukustopisha usiendelee kumfanya mapenzi, ili apokee kwanza sim ya boss wake. Na wataongea masaa.

3. Wako tayari kuvunja ndoa zao, Ila sio kupoteza Kazi zao.
Mf: Boss wake akimtaka kimapenzi, kumchomolea nje Ni ngum Sana. Yuko tayar kurisk Ndoa
Mama J hajambo?
 
Back
Top Bottom