Kuoana watu wa system ni zaidi ya mtihani anapohamishwa mmoja kikazi

Kusamilia= kusalimia.
Sawa kakaa
 
Wale wa system waje watoe maelezo ya system, wasio wa system pen na karatasi muhimu πŸ˜‚...

"Ok kaka pale mtu system ukimaliza then mke wa mtu wa system utaongea"
πŸ˜„
 
Ni heri serikali iendelee kukaza.
Watanzania bila kuwabana wanakufunga kila kona.
Janja janja nyingi sana. Kuna dada alikuwa mahakama Arusha Longido alikuwa tayari kwa lolote ili aonekane mke wangu ahamie dar
 
Mama J hajambo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…