Kuoga na mume au mke wako...

Kuoga na mume au mke wako...

...dah, 😀 mkubwa unaongea kwa uchungu sana! ha ha haaa... si utani ndugu yangu, yaonekana 'mvua unayoisimulia kweli imekunyea', tatizo kwenye majamvi kama haya hapakosekani wanafunzi,...hayajawakuta hao.

Binafsi hufurahia privacy ya bafuni kukimbia kelele za maza hausi,...akianza tu mie mbio as if nimeshikwa na tumbo la kuhara! Hizo za kukoga pamoja hata sikumbuki mara ya mwisho ilikuwa mwaka gani.

Ha ha ha ha Mbu maza hausi wengine hukufuata huko huko bafuni au nje ya bafu na kuendelea kubwata mpaka waridhike. Sasa anzisha utaratibu wa kuoga na mamsap at least mara moja kwa wiki utaona hizo kele za maza hasi wako zitakavyopungua 🙂
 
Tripo D unataka kusemaje,yaani ni sawa watoto wa kiume kuchunwa kiroho mbaya? Hutaki wajenge kisa nywele?

Kama utakuwa umesoma post za fidel80 zilizotangulia huyo dada alikuwa anampa huduma za ziada ndio nikasema nae akitoa 70,000 za saluni kwa wiki sio mbaya.
 
eh eh eh Fidel abebwa mgongoni??? hiyo sabini kidogo basi!!

Hehe! yeye anaita eti kuji-express youself,sasa mwanaume unaweza mbeba mgongoni na akakuacha na kutafuta mwingine.Nawashauri kina dada wasijidhalilishe wanaume wastaarabu wengi tu.
 
mmmmmm Mbu mbona umenibwaga hivyo..... yaani wend ajificha bafuni???? mmmmm hebu anzisha program ya kuoga pamoja na maza hse... uone kama hizo kelele hazitapungua ama kwisha kabisa!!!

Ha ha ha ha Mbu maza hausi wengine hukufuata huko huko bafuni au nje ya bafu na kuendelea kubwata mpaka waridhike. Sasa anzisha utaratibu wa kuoga na mamsap at least mara moja kwa wiki utaona hizo kele za maza hasi wako zitakavyopungua 🙂

...haya, nitajaribu tena ila naboreka zile za kuanza kuchunguzana mara "...oooh, mbona hapa kama umeng'atwa love bite", mara oooh "...huku mgongoni umeparazwa kucha na nani?"
 
...haya, nitajaribu tena ila naboreka zile za kuanza kuchunguzana mara "...oooh, mbona hapa kama umeng'atwa love bite", mara oooh "...huku mgongoni umeparazwa kucha na nani?"

Mkuu kwani hizo lazima bafuni au unalala na nguo?😀
 
Actually ndio zangu, kuusu swala la nywere PAKAJIMMY kasema ukweli ndugu zetu hawataki nywere ziingie maji, wangu anafunga mifuko ya plastiki kichwani kisha TUNAMWAGILIZIANA NA KENI LA MCHICHA,actually we have been enjoying a very day hatuna mpangaji WILL CHAKU TRAY THIS?
 
Ni ushamba tu,kuoga na mwanamke siyo kudumisha mapenzi bali kuharibu maadili ya jamii hasa kule wanoishi uswahilini kwani kuna chabo sana.
 
Actually ndio zangu, kuusu swala la nywere PAKAJIMMY kasema ukweli ndugu zetu hawataki nywere ziingie maji, wangu anafunga mifuko ya plastiki kichwani kisha TUNAMWAGILIZIANA NA KENI LA MCHICHA,actually we have been enjoying a very day hatuna mpangaji WILL CHAKU TRAY THIS?


hewala!!! Chaku yuko wapi aone kuwa yote yawezekana!!!!
 
hewala!!! Chaku yuko wapi aone kuwa yote yawezekana!!!!

Nipo ndugu yangu nafuatilia kila post na nimeona michango yote kuna mazuri na kuna mengine si lazima kuyachukua na na kuyafanyia kazi.

Paul
 
...huenda kamtimua hausigeli wake, majukumu ya nyumbani yamemuelemea,...🙁


ooooh....🙁😕 tumuombee amalize hayo majukumu mchango wako unahitajika hapa...
 
...huenda kamtimua hausigeli wake, majukumu ya nyumbani yamemuelemea,...🙁
hahahhahahah umenichekesha mpaka basi wala sijamfukuza nakwambia tena house mother(gal) wangu tena siku akiondoka ntalia maaana she is the best kila kona, aliolewa akaachwa na ana watoto watatu ambao wako kwa baba yao so anajua anachokifanya kwamba yupo pale kufanya kazi plus huwa nampa weekends kwenda kujirusha ili atulize mtima wake.
 
...haya, nitajaribu tena ila naboreka zile za kuanza kuchunguzana mara "...oooh, mbona hapa kama umeng'atwa love bite", mara oooh "...huku mgongoni umeparazwa kucha na nani?"

LOL!....utajiju Mkuu!...ha ha ha ha ha waambie hao wa nyumba ndogo wasikung'ate au kukuparua na makucha yao 😉 ha ha ha ha Mwenye mali zake hapendi kabisa...au unaweza kumgeuzia shemeji kibao ukamwambia hapa si ulining'ata wewe na pia uliniparura na makucha yako...LOL! Just thinking aloud
 
LOL!....utajiju Mkuu!...ha ha ha ha ha waambie hao wa nyumba ndogo wasikung'ate au kukuparua na makucha yao 😉 ha ha ha ha Mwenye mali zake hapendi kabisa...au unaweza kumgeuzia shemeji kibao ukamwambia hapa si ulining'ata wewe na pia uliniparura na makucha yako...LOL! Just thinking aloud

haha mkuu utamwmabiaje mtu alikuparua na makucha na huku hana kucha ndefu! hahaha😀
 
Kila nikisoma hizi thread za nini cha kufanya na kutokufanya ndani ya ndoa napata imani kuwa watu wengi wanacomplicate vitu simple sijui ndio mambo ya kutaka kuwa na perfect marriage.

Weekend njema.
 
Back
Top Bottom