Kuoga na mume au mke wako...

Kuoga na mume au mke wako...

Mimi napenda sana kuoga na mke wangu lakini tatizo ni hizi bafu za nyumba za kupanga. Ni ndogo kiasi hamuwezi kuingia watu wawili kwa wakati mmoja.

Yeah...ndo nyumba zetu hizi....unajua zinaweza hata kuchangia kupunguza mapenzi kwa kongeza stress. Pole sana mkuu
 
Yeah...ndo nyumba zetu hizi....unajua zinaweza hata kuchangia kupunguza mapenzi kwa kongeza stress. Pole sana mkuu

Naomba style ya kuoga bafu passport size na wifi yako to be. Je tuoge kwa kuchuchumaa?
 
Naomba style ya kuoga bafu passport size na wifi yako to be. Je tuoge kwa kuchuchumaa?


Mkuu huko hapana...ni kukubaliana na hali halisi...mkienda ivo mtapewa notisi the next day!
 
Nimevumilia lakini naona nimeshindwa.......... mwenzenu hii signature ya mtoa mada . mh eti.........

Achieving your target on a job is just like being pregnant;everyone congratulates you on the outcome but no one knows how many times you got fucked...!!!!

Mwanajamiione mbona tena washituka signature imekaa vizuri jamani msianze kuijjengea hoja.

au umiitafsiri je?
 
Mwanajamiione mbona tena washituka signature imekaa vizuri jamani msianze kuijjengea hoja.

au umiitafsiri je?

Duh Chaku kwa jinsi navyo pata picha yaani kama unaishi uswazi vile maana umeweka &*#%#!&^
 
Mh shishi tutaambiwa wambeya bure!! ukitaka peleka mwenyewe mie ntakusindikiza hadi mlangoni tu........... sitaingia ndani!
hahahhahahah mummy umekuwa kama mkaanga mbuyu na kwaachia wenyewe watafune ? hufaaaaaaaaaai hahhahahah
 
Naomba style ya kuoga bafu passport size na wifi yako to be. Je tuoge kwa kuchuchumaa?
mhhhhh hapo fide huyo ze wife to be itabidi awe kutoka Tanga maana ukiwa unachuchumaa atahifadhi mali kwenye kisaani zisiguse chini zikapata fungus bureee.
 
mhhhhh hapo fide huyo ze wife to be itabidi awe kutoka Tanga maana ukiwa unachuchumaa atahifadhi mali kwenye kisaani zisiguse chini zikapata fungus bureee.

......................... agika ... aksante kwa kunianzishia weekend vizuri yaani nimecheka kwa nguvu ati!!

Fidel siyo mimi mwaya ni agika huyoooo.
 
Lakini ukweli unabaki pale pale idadi kubwa ya wanawake ni wachafu sana kwa ndani namtetea jamaa hapo juu huu ni ukweli nani hapa ajitokeze aseme ukweli katoka kusuka Rasta kwa mmasai alafu akaosha kichwa siku hiyo aseme hapa.

Unaosha kabla ya kusuka kwahiyo hamna haja yakuosha siku hiyo hiyo baada yakusuka!
 
......................... agika ... aksante kwa kunianzishia weekend vizuri yaani nimecheka kwa nguvu ati!!

Fidel siyo mimi mwaya ni agika huyoooo.

Umefuraaahi kweli MJ1...

agika hilo somo ulilipata wapi?
 
MwanajamiiOne

Kwa ufupi wewe sijui manjonjo yako yanafananane, hasa ukiwa kwenye 18 zako!!!he he heeeeheeeee...watuuuuuuuuu!!

Lakini , kwa wanawake wengi, masssaging ni kama kwenda kwenye mwezi, hawaijui!

Kwani uwongo?

Nenda Kwenye Massaging Parlour kibao hapo kwenu, uone wababa waziiima na ndoa zao nzuuuri, na wake zao wareembo ajabu, lakini mababa hao wanagalagala kama nyangumi pindi wanapo`massejiwa na warembo wa humo..

Akitoka hapo yuko freeesh, wala hana habari na karaha za huyo anayejiona mrembo wa nyumbani..!

We una bahati mbaya 2 PJ.....sali kabla hujaenda kuzunguka huko unakojipatiaga mlo wako wa kila siku maaana mhhh....kuishia kwenye uchafu-POSITIVE na utaalam/utundu-NEGATIVE sio mchezo!
 
MwanajamiiOne

Sa mtu amezaa, watoto wanalia, majirani wanagonga mlango, mara mleta maziwa kaja, mara amenuna anataka hela ya ma`lipshine`, machockstick, sijui na manininini...unadhani kweli huyo atakumbuka hiyo massage hata kama ukimwambia?

Masaa 24 ni msongo wa mawazo, hana hata muda wa tartiiibu wa massage.

Ile mambo inataka nafasi banaa!
au nyie mnaionaje?

Mwekee mfanyakazi na yeye apate muda wakupumzika....kosa ni lako mwenyewe kwakumgeuza punda!
 
huyo jama ambae anasema wanawake vibaya, anakosea sana. Kama yeye na anaemwita mpenzi wake walikosana eti kwa kuoga pamoja, huyo mwenzakle alikua anamwibia au yeye mwenyewe alikua anamwibia mwanamke.
 
Mh hii imenikuna, mimi wakati wa uchumba wangu tuliweza oga muda mrefu tuu hata 45 min tukisuguana na bahati nzuri geto yangu mitaa ya mwenge kanisani pale maji yalikuwa ya DAWASA yalikuwa full time na ilikuwa ni shower, lkn kuna kitu sikuweza kuki notice wakati huoo, kumbe yeye hutumia maji mengi sana kujiswafi, baada ya kuhama pale tukapata house ambayo hakuna maji ya bomba ni kununua madumu so bafuni hakuna shower tena, kwa hiyo tukawa sasa tunatumia ndoo, hapo ndipo ugomvi wetu unapokuwa mkubwa, kwanza yeye hupenda aanze kuogeshwa yeye, pindi ukimaliza kumuogesha yeye ataendelea sasa kuosha mashine yake hahahaha hapo atatumia maji kibao tena so atlast mie ntabaki na robo ndoo na akimaliza anaona uvivu kuanza kuniogesha mie utasikia malizia basi mwenyewe, nadhani haya mambo yana wakati wake, hasa mwanzoni mwa mapenzi huwa ni kitu kitamu sana lkn kwenye ndoa mkisha zoeana mambo mengi sana huwa hayafanyiki tena hata wewe ukiwa interested mwenzi wako anaweza asiwe interested tena.


Chimunguru

We una xperience nzuri sana ya hawa raia wa kike.

Kweli mi nakwambia, wanaobisha wote hapo juu aidha ni wageni wa PENZI au MALIMBUKENI, au la wameshikwa masikio na wanawake!

Achana na Mwanamke bana...Mi nakwambia hawana muda wa kupoteza kumsugua mtu ati! ..Msiongee kufurahisha jamvi nyie, talk the reality, and the truth on what is actually hapenning on scene!

Mkeo akikusugua sana siku hiyo ujue anataka kukuingiza kwenye BILI mbaya kabisa!

Aidha utaombwa hela nje ya bajeti, au utaambiwa kuwa ` "yule mdogo wangu, shangazi yake na binamu yangu"` anataka kuja tumsaidie karo... na manini sijui!!

Wezi watupu!

Shida humu ndani kuna watoto kibaao ambao wakati sisi tunaongelea wanawake wao wanaongelea DEMU!....SHIIT, WHAT IS demu*#@@??

Demu ni TAPELI-FLANI anayeishi maisha ya MAIGIZO!

Kwa kilugha chetu sisi tunamwita IMPOSTOR!...

"A" kwake ni "B", na B kwake ni A!....

Akisema anaomba hela kidogo, ni kwamba anaomba hela nyingi!

Akicheka ni kwamba anakuonea huruma kwa jinsi utakavyoumia!

Akilia ni kwamba anataka usijue kama ana furaha ya ajabu!
Akisema sitaki, ndo anataka!

In short, to them, a YES means NO, and vice-versa!



Anaigiza kula, anaigiza kutembea, anaigiza kuvaa, kuongea,kucheka,ku-sms, kulia, kujali,na kila kitu cha maisha!...hivi hawa hawajui eeeh!!..

U r in for it, and u r finished!!

 
Chimunguru

We una xperience nzuri sana ya hawa raia wa kike.

Kweli mi nakwambia, wanaobisha wote hapo juu aidha ni wageni wa PENZI au MALIMBUKENI, au la wameshikwa masikio na wanawake!

Achana na Mwanamke bana...Mi nakwambia hawana muda wa kupoteza kumsugua mtu ati! ..Msiongee kufurahisha jamvi nyie, talk the reality, and the truth on what is actually hapenning on scene!...

...dah, 😀 mkubwa unaongea kwa uchungu sana! ha ha haaa... si utani ndugu yangu, yaonekana 'mvua unayoisimulia kweli imekunyea', tatizo kwenye majamvi kama haya hapakosekani wanafunzi,...hayajawakuta hao.

Binafsi hufurahia privacy ya bafuni kukimbia kelele za maza hausi,...akianza tu mie mbio as if nimeshikwa na tumbo la kuhara! Hizo za kukoga pamoja hata sikumbuki mara ya mwisho ilikuwa mwaka gani.
 
...Binafsi hufurahia privacy ya bafuni kukimbia kelele za maza hausi,...akianza tu mie mbio as if nimeshikwa na tumbo la kuhara! Hizo za kukoga pamoja hata sikumbuki mara ya mwisho ilikuwa mwaka gani.


mmmmmm Mbu mbona umenibwaga hivyo..... yaani wend ajificha bafuni???? mmmmm hebu anzisha program ya kuoga pamoja na maza hse... uone kama hizo kelele hazitapungua ama kwisha kabisa!!!
 
Back
Top Bottom