Kuolewa ni Heshima kwa Mwanamke

Nakazia!
 
Sasa hivi wanataka kuheshimiwa kila mahala, na wao wanataka kuonekana ni wabeba majukumu, waolewe na nani?

Wamekua na viburi chungu mzima achana nao, muheshimu mama yako tu ambaye nae ana shida zake Kwa BABA
 
Sasa hivi wanataka kuheshimiwa kila mahala, na wao wanataka kuonekana ni wabeba majukumu, waolewe na nani? Wamekua na viburi chungu mzima achana nao, muheshimu mama yako tu ambaye nae ana shida zake Kwa BABA
G 'taxi, mwanamke hawezi kuwa sawa na mwanaume, mwanaume ni mwanaume tuh, cha msingi muwe mnawapenda wake zenu wenyewe watawaheshimu.
 
Mkuu lakini mnaweza kuwa kwenye ndoa na bado asiwe wa kwako peke yako unaliongeleaje hili?. Kwamba anakuwa wa kwako kwa jina tu "mke wangu" ila nyuma ya pazia mna share na mtu
 
Kawaida tu tusikuze Mambo,Sasa umeolewa na mwanaume mwasherati anatongoza kila kitu hata mbuzi, irresponsible,mleviii mbwa,kila siku maugomvi,utasema ndoa Ni heshima?Tumeshuhudia mauaji mangapi ya hao wanandoa kuuana? Sema hivi,kibahatika kupata anayeeleweka sawa ukilamba garasa huwezi kuwa proud na hiyo ndoa.
 
Hebu waache wachuchu waendelee kuwa 'singo' wakiolewa wote kutakuwa na uhaba mkubwa sana wa micheps [emoji3526]
 
Mkuu lakini mnaweza kuwa kwenye ndoa na bado asiwe wa kwako peke yako unaliongeleaje hili?. Kwamba anakuwa wa kwako kwa jina tu "mke wangu" ila nyuma ya pazia mna share na mtu
Hilo lipo, inategemeana na mwanamke uliyechukja ukichukua jini litakunyonya damu tu.
 
Kwa nini ukubali kuolewa na garasa?
 
Heshima kubwa sana! Ila kwa sasa Heshima inapungua kwa sababu mambo ya ndani yote yanafanyika nje ya Ndoa,Siri iliyobaki ndani ya Ndoa ni Migogoro tu.
 
Kweli kabisa ila nyakati izi fomular ni hii πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

JavaScript:
var mume = biashara;
 
Kama Kuolewa ni Heshima kwa Mwanamke, Je mwanaume kuoa ni nini?
Ni hasara make utatoboka kila siku...hasa mke km hana kismart ndo ivo tena...utakuwa maskini milele km mke wa Lowasa huyu hafai alitema jamaa uwaziri mkuu ivi ivi!!..ila alimlilia mumewe saaana. Kwa mkosi ule.....mke wa ukweli ni Mama kikwete yaani fulll kismart!! Mmewe Hawajawahi pigika .wale...jk nyota iliwaka mazimaaaa!! Mpaka sasa......si unaona na vibinti vyake vimeolewa vyoote! Af hawana mapigano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…