Kuolewa raha!

Kuolewa raha!

tunaomba pia hiyo ndoa yako ikiwa ndoano uje utupe raha yake
 
Haya jamani mimi nalala mume wangu ananisubiri tupeane maraha....pole kwa wale wenye ndoa ndoano..maana mwingine amehama chumba..mwingine bado yuko bar..mwingine amenuna mpaka domo linaburuza chini..mwingine anavizia mke alale amnyatie housegirl....mwingine anakumbuka mchepuko wake..mwingine anakumbuka bafuni nasabuni kujichua..mwngne amekupambatia mto..basi vuluvulu kila kona lkn mie monii naponda raha na my mume hahaha...asante mungu

Broadcasting everything about your marriage despite the fact that unatudanganya,shows how pathetic and delusional you are.You are a disgrace to all well-mannered and married women.
Endelea kutuletea episodes,sisi wazee wa Netflix ratings kama kawa.
 
Nawewe unamuamini huyu mwenye attention seeking disorder?
wenye ndoa zao wako kimya tu, huyu isidingo. Ukiyasoma mabandiko yake utamuelewa vizuri, nothing but complete and utterly crap!!
Ndo najaribu kumuelewa nashindwa
 
Jamani kumbe kuolewa ni raha hivi,
Ukiwa jikoni mume huyu hapa,

Ukienda chumbani utasikii vipi sweetie,

Mkiwa na kamtoko utafunguliwa mlango wa gari wewe ni kuingia na kukaa kisha mlango wa fungwa,

Ukikohoa kidogo utasikia vipi babe unaumwa?

Ni full raha, yaani raha.

Asante mume wangu.
Subiri balaa la mvua liishe afu, mwambie akutoe out maeneo ya Sinza Mori usiku, weekend moja, afu uturetee mrejesho tuone!
 
Haya jamani mimi nalala mume wangu ananisubiri tupeane maraha....pole kwa wale wenye ndoa ndoano..maana mwingine amehama chumba..mwingine bado yuko bar..mwingine amenuna mpaka domo linaburuza chini..mwingine anavizia mke alale amnyatie housegirl....mwingine anakumbuka mchepuko wake..mwingine anakumbuka bafuni nasabuni kujichua..mwngne amekupambatia mto..basi vuluvulu kila kona lkn mie monii naponda raha na my mume hahaha...asante mungu
Moniccca kutokana na mada zako kwa wenye uelewa wamegundua kwamba hizi ni ndoto zako unaziota na kumuomba mungu akupe mume kutokana na stress za umri kwenda halafu hata mchumba bado hujampata.usikate tamaa kumuomba mungu ipo siku atakusikia kilio chako.asante.
 
Nna hakika hapa hamna ndoa tulivishwa gunia la chumvi, ukute ,hata baiskel hamna ,kupika ni kuni, monicca huishiwi vituko, ila kama ni ndoa kweli basi maigizo mnayaweza
 
Nna hakika hapa hamna ndoa tulivishwa gunia la chumvi, ukute ,hata baiskel hamna ,kupika ni kuni, monicca huishiwi vituko, ila kama ni ndoa kweli basi maigizo mnayaweza
Yote maisha mkuu, kama unataka kazi ya uhouse boy karibu Mimi na mume wangu tunahitaji kijana wakutupikia.
 
Yote maisha mkuu, kama unataka kazi ya uhouse boy karibu Mimi na mume wangu tunahitaji kijana wakutupikia.
Yes moniccca nataka kazi ya house boi/ shamba boi,kutoka kushoto mume wa moniccca ,mtoto, monnica alafu kulia ni mm boy
e3ad688be4dbf61b8e8bd21499b09c33.jpg
 
Back
Top Bottom