Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀 kila upuuzi unao create jobs ni justified?ndio inatengeneza ajira kwa wawezesha sherehe.
mibadala ni changamoto ukizingatia hali ya ajira nchini.
Hapaaa ndo nnapopapendagaKinachonishangaza mwishonwa shereh wale kamat wanakaa nakuanza kugawana hela zilizobaki
Toa michango 😃Na kila kukicha harusi zinazidi kuwaka moto. Kuna mwezi nilijikuta nipo kwenye magroup 4 ya harusi. Nikasema hell No.
Yani wanachona mbuzi hata watatu na pombe wanakunywa na kula na kufurahia 😂Kinachonishangaza mwishonwa shereh wale kamat wanakaa nakuanza kugawana hela zilizobaki
irresponsible behavior, and it amounts to a CORRUPTIONMtu ana bariki ndoa nae anasambaza kadi.
what the hell???
What the fck?
Surely?
Nadhani Hatujaelewana,Rudia Kwa Utulivu Kusoma Nilichoandika Utagundua Nipo Pamoja Na Wewekuchangisha harusi nje ya family members hiyo ni irresponsible behavior, it amounts to a FRAUD, pia ni ni ushamba, how can you raise public funds for your simple personal obligation, this culture IS DISGUSTING
Kweli tupo hivo mkuu, kuna siku nikamwambia dada kuwa kwani haiwezekani kutofanya sherehe ya harusi ndoa iishie kanisani? akajibu inawezekana, lakini mkeo atajisikiaje bila sherehe? nikaona shida hapaWagalatia huwaambii kitu kuhusu huo ushamba wanapenda ufahar wakati kipato duni.
Kivipi wakati wanatushirikisha?>
uyakute siku yanavunja kamati, yaani ni grand/royal party 😀Yani wanachona mbuzi hata watatu na pombe wanakunywa na kula na kufurahia 😂
Baeelezee!!Jumapili au Jumamosi funga ndoa kanisani rudi nyumbani na mwenzi wako muishi kwa amani na furaha. Nendeni ofisi ya DC fungeni ndoa mrudi nyumbani muishi kwa amani.
Au fungeni ndoa nyumbani kwa binti murudi nyumbani mukaishi kwa amani.
Kama unataka kufanya sherehe ruksa, fanya kwa uwezo wako. Mchangishane wana familia, hiyo ndio heshima na busara. Marafiki mutualike tu, kwakuwa tunajua mnaanza maisha hatutakuja mikono mitupu. Pesa mtapata ambazo mtafungulia biashara au kuanza ujenzi. Vyombo mtapata pia.
Hii ya kukabana michango mwisho wa siku ikipatikana millioni 20 yote wanakula ma MC, wapambaji, catering, wapiga picha nyie mnabakiwa na laki 6 .
Hakuna zawadi ya maana rafiki au workmate alitetoa mchango atakuletea.
Sherehe utaiandaa kulingana na kiasi cha fedha. Wengine wameanza maisha ya ndoa kwa mkosi wa madeni .
Hiyo ndoa itajaa madeni, madeni, madeni mpaka ivunjike.
Et Kuna mmoja akasema wanajipongeza Kwa kazi nzito 😀😀Yani wanachona mbuzi hata watatu na pombe wanakunywa na kula na kufurahia 😂
Wapotezee...Kivipi wakati wanatushirikisha?>
Kujipongeza au sioHapaaa ndo nnapopapendaga
mmh nisije nikawa nafanya conversation na midoli ya Elon Musk (AI is real)😀 , yaani kuna watu ndyo maisha yao, how can you creat jobs from unsuspecting contributorsmichango ya harusi ina create significant amount of jobs?, hizo kazi zitaendelea kuwepo, hizo forced contributions si njia smart ya ku create jobs
Kabla ya kuwapotezea lazima tuwachane kwanza. Binafsi nachangia harusi za ndugu wa karibu tu, wengine hata sishtukiWapotezee...
Ukiwa mjanja ni biashara nzur sanaIShakuwa biashara kabisa