Kuomba msaada wa bure kwa Fatma Karume. Je, Fei ameshindwana na wakili wake au hamuamini?

Kuomba msaada wa bure kwa Fatma Karume. Je, Fei ameshindwana na wakili wake au hamuamini?

Utopolo mnashangaa mpaka mtu kuamua kuongeza wakili mwingine kwa ajili ya kesi yake, hebu.punguzeni ushamba wenu.
 
Respondent or plaintiff has rights to be represented by more than one lawyer in court
 
Yule mama ni muongo! Ugali na sukari, wapi na wapi! Inawezekana kweli mchezaji wa timu kama Yanga akose hela ya kununulia dagaa za 500 ili alie na huo ugali, mpaka akalie na sukari!!

Mama Fei aache kuchezea watu akili. Kwanza timu nyingi za kibongo zina utaratibu wa kulia kambini na wachezaji wao wakati wanajiandaa na mashindano! Sasa huo ugali na sukari aliulia wapi? Kama siyo uongo wa mchana, kutoka kwa mama mtu mzima!!
Huo naamini ni msemo tu wa kizanzibari, si unajua watu wa pwani na misemo. Watu wa pande zote mbili kwa mihemko wametembea nao hivyo hivyo.

Niliwahi kumsikia mama yenu akiwaasia vijana wasiwe kama vipepeo, wakienda huku wanachanua, wakienda kule wanachanua!
 
Back
Top Bottom