Kuomba msaada wa bure kwa Fatma Karume. Je, Fei ameshindwana na wakili wake au hamuamini?

Utopolo mnashangaa mpaka mtu kuamua kuongeza wakili mwingine kwa ajili ya kesi yake, hebu.punguzeni ushamba wenu.
 
Respondent or plaintiff has rights to be represented by more than one lawyer in court
 
Huo naamini ni msemo tu wa kizanzibari, si unajua watu wa pwani na misemo. Watu wa pande zote mbili kwa mihemko wametembea nao hivyo hivyo.

Niliwahi kumsikia mama yenu akiwaasia vijana wasiwe kama vipepeo, wakienda huku wanachanua, wakienda kule wanachanua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…