Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuzini miaka 9!?Huyo Mama sijui ataweka wapi sura yake.ila Bora hakuzini
Huwezi jua kama hakuzini au la maana shehe kasema mwaka Jana Tu ndiyo alifuata yawezekana alimfuata tayari akiwa mimba . Angesema mwezi gani alipomfuata kungekadiliaHuyo Mama sijui ataweka wapi sura yake.ila Bora hakuzini
Kuna uwezekano mkubwa aliomba talaka akiwa tayari ameshapata mimba.Huyo mama lakini pia hakukosea kwa maana aliomba ruhusa kwa mumewe na kupewa talaka
Kwani alifata hela? Hamu je?Hongera bi mdogo kwa uvumilivu
Wanawake pia tuchangamshe ubongo tujifunze kutafuta wenyewe bila mwanaume
Wewe miss natafuta hamu unazipeleka wapi?Kwani alifata hela? Hamu je??
Aliposema maisha yamekuwa magumu alimaanisha nini? Achana na hamu zinahimilika..sema baadhi mnajiendekeza tu.Kwani alifata hela? Hamu je??
Hujawai kuwashwa mkuu? Acha tuWewe miss natafuta hamu unazipeleka wapi?
Ulitaka afafanue?Aliposema maisha yamekuwa magumu alimaanisha nini?
Achana na hamu zinahimilika..sema baadhi mnajiendekeza tu.
Zanzibar shwariPole zao....
Comment ya kichwa cha panzi!Kwa imani yao sawa, lakini kwa sisi wakristo kiapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, sio gereza hata
FafanuaComment ya kichwa cha panzi!
Mkuu kikiwasha si unakikuna tu unatunza mpka mwamba atoke jelaššHujawai kuwashwa mkuu? Acha tu
Napo mke hata kama hawezi kuolewa lakini mtoto japo mmoja hatokosa kupataKwa imani yao sawa, lakini kwa sisi wakristo kiapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, sio gereza hata
huyo mwanamke wakati anaenda kuomba talaka kwa mumewe mwaka mmoja kabla hajaachiwa huru na mumewe karudi uraiani kamkuta tiyari ana mtoto ni wazi kwamba mwanamke tiyari alishazini muda mrefu na akawa na mtoto. talaka ilikuwa tu ya kuhalalisha uzinzi uliokwishafanyika kablaHuyo Mama sijui ataweka wapi sura yake.ila Bora hakuzini