chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
- Thread starter
- #41
Oohh, sawa, una hakika ilikuwa namba yako ya mtahiniwa au uliandika namba za magari ya polisi yaliyokuja kufanya ulinzi!?Nakumbuka zilikuwa F saba.Ni Feee Feee Feee hadi mwisho.Nilichofaulu ni kuandika namba yangu ya mtahiniwa bila kukosea.