Kuongea na simu na mtu usiyempenda yataka moyo!

[emoji23] [emoji23] umewahi kupokea simu ukaifunikizia kwenye masweta mawili afu ukawa unaongea kwa sauti kwamba "sikusiiiiiikiiiiiiiiiii" unakata afu unatuma msg,"simu mbovu haisikiki"
Unasema spika mbovu mm huwa naweka mpaka kwenye bumundaaaa simu nasema nusaaaa nusaaaaa hukooo alafu naitika kwa sautii eeeeeeeh sikusikiiii huku kimoyo moyo nasema nusaaa huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…