Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Anajiunga chips bando[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]siku hizi wasukuma wanatumia halotel mama utakoma anaongea huyoo mpaka unataman kumzaba vibaooo
mpe Heineken za haraka haraka aache kusumbuaUsicheke JJ. Shunie ananinyanyasa jamani
Ungeingia mtegoni uoneBe free babe...uliza tu,ila nilifikiri pale ulinitega
Tatizo halewii. [emoji23][emoji23]mpe Heineken za haraka haraka aache kusumbua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji28][emoji23][emoji23] huyo shoga yako anadhambi sana hahaha
Unasema spika mbovu mm huwa naweka mpaka kwenye bumundaaaa simu nasema nusaaaa nusaaaaa hukooo alafu naitika kwa sautii eeeeeeeh sikusikiiii huku kimoyo moyo nasema nusaaa huko[emoji23] [emoji23] umewahi kupokea simu ukaifunikizia kwenye masweta mawili afu ukawa unaongea kwa sauti kwamba "sikusiiiiiikiiiiiiiiiii" unakata afu unatuma msg,"simu mbovu haisikiki"
Ndiyo vp Sasa Mbona kimya njoo pm bana tuongee vzrWozaaaaaaa kumbe umempata penyeweeee
Bby bando zote unazijua [emoji23] [emoji23]Anajiunga chips bando[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uone nini we kaka.Picha
hahahaSasa wakianza kujibebisha hakii mpaka naliaga ninavyokereka maana kukata simu siwezi
Haha i can'tUngeingia mtegoni uone
Simu yake imezima? simuoni humuTatizo halewii. [emoji23][emoji23]