Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapi ktk Post amezungumzia kaskazn?
Unawashwa na kaskazn?
Kaskazn ilishaendelea kitambo,kule Hakuna ufukara Kama huko lake zone kwenu hebu Soma hii ripoti ya serikali kwanzaView attachment 1699969Hapo kwenye Geita Kama mkoa masikini napinga kwa nguvu zote...hizo twakimu hazina uhalisia ..nafasi ya Kilimanjaro ndio nafasi yaGeita....acheni uongo
Usinisababishie ban Bwashee.Disco limeingia masai.
Umeongea Jambo la msingi Sana.Mtanzania unaruhusiwa kuishi popote Tanzania bila kunja Sheria na Taratibu za nchi.. Bwashee..ukiona Kanda ya ziwa kuchele amieni Kanda ya ziwa..tena niwashauri akina bwashee..amieni kwa wingi Kanda ya ziwa..katavi na Rukwa..fursa Ni nyingi mno.hamna sababu ya kulalamika kwamba mkoa wenu umesahaulika...Ni kweli mkuu ila hivi karibuni umepita mto wami? ukaona utatuzi wa tatizo lililokula maisha ya watanzania wengi linavyoshughulikiwa?
Je hapo ni kanda ya ziwa?
Mh.Mkapa alipofanya bidii ya kuifungua mtwara toka kifungo cha kuwa kisiwa kwa sababu ya miundombinu ya barabara wengi tulimpongeza,hatukusema anajenga kwao bali tulifurahia ukombozi wa wenzetu wa mtwara.
Ikumbukwe kwamba kivuko hicho cha busisi waliowahi kufika hapo watakubaliana na mimi kuwa kinachofanyika sasa hivi
kilitakiwa kufanyika miaka mingi iliyopita na bahati nzuri watanzania tupo huru kwenda kuishi popote ili mradi huvunji sheria za nchi,Mtanzania akiona sehemu fulani imeboreshwa zaidi anaruhusiwa kwenda huko akaishi na kujipatia mahitaji yake.
Mikoa iliyosahaulika inapokumbukwa tuwe wavumilivu kama na wao walivyotuvumilia wakati kwetu kunaendelezwa.
Ni kweli watu wa kaskazini wameanza kupata elimu toka enzi za mkoloni kupitia makanisa. Wamiossionary waliyakimbia maeneo ya uswahili na yaliyokuwa na waislamu wengi. Tunachokiona leo ni multipliers' effect tu.Hawajui kuwa watu walipiga kitabu tangu enzi,wanadhani watu wa KILIMANJARO wamesoma kwa elimu za juz juz ,haawajui kule kitabu kimepigwa tangu kabla ya uhuru
Rekebisha thinking yako mkuu.Hakuna himaya iliyowahi kudumu milele. Zilikuwepo Roman Empire, Ottoman Empire, Austria-Hungary empire, British colonial Empire, French colonial Empire, German Empire, Soviet na sasa USA. Za zamani zote zlianguka. USA inaelekea mwishoni ili mfalme wa Mashariki ya mbali achukue yaani CHINA.
Kwa hiyo kama kuna watu wanahisi wanapitwa, basi watulie tu na kukubali hali. Hamna namna.
Kikwete mlisema anapendelea waislamu, Huyu anapendelea Wasukuma, Mkapa tu ndio alikuwa mtamu kwa sababu alikuwa shemeji na mlishamiri kweli.
Huna ubavu wa kupiga pesa wewe, ni mchuuzi tu.Tunazurura au tunapiga pesa? Wazungu unaowaona huku África wanazurura? Je África imeendelea kuliko ulaya? Akili za mchunga mbuzi bhana bure kabisa
Hakuna kitu maisha yako wapi hapo kilimanjaro eti Dar ndio namba moja. Hizo takwimu kichaa hizo. Watu Dar wanashindia chai na mhogo leo uniambie wana maisha mazuri. Upuuzi mtupu.Tupinge Nini sasa?
Kilimanjaro Ni mkoa wa pili tz watu wake kuishi maisha Bora kwa 90%
Nani maskini wewe? Maskini ni nyie msiokuwa na ardhi ya kutosha.Hahaha bado unaweweseka
Hujui kuwa ndizi za dar 80% zinatoka Moshi? Hujui tunailisha Kenya ndizi na parachichi kwa 90%? Pole Sana
Kwani uliwahi sikia lini matajiri Kilimanjaro tumeomba? Nyie pambaneni kuondoa umaskini wenu huko lake zone Hali Ni mbaya nenda meatu, bariadi,solwa ,nyan'gwale kunatisha
Naam lazma tuzikwe kwetu maana kumejengwa vizuri,nyie hamzikwi kwenu maana Ni aibu vijumba vya nyasi
Kama tusingekuwa tunaishi huko hii ripoti inayosema Kilimanjaro Ni mkoa wa pili tz kuwa na maisha Bora je Ni maisha ya misukule au nyani?[emoji1][emoji1]
Nishakwbia unaweweseka,lini tumekwambia tuna shida ya ikulu?
Kumiliki ekar moja ya ardhi au kumi sio kigezo Cha utajir,mbna kwenu mna ardhi kubwa lkn ni maskini wa kupindukia?
Kilimanjaro UCHAGANI ulishawah ona nyumba ya nyasi hata moja tu?
Hawajui kuwa watu walipiga kitabu tangu enzi,wanadhani watu wa KILIMANJARO wamesoma kwa elimu za juz juz ,haawajui kule kitabu kimepigwa tangu kabla ya uhuru
Ukweli ni kwamba makabila yote yana watu wenye pesa na watu maskini. Sio wasukuma wote ni maskini na sio wachagga wote wana pesa.
Hahahaha kumbe jibu unalo
Sasa Kama Kuna watu wengi halafu Hakuna resourses ulitegemea nn?
Pia kumbuka ripoti ya nbs kuhusu umaskini inaangalia factors muhimu Kama makazi, miundombinu, huduma za kijamii nk
sasa mikoa ya ziwa makaz Bora Ni ya kuwinda na manati(simaanishi mjini namaanisha vijiji kwenye population kubwa)
Pia huduma za jamii Kama umeme huko Kuna watu Hadi sasa hawajawah ona umeme,maji ya bomba nk kuna vingi acha niishie hapa
Naam watu kama huko kwa n@nizakale attitude yao Ni kuozesha mabinti na kuchezea nyoka na kupanda fisi sasa umaskini ukiwepo wanaanza kusema watu wengine walipendelewa
Mpo tayar kushirikiana na wagen kuwanyanyasa na kuwa dhulum wa Tanzania wenzetu ofisn kwetu tulikuwa na kiongoz kutoka uko sasaiv hayupo kaja mwingine kutoka ukanda mwingine Sasa tuna pata haki zetu ana tusikilizaUna inferiority complex maskini wa FIKRA wewe
Dada zao wamejaa wana jiuza dar ukiwakuta wanaongea rafudh za kichaga na ki Arusha soko la kujiuza wametawala waoWewe ndio maskini, ndio maana mnazurura kwenye mikoa iliyobarikiwa na sasa mmebanwa mbavu mpaka akili ziwakae sawa.