Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kwani Gonja Mawole siyo Kilimanjaro au huko kwenye Magadi wilaya ya Siha siyo Kilimanjaro ? Kawadanganye wasiofika huko. Huko machame kwenyewe shina la mgomba kama paja la mbuzi, ardhi haina rutuba. Mnasema nyie matajiri ni lini Kanda ya Ziwa ilikuja kuomba msaada wa chakula huko ? We vipi ?
Hahaha bado unaweweseka
Hujui kuwa ndizi za dar 80% zinatoka Moshi? Hujui tunailisha Kenya ndizi na parachichi kwa 90%? Pole Sana
Kwani uliwahi sikia lini matajiri Kilimanjaro tumeomba? Nyie pambaneni kuondoa umaskini wenu huko lake zone Hali Ni mbaya nenda meatu, bariadi,solwa ,nyan'gwale kunatisha
 
Kwanza huko Kilimanjaro ni makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini. Nani anaishi huko ? Mkifa ndio mnapelekwa kuzikwa.
Naam lazma tuzikwe kwetu maana kumejengwa vizuri,nyie hamzikwi kwenu maana Ni aibu vijumba vya nyasi
 
Kwanza huko Kilimanjaro ni makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini. Nani anaishi huko ? Mkifa ndio mnapelekwa kuzikwa.
Kama tusingekuwa tunaishi huko hii ripoti inayosema Kilimanjaro Ni mkoa wa pili tz kuwa na maisha Bora je Ni maisha ya misukule au nyani?[emoji1][emoji1]
 
Mnashida sana na ikulu ndio maana kelele nyingiiii. Mtu umiliki robo eka ya mchaichai halafu ujione tajiri . hauko seroius.
Nishakwbia unaweweseka,lini tumekwambia tuna shida ya ikulu?
Kumiliki ekar moja ya ardhi au kumi sio kigezo Cha utajir,mbna kwenu mna ardhi kubwa lkn ni maskini wa kupindukia?
Kilimanjaro UCHAGANI ulishawah ona nyumba ya nyasi hata moja tu?
 
Kanda ya Ziwa yote High School enzi zake ilikuwa mpaka Tabora boys .
Sasa Kama mlikuwa hamna mwamko wa elimu shule zingejengwaje? Si mlikuwa busy kuozesha mabinti na kucheza bogobogo?
Kilimanjaro shule sio zote zimejengwa na serikali Bali wananchi walihamasika wakachanga wakajenga then serikali inamalizia , pia vyama vya ushirika Kama kncu vilijenga mashule mengi mfano lyamungo,kncu ilikuwa na hela Hadi inaikopesha serikali
nk nyie mlitegemea mjengewe kwa 100% na serikali? Thubutuuu
Mpango wa shule za kata sisi Kilimanjaro tulishaumaliza tangu miaka ya 90,kule Kilimanjaro mashule yapo mengi Hadi madarasa yanalaliwa na mijusi na popo
 
Mtakuja tu maana huko hapawatoshi. Mtaenda wapi ?
Tulishawekeza tz yote na tunazid kuwekeza Hakuna sehemu yoyote tz ambayo hatujawekeza,tena tukija tunawaamsha akili na kuibua maendeleo unaona faida ya akili kubwa?
 
Mkuu yaani hapo miamia kabisa. Wachaga wanenda kuchukua nchii mazima. Miaka ya 1990 Kilimanjaro ilikuwa na secondari 72 wakati nikiwa Tabora kulikuwa na shule 12 tu tena shule 4 kati ya hizo zilikuwa za kitaifa na kikanda yaani Tabora Boys na Tabora Girls Mirambo na Kazima. Madhara yake leo tunayaona. Kila shule ya Msingi.. kila shule ya secondary nchini imejaa wachaga na hizo ndio ajira za makapuku ajira za maana wanavutana tu
Hawajui kuwa watu walipiga kitabu tangu enzi,wanadhani watu wa KILIMANJARO wamesoma kwa elimu za juz juz ,haawajui kule kitabu kimepigwa tangu kabla ya uhuru
 
Ukweli ni kwamba makabila yote yana watu wenye pesa na watu maskini. Sio wasukuma wote ni maskini na sio wachagga wote wana pesa.
 
bwawa la mradi wa umeme wa nyumba ya mungu ujenzi wake ulimalizika mwaka 1969. na wakati mradi huo unajengwa cd msuya hakuwa waziri. pia nadhani umeme ulifika mwanga miaka ya 80, muda mrefu baada ya mradi wa nyumba ya mungu kumalizika.

azimio la arusha na operation vijiji ndiyo chanzo cha umasikini kwa wananchi wa mikoa ya kusini. zoezi la operation vijiji liliangusha zao la korosho na kusababisha uchumi wa wananchi wa kusini kuathirika. mnachotakiwa kujiuliza ni viongozi na wabunge wa mikoa ya kusini walikuwa wapi mpaka wananchi wa kusini wakaathiriwa na azimio na operation vijiji?
Hawez kukuelewa huyu machinga, hongera mtani kwa kumjibu kisomi
This is how the educated ones must handle such petty questions
 
Wachagga wengi sana ni maskini. Ni machinga wa kulala kwenye kiosk chake, wauza vitunguu na nyanya pale Himo, makondakta wachafu wa magari ya Sanya juu, Umbwe, Wengine hawaongei hata kiswahili.
 
Hakuna umaskini huko usijitekenye. Hii ni kwa sababu kuna high density ya population
Hahahaha kumbe jibu unalo
Sasa Kama Kuna watu wengi halafu Hakuna resourses ulitegemea nn?
Pia kumbuka ripoti ya nbs kuhusu umaskini inaangalia factors muhimu Kama makazi, miundombinu, huduma za kijamii nk
sasa mikoa ya ziwa makaz Bora Ni ya kuwinda na manati(simaanishi mjini namaanisha vijiji kwenye population kubwa)
Pia huduma za jamii Kama umeme huko Kuna watu Hadi sasa hawajawah ona umeme,maji ya bomba nk kuna vingi acha niishie hapa
 
Wachagga wengi sana ni maskini. Ni machinga wa kulala kwenye kiosk chake, wauza vitunguu na nyanya pale Himo, makondakta wachafu wa magari ya Sanya juu, Umbwe, Wengine hawaongei hata kiswahili.

Wkt huo huko kwenu nyie bado hamjengi vyoo eti kisa hauwezi kunya choo kimoja na dingi na maza ako.
 
Kwa case ya mkoa wa Kilimanjaro na mikoa mingine, labda tutofautishe vitu viwili hapa; Mkoa wa Kilimanjaro na Watu wenye asili ya Kilimanjaro (Wachagga, Wapare, -(MINUS)Wamaasai wa Siha na West Kili).
Mkoa kama mkoa hauna tofauti na mikoa mingine kama Iringa, Njombe na Mbeya.
Ila watu wa Kilimanjaro wana attitude au strong personality towards life and accumulation of Wealth.
Kama ni viongozi kutoka huko; Hata mikoa kama Dodoma ilitoa viongozi muhimu kama John Malecela lkn wamefanya nini kuiweka Dodoma katika nafasi nzuri kwa watu wake kufurahia national cake?
Mkoa wa Mwanza+Geita ilitoa viongozi kama vile ukoo wa Bomani, Kina William Shija and others;
Kwa ufupi hakuna sehemu ya nchi hii ambayo ilikuwa under represented toka uhuru. Tatizo kubwa ni attitude ya viongozi na watu wao na wala sio kukandamizwa wala kubaguliwa.
Naam watu kama huko kwa n@nizakale attitude yao Ni kuozesha mabinti na kuchezea nyoka na kupanda fisi sasa umaskini ukiwepo wanaanza kusema watu wengine walipendelewa
 
Ni kweli mkuu. Niliitwa shirecu kwa interview ya accountant. Nilikuwa na ACCA ya london miaka hiyo ya 90. Jamaa akaangalia vyeti vyangu akaniita chemba akaniuliza maneno ya kisukuma ambayo yapo kichwani hadi leo Ng'wana nani wee sikuwa msukuma na sikuelewa kitu nikafeli na sikuitwa hata kwenye usaili tena. Nikakaa benchi hapo nje hadi saa kumi na mbili jioni. Marafiki zangu wa kisukuma wakaniambia baada kushindwa kutambulika wanatoka kwenye familia gani maarufu walikuwa disqualifed. Akapewa kazi form iv mmoja ambaye alikuwa account clerk wa halmashauri. Very painful.
Kwanza hongera mangi kwa kupiga kitabu kwa level hiyo
Hawa watu Ni wabaguz lkn hawaoni ubaguz wao wamekakia kuisema Kilimanjaro tu kina nizakale
 
Lakini pia tujiulize swali; Ni wapi ubaguzi umefanyika? Watu wanalia ubaguzi dhanio. Ubaguzi uko wapi hasa? Wachagga wamebaguliwa wapi? Kwa sababu kwenye teuzi wapo mawaziri, wqkuu wa taasisi, makatibu tawala na mabalozi.Ni wapi hasa wachagga wamebaguliwa?
 
Lingine la kujiuliza linalochukua nafasi mada hii ni madai kwamba Kilimanjaro ikipendelewa; Ni wapi hasa Kilimanjaro ilipendelewa? Nani alipendelea? Alipendeleaje?
 
Back
Top Bottom