Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Hapa Ni ROMBO mashati wala sio mjini ni local area tu huko wilayan ROMBO tulia kabisa mwanafunzi wangu[emoji1][emoji1]View attachment 1701796
Naona lami imefika kashosi na kibengwe bukoba vijijini 30km kutoka mjini bukoba.


Bukoba vijijini kunanoga
Hapo ni oldest mission church in bukoba .lilijengwa mwaka 1870s
FB_IMG_16125532402340529.jpg
FB_IMG_16125960442526860.jpg
FB_IMG_16125532639532670.jpg
 
barabara ya korogwe same mwanga moshi inapita ktk jimbo la mwanga ambalo msuya alikuwa mbunge. sasa hebu tueleze huo upendeleo uko wapi wakati tayari barabara inapita jimboni kwake? mimi ninavyoelewa upendeleo ni kiongozi kupeleka huduma fulani eneo lake na kuwanyima wananchi wa maeneo mengine huduma hiyo. kwa mfano kiongozi toka wilaya A alazimishe huduma ipelekwe ktk eneo lake wakati serikali ilikuwa imepanga huduma hiyo iende eneo B.

tukirudi kwa cleopa msuya kuna wakati watu walikuwa wanadai kwamba amechukua ramani ya ujenzi wa jiji la dodoma na kwenda kujenga kwao mwanga. sasa kuna watu wa ccm walitembelea jimbo la mwanga na kukuta hali tofauti na maneno ya mitaani yaliyokuwa yakisemwa kuhusu wapare, wana mwanga, na cleopa msuya. mambo mengi kuhusu msuya siyo ya kweli, bali yametokana na vita ya uongozi ndani ya ccm na serikalini.

mwisho, naomba uache kuchonganisha jamii wa wapare na watanzania wenzao. maendeleo ya upareni yametokana na juhudi za wananchi wenyewe kutokana na utamaduni wa kujitolea kazi wa MSARAGAMBO. kupitia msaragambo wapare wameweza kujenga mashule, kuchimba mifereji ya kilimo cha umwagiliaji, kuchimba barabara za milimani, n.k
Hivi kaskazini kuna shida gani nyie kila kitu mmefanya wenyewe sio serikali wakati mlikuwa mmejazana serikalini mkiwatumia baadhi ya watu kujimegea pakubwa.Mnafikiri sisi hatunazo???!!!
 
Hivi kaskazini kuna shida gani nyie kila kitu mmefanya wenyewe sio serikali wakati mlikuwa mmejazana serikalini mkiwatumia baadhi ya watu kujimegea pakubwa.Mnafikiri sisi hatunazo???!!!
kaskazini ni msamiati mpana sana. mimi nazungumzia wilaya za mwanga na same. kwa uelewa wangu wilaya hizo hazijapendelewa hata kidogo. usiishie kusema kwamba kaskazini wamejimegea bakubwa, eleza walijimegea kitu gani na wakati gani. kuna mchangiaji alisema kuna hospitali ya wilaya ilijengwa kwa upendeleo, wakati ukweli ni kwamba kituo cha afya kilipandishwa ngazi kuwa hospitali ya wilaya. madai mengi yanayotolewa dhidi ya wenyeji wa kaskazini ni ya UONGO na yanaletwa na watu wenye CHUKI.
 
Nakuunga mkono, Bukoba vijijini pako poa kuliko Kilimanjaro.
Umeoma usukumani kwenu nyumba za tembe nyingi sasa unajikomba komba kwa bwana instanbul kutafuta huruma? Hahaha kwann unaweka mpira kwapani ewe mpanda punda?
Na wewe post vijumba vyenu vya nyasi vya kule nyan'gwale
 
Yangekuwa makabila mengine hayasoma kabla ya uhuru basi uhuru wa nchi hii ungeletwa na wachagga tu. Lakini kumbuka hata Baraza la waziri la kwanza wakati Tanganyika inapata uhuru lilikuwa na mawaziri kutoka makabila tofauti na walikuwa wamesoma. Wewe umeng'ang'ania tu wachagga peke yao ndio waliosoma kabla ya uhuru. Pole sana.
Walikuwa wamesoma kuliko wengine maana hata kwa takwimu ya idadi ya shule KILIMANJARO tangu Uhuru ndio inaongoza kwa shule nyingi
 
WAKATI KANDA YA KASKAZINI IKIIMARISHWA KWA SHULE NA MIUNDO MBINU MLIKAA KIMYA SASA HIVI TUNATAKA KUBALANCE MIDOMO JUU SEMENI MPAKA MCHOKE
Uzuri ni kwamba maendeleo ni perception na hauwezi kuyalazimisha. Mtu akiwa mshenzi hata apewe nn hawawezi kubadilika. Na hata uwajengee lami hawataweza kutunza. RSA kaburu aliacha kila kitu sawa na Western Europe ila wanachofanya waafrica walioachiwa ni kuharibu ili wawe sawa na ndugu zao wa north
 
Haya Saud Arabia ni matajiri kuliko China sasa niambie nani super power kati ya mataifa hayo mawili ?
Saudia wao Ni matajiri individually kwa maana wananchi wa kule kiwango chá umaskini ni kidogo mno,ila China wao ni matajiri nationally yaan nchi Ni tajiri lkn wananchi Ni maskini (refer Ethiopia)
 
Nani analala kwenye tembe ? Hao wenye matembe yao DOM/SINGIDA wameanza kuyaacha. Ndio maana nimekuambia mara nyingi usikariri dunia inakwenda kasi now.
Weweeee mm nimetoka huko kwenu lake zone juz tu hapa mwez novembre,Hakuna jipya watu wanatumia punda kama usafir hata bodaboda hamna
 
Wewe hujui kitu. Ninajadiliana na mbumbu mzungu wa reli
Wewe ndio mbumbumbu daraja la Kwanza maana unadai ardhi Ni utajiri,sasa nimekwambia mbona Tanzania isiwe tajiri kuzidi Sweden au Finland ambayo Ni vimchi vidogo lkn vinaipa msaada?
Utajiri au umaskini Ni akili ya mtu,wewe unategemea akili yako iwaze kuzaa watoto wengi ili uwaozeshe alafu uwe tajiri? Sahau sahau sahau(in mwanri's voice)
Good lucky I have visited those countries
 
Uzuri ni kwamba maendeleo ni perception na hauwezi kuyalazimisha. Mtu akiwa mshenzi hata apewe nn hawawezi kubadilika. Na hata uwajengee lami hawataweza kutunza. RSA kaburu aliacha kila kitu sawa na Western Europe ila wanachofanya waafrica walioachiwa ni kuharibu ili wawe sawa na ndugu zao wa north
Hahahaha umemjibu kisomi Sana,naamini PhD yako umeitendea haki[emoji1][emoji1]
 
Kwa hiyo mmejiaminisha kabisa jamii zingine hazijui kutumia maji, barabara, umeme, shule, hospitali, nyumba? Enzi yenu imepita. End of era has come.
Unabweka bweka tu
Enzi yetu ipi? Kuna kipi kipya mnachopewa ambacho kwetu hakipo? Ni umeme,maji,mbuga za wanyama,lami au shule? Kiufupi Hakuna kipya
 
Hivi kaskazini kuna shida gani nyie kila kitu mmefanya wenyewe sio serikali wakati mlikuwa mmejazana serikalini mkiwatumia baadhi ya watu kujimegea pakubwa.Mnafikiri sisi hatunazo???!!!
Wakati wenzenu kaskaz wakijichanga kujenga shule ,huduma za jamii nyie si mlikuwa busy kufuga majoka ?
 
Back
Top Bottom