Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Naona lami imefika kashosi na kibengwe bukoba vijijini 30km kutoka mjini bukoba.


Bukoba vijijini kunanoga
Hapo ni oldest mission church in bukoba .lilijengwa mwaka 1870sView attachment 1701986View attachment 1701987View attachment 1701988
Oh nice memory,sisi Kilimanjaro makanisa makubwa na ya kisasa vijijin ndio kwenyewe,Yan makanisa uko UCHAGANI unaweza dhania upo St Etienne France [emoji1]View attachment 1703175
1858765542.jpeg
530118658.jpeg
 
Kaskazini haijazidi kanda ya ziwa chochote. Kama ni watu wenye pesa wapo kibao kanda ya ziwa kuanzia Kagera hadi Musoma. Usilinganishe Kilimanjaro na mkoa wa juzi kati wa Simiyu. Linganisha na Kagera, Mwanza na labda Mara.
 
Kaskazini haijazidi kanda ya ziwa chochote. Kama ni watu wenye pesa wapo kibao kanda ya ziwa kuanzia Kagera hadi Musoma. Usilinganishe Kilimanjaro na mkoa wa juzi kati wa Simiyu. Linganisha na Kagera, Mwanza na labda Mara.
Kaskaz imeizd lake vingi tu kama shule,huduma za jamii kama umeme, barabara,makaz etc
Sijakataa kuwa lake zone hawana héla,ila hawawez fikia kaskaz
Mfano ile list ya mabilionea wazawa ilikuwa Ni kina marehemu mengi nk sikuona lacal bilionea wenu
Hata sasa hv hapo lake zone Hakuna mtu wa kumfikia bilionea shirima wa Precision air hapo sijakutajia kina panone,mosha n.k Kinyungu hebu njoo
 
Kaskazini haijazidi kanda ya ziwa chochote. Kama ni watu wenye pesa wapo kibao kanda ya ziwa kuanzia Kagera hadi Musoma. Usilinganishe Kilimanjaro na mkoa wa juzi kati wa Simiyu. Linganisha na Kagera, Mwanza na labda Mara.
Sijakataa kuwa lake zone wana héla,ila hawawez fikia kaskaz
Mfano ile list ya mabilionea wazawa ilikuwa Ni kina marehemu mengi nk sikuona lacal bilionea wenu
Hata sasa hv hapo lake zone Hakuna mtu wa kumfikia bilionea shirima wa Precision air hapo sijakutajia kina panone,mosha n.k Kinyungu hebu njoo
 
Kaskazini haijazidi kanda ya ziwa chochote. Kama ni watu wenye pesa wapo kibao kanda ya ziwa kuanzia Kagera hadi Musoma. Usilinganishe Kilimanjaro na mkoa wa juzi kati wa Simiyu. Linganisha na Kagera, Mwanza na labda Mara.
Sijakataa kuwa lake zone wana héla,ila hawawez fikia kaskaz
Mfano ile list ya mabilionea wazawa ilikuwa Ni kina marehemu mengi nk sikuona lacal bilionea wenu
Hata sasa hv hapo lake zone Hakuna mtu wa kumfikia bilionea shirima wa Precision air hapo sijakutajia kina panone,mosha n.k Kinyungu hebu njoo
 
Ila jamani[emoji23][emoji23][emoji23] nikiangaliaga nyumba zinazoongelewa za bk nachekaga sana... ila hamna nomaa...
 
Sijakataa kuwa lake zone hawana héla,ila hawawez fikia kaskaz
Mfano ile list ya mabilionea wazawa ilikuwa Ni kina marehemu mengi nk sikuona lacal bilionea wenu
Hata sasa hv hapo lake zone Hakuna mtu wa kumfikia bilionea shirima wa Precision air hapo sijakutajia kina panone,mosha n.k Kinyungu hebu njoo
Kuna Don mmoja wa Kilimanjaro anaitwa Hans Aingaya Macha . Huyu ndiye ndiye Mtanzania pekee as individual anayeimiliki bank ya crdb kwa zaidi ya 1% . Ukiondoa wale Wahindi wawili wenye hisa nyingi kwa pamoja huyu jamaa ni shidaaa. Halafu wala hapigi kelele katulia kama hayupo. Hawa washamba wakiona crdb imejaa wachagga watulie itakuwa Macha anawajaza huko 😂😂😂😂😂

Nasubiri mapovuu

IMG_20210215_191106.jpg


 
Kuna Don mmoja wa Kilimanjaro anaitwa Hans Aingaya Macha . Huyu ndiye ndiye Mtanzania pekee as individual anayeimiliki bank ya crdb kwa zaidi ya 1% . Ukiondoa wale Wahindi wawili wenye hisa nyingi kwa pamoja huyu jamaa ni shidaaa. Halafu wala hapigi kelele katulia kama hayupo. Hawa washamba wakiona crdb imejaa wachagga watulie itakuwa Macha anawajaza huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nasubiri mapovuu

View attachment 1703193

Naona Midimay kakimbia alipoiona hii comment
 
Kuhusu yeye kuwa na hisa nyingi, basi uwekezaji tu alioamua kuchagua. Kuna makabila mengine pia wana pesa lkn hawajanunua hisa za CRDB.
 
Kuhusu majumba, siku hizi yanajengwa kote nchini. Mikoa kama Kagera, Mbeya, Songwe, Manyara, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Geita, Mwanza, majumba yanajengwa kote, mijini na kijijini. Swala la kijisifia nyumba bora ingekuwa miaka ya 90.
 
Nadeclare kwamba mimi sio msukuma, mimi ni mixer, muiraq na mmeru. Majirani zenu. Lakini nimeamua tu kuwatoa jasho kwa sababu siku hizo mnapenda sifa sana.
 
Fikiria mara mbili, iko mikoa tukigawana majimbo itasumbuka sana, mikoa ya kaskazini taabu ni kubwa zaidi, mikoa yenye neema kwa miaka mingi ijayo ni kanda ya ziwa.

Wana Ardhi yenye rutuba, wana maji ya kutosha, sasa hivi wana dhahabu nyingi ya akiba kuliko dhahabu tulio kwisha kuichimba tangu nchi hii iumbwe iko kwao Pole Pole Wilaya ya Sikonge. . Na Almasi ni hivyo hivyo .

Wako wengi ki uchumi maana yake ni soko, na ni watu wa bidii. Hawana kitu Watakosa labda elimu. Na ni naona jitihada ya shule ime ongezeka sana na sio wajinga madarasani.

Tutafute kingeni hiki hakina faida kwetu.
Kwa miaka hii utajiri wa nchi/ eneo hautegemei sana kilichopo ardhini ila technolojia.
 
Back
Top Bottom