Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

-Unachotakiwa kuelewa ni kuwa hizo shule unazosemea ni za kitaifa/zinachukua watu kutoka mikoa mbalimbali hivyo makabila mbalimbali yalisoma hapo siyo nyie tu wapo wasukuma, waha, wamatumbi, wazaramo, nyakyusa nk
-shule hizo ni kama MoshiTechnical, Oldmoshi, weruweru, Same secondary, ashira nk hizo shule zinamchangamano wa makabila sio wa Kilimanjaro tu
-
Nakubaliana na wewe lakini majority walikuwa wachaga sababu hata kwa shule za msingi ilikuwa nazo nyingi kwahyo advantage ya watoto kusoma secondary huko huko ilikuwa kubwa
 
Mkubwa usiwe mbishi wa takwimu. Kufuatana na takwimu kutoka Bureau of Statistics, mikoa inayoongoza kwa utajiri:

1) Dar
2) Kikimanjaro
3) Njombe
4) Mbeya

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, Mwanza ni ya 4 toka mwishoni. Hizi ni takwimu za mkoa mzima siyo makao makuu ya mkoa.

Na ukienda kwenye mikoa hii (ukiondoa Dar), ukaangalia maisha ya vijijini, takwimu zinaakisi uhalisia.
Kunywa kikombe kimoja Cha kahawa kwa bili yangu
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Bila CCM imara taifa litayumba - JK Nyerere

Haya maneno yametimia !! Chama kinachotawala kwa sasa kinakwenda mwendo wa mateka....
 
Makanisa hayajawasaidia maana bado mnatambika na kulala na wakamwana zenu. Kwa hiyo ni kujilisha upepo tu.
Nyie huko kwenu yamewasaidia? Huko usukumani kwenu kwenye NDAGU ndio yamesaidia? Au kuua vikongwe wenye macho mekundu ? Rubbish kabisa
 
Kuzaa ni lazima tuzae sana tu. Kwani si tunauwezo huo sasa wewe mnywa mbege mpaka mkeo akatafute msaada kwa wanaume wa Kenya maana huna uwezo wa kuzaa.
Mna uwezo gani? Kuzaa vitoto dazani huku ukiwa huna uwezo wa kuwahudumia. ? Ndio maana umaskini huko kwenu hautakaa uishe hadi Masiha kurudi
 
Msukuma akiwa mpagani anakuwa mpagani hasa kwa 100% na akiamua kuokoka anaokoka kwa 100℅ hakuna uvuguvugu kama wachagga.
Nyie huko kwenu yamewasaidia? Huko usukumani kwenu kwenye NDAGU ndio yamesaidia? Au kuua vikongwe wenye macho mekundu ? Rubbish kabisa
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Ulitakiwa kusema pale uliopoanza na wala sio wakati huu uikiwa umeota mizizi.
 
Hakuna cha kusoma zaidi ya wengine, ni ukabila tu unawasumbua, ndio maana Mangi Marealle badala ya kutafuta uhuru wa Tanganyika eti likaenda kuomba uhuru wa wanywa mbege na meno kama kashata ! Lilikuwa jinga kweli hilo. Unaweza ukawa umesoma lakini ukawa hujaelimika.
Kumbe hujui lolote kuhusu história ya Uhuru pole sana hujui hata nyerere nauli za kwenda un alifadhiliwa na boss aikael mbowe enz hizo?
Huwajui kina nsilo swai? Una miaka umri gani kwanza?
 
Kuhusu majumba, siku hizi yanajengwa kote nchini. Mikoa kama Kagera, Mbeya, Songwe, Manyara, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Geita, Mwanza, majumba yanajengwa kote, mijini na kijijini. Swala la kijisifia nyumba bora ingekuwa miaka ya 90.
Wewe kumbe una reasoning ndogo mno,majumba yaliyo vijijin Kilimanjaro huez fananisha n'a popote Kijiji tz ,ni Sawa na kuifananisha dar na New-York kwa kigezo kuwa dar pia kuna ghorofa nadhani umeelewa
Awali ni awali tu
 
Nadeclare kwamba mimi sio msukuma, mimi ni mixer, muiraq na mmeru. Majirani zenu. Lakini nimeamua tu kuwatoa jasho kwa sababu siku hizo mnapenda sifa sana.
Hahaha usirudie Siku nyingine hutatoboa ulishawah ona Israël imeshindwa?
 
Nadeclare kwamba mimi sio msukuma, mimi ni mixer, muiraq na mmeru. Majirani zenu. Lakini nimeamua tu kuwatoa jasho kwa sababu siku hizo mnapenda sifa sana.

wachaga wana bahati mbili. bahati ya kwanza ni kahawa. bahati ya pili ni mpaka wa tanzania na kenya. kahawa ni zao ambalo limekuwa na bei nzuri kwa muda mrefu na linastawi zaidi ktk ardhi ya wachaga. kenya ndio jirani wa tanzania mwenye hali nzuri ya kiuchumi kuliko majirani zetu wote. siri ya " mafanikio " ya wachaga ni hiyo nimewapa. sasa mwenye CHUKI zake aendelee tu lakini ukweli ndio huo.

eneo lolote lile lisipokuwa na zao la biashara lenye bei nzuri hata serikali ikiwekeza haliwezi kuinuka. mfano mzuri ni mkoa wa dodoma ambao siku zote una changamoto pamoja na serikali kuwekeza. mikoa ya mbeya na iringa ni mifano ya mikoa ambayo ina mazao ya mpunga na mbao ambayo yana bei nzuri. na ndio maana tumeshuhudia jamii ya wakinga wakiibuka kama wafanyabiashara wakubwa.

wapemba pia wameibuka kutokana na zao la karafuu kustawi ktk ardhi yao. biashara ya karafuu imewawezesha wapemba kuja mjini wakiwa tayari na mtaji wa kuanzisha biashara, tofauti na jamii nyingine ambazo huhamia mjini bila mtaji wa biashara au elimu na maarifa ya kupata ajira nzuri.
Kuna mchagga ametajirika tukamfahamu kwa sababu ya kahawa? Kahawa ilikuwepo na bado ipo Kagera, Mbeya, Songwe(Mbozi) na Arusha. Utasema Arusha Wamasai na Waarusha hawakuwa na elimu ya kutumia kahawa kutajirika na pengine Wanyiha. Hiw about Wanyakyusa wa Mbeya, Wahaya wa Bukoba? Mengi amepata utajiri kwenye kahawa na kufanya biashara Kenya? Shirima wa precision ametajirikia Kahawa?
 
Back
Top Bottom