Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuhusu majumba, siku hizi yanajengwa kote nchini. Mikoa kama Kagera, Mbeya, Songwe, Manyara, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Geita, Mwanza, majumba yanajengwa kote, mijini na kijijini. Swala la kijisifia nyumba bora ingekuwa miaka ya 90.

wachaga wana bahati mbili. bahati ya kwanza ni kahawa. bahati ya pili ni mpaka wa tanzania na kenya. kahawa ni zao ambalo limekuwa na bei nzuri kwa muda mrefu na linastawi zaidi ktk ardhi ya wachaga. kenya ndio jirani wa tanzania mwenye hali nzuri ya kiuchumi kuliko majirani zetu wote. siri ya " mafanikio " ya wachaga ni hiyo nimewapa. sasa mwenye CHUKI zake aendelee tu lakini ukweli ndio huo.

eneo lolote lile lisipokuwa na zao la biashara lenye bei nzuri hata serikali ikiwekeza haliwezi kuinuka. mfano mzuri ni mkoa wa dodoma ambao siku zote una changamoto pamoja na serikali kuwekeza. mikoa ya mbeya na iringa ni mifano ya mikoa ambayo ina mazao ya mpunga na mbao ambayo yana bei nzuri. na ndio maana tumeshuhudia jamii ya wakinga wakiibuka kama wafanyabiashara wakubwa.

wapemba pia wameibuka kutokana na zao la karafuu kustawi ktk ardhi yao. biashara ya karafuu imewawezesha wapemba kuja mjini wakiwa tayari na mtaji wa kuanzisha biashara, tofauti na jamii nyingine ambazo huhamia mjini bila mtaji wa biashara au elimu na maarifa ya kupata ajira nzuri.
 
Wewe shoe shine wa kwa Sadala acha kuropoka au na wewe ni mmojawapo wa wale mazezeta ya kishimundu
Umeoma usukumani kwenu nyumba za tembe nyingi sasa unajikomba komba kwa bwana instanbul kutafuta huruma? Hahaha kwann unaweka mpira kwapani ewe mpanda punda?
Na wewe post vijumba vyenu vya nyasi vya kule nyan'gwale
 
Hakuna cha kusoma zaidi ya wengine, ni ukabila tu unawasumbua, ndio maana Mangi Marealle badala ya kutafuta uhuru wa Tanganyika eti likaenda kuomba uhuru wa wanywa mbege na meno kama kashata ! Lilikuwa jinga kweli hilo. Unaweza ukawa umesoma lakini ukawa hujaelimika.
Walikuwa wamesoma kuliko wengine maana hata kwa takwimu ya idadi ya shule KILIMANJARO tangu Uhuru ndio inaongoza kwa shule nyingi
 
Kuzaa ni lazima tuzae sana tu. Kwani si tunauwezo huo sasa wewe mnywa mbege mpaka mkeo akatafute msaada kwa wanaume wa Kenya maana huna uwezo wa kuzaa.
Wewe ndio mbumbumbu daraja la Kwanza maana unadai ardhi Ni utajiri,sasa nimekwambia mbona Tanzania isiwe tajiri kuzidi Sweden au Finland ambayo Ni vimchi vidogo lkn vinaipa msaada?
Utajiri au umaskini Ni akili ya mtu,wewe unategemea akili yako iwaze kuzaa watoto wengi ili uwaozeshe alafu uwe tajiri? Sahau sahau sahau(in mwanri's voice)
Good lucky I have visited those countries
 
Hakuna cha kusoma zaidi ya wengine, ni ukabila tu unawasumbua, ndio maana Mangi Marealle badala ya kutafuta uhuru wa Tanganyika eti likaenda kuomba uhuru wa wanywa mbege na meno kama kashata ! Lilikuwa jinga kweli hilo. Unaweza ukawa umesoma lakini ukawa hujaelimika.
hii habari ni ya UONGO. Ni bahati mbaya sana vijana mmelishwa propaganda na matokeo yake mmejawa na CHUKI dhidi ya Watanzania wenzenu. Vilevile siyo kweli kwamba Wachaga walijitenga na harakati za uhuru wa Tanganyika. Katika chama cha Tanu kulikuwa na Wachaga maarufu kama Solomon Eliufoo, Asanterabi Nsilo Swai, Israel Elinewinga, na wengine wengi.
 
hii habari ni ya UONGO. Ni bahati mbaya sana vijana mmelishwa propaganda na matokeo yake mmejawa na CHUKI dhidi ya Watanzania wenzenu. Vilevile siyo kweli kwamba Wachaga walijitenga na harakati za uhuru wa Tanganyika. Katika chama cha Tanu kulikuwa na Wachaga maarufu kama Solomon Eliufoo, Asanterabi Nsilo Swai, Israel Elinewinga, na wengine wengi.
Kuna watu awamu hii, wanatumia hila za uongo ili kuhalalisha ubaguzi wa kimaendeleo.
Wanasema wazi makabila fulani walipendekewa hivyo kujihalalishia ubaguzi kama ilivyo Kenya.

Wanapanda mbegu za chuki, na vizazi vya sasa na vijavyo hawatawasahau kwa hili.
Wanasahau historia ya kikoloni na jinsi wakoloni wali settle senemu wazipendazo.

Ni kweli kila mtanzania anastahili maendeleo, ila kubagua wengine ati hastahili kwa vile waliendelea zamani, hapo tunajipalia makaa.
 
Hii mada ipo kikabila zaidi na inawatetea wachaga kwa 100%
Ukiwa na subjective mind, unafikiria huendelei kwa vile jirani yako kaendelea zaidi.
Thats inferirity complex.
Jitahidi umfikie au umpite kwa njia hakali zote.Si kumweka jela ili siku akitoka akukute uko mbali.
Nzuri zaidi ni kushirikiana makabila yote ili Tanzania iendelee.
Kwa taarifa yako mtoa mada si mchaga.
 
Walikuwa wamesoma kuliko wengine maana hata kwa takwimu ya idadi ya shule KILIMANJARO tangu Uhuru ndio inaongoza kwa shule nyingi
-Unachotakiwa kuelewa ni kuwa hizo shule unazosemea ni za kitaifa/zinachukua watu kutoka mikoa mbalimbali hivyo makabila mbalimbali yalisoma hapo siyo nyie tu wapo wasukuma, waha, wamatumbi, wazaramo, nyakyusa nk
-shule hizo ni kama MoshiTechnical, Oldmoshi, weruweru, Same secondary, ashira nk hizo shule zinamchangamano wa makabila sio wa Kilimanjaro tu
-
 
Hakuna himaya iliyowahi kudumu milele. Zilikuwepo Roman Empire, Ottoman Empire, Austria-Hungary empire, British colonial Empire, French colonial Empire, German Empire, Soviet na sasa USA. Za zamani zote zlianguka. USA inaelekea mwishoni ili mfalme wa Mashariki ya mbali achukue yaani CHINA.
Kwa hiyo kama kuna watu wanahisi wanapitwa, basi watulie tu na kukubali hali. Hamna namna.
Kikwete mlisema anapendelea waislamu, Huyu anapendelea Wasukuma, Mkapa tu ndio alikuwa mtamu kwa sababu alikuwa shemeji na mlishamiri kweli.
Unapiga porojo. Kusubiria China eti ichukue nafasi ya US, ni kusubiria embe chini ya mchongoma.

Gap kati ya US na China ni mbingu na nchi. China mpaka leo ni nchi maskini. Wana GDP kubwa kwa sababu ya uwingi wa watu. Kwenye human development, China ni ya 89 Duniani. Inazidiwa na nchi kama Botswana.

GDP per capita China $10,300
GDP per capita US $63,700

Hivi unafikiri hawa watakutana karne hii?
 
Hakuna kitu maisha yako wapi hapo kilimanjaro eti Dar ndio namba moja. Hizo takwimu kichaa hizo. Watu Dar wanashindia chai na mhogo leo uniambie wana maisha mazuri. Upuuzi mtupu.
Mkubwa usiwe mbishi wa takwimu. Kufuatana na takwimu kutoka Bureau of Statistics, mikoa inayoongoza kwa utajiri:

1) Dar
2) Kikimanjaro
3) Njombe
4) Mbeya

Kama kumbukumbu zangu zipo sawa, Mwanza ni ya 4 toka mwishoni. Hizi ni takwimu za mkoa mzima siyo makao makuu ya mkoa.

Na ukienda kwenye mikoa hii (ukiondoa Dar), ukaangalia maisha ya vijijini, takwimu zinaakisi uhalisia.
 
Kilimanjaro hakuna maisha bora. Ninakataa kabisa. Ubora utoke wapi ? Mtu amiliki robo eka ya mchaichai halafu aseme ana maisha bora ! Labda bora maisha! Wakati sukuma land mtu anamiliki mpaka eka kumi za mpunga au dengu. Hauko serious.
Umaskini hauzingatii ardhi unayomiliki. Ingekuwa kipimo ni ardhi, mataifa kama Switzerland, Norway, Finland, Dubai, Hong Kong, Singapore, yangekuwa maskini sana.

Umskini mkubwa upo kichwani. Ukiona nchi fulani ni maskini sana, ujue nchi hiyo wajinga ni wengi. Umaskini ni kiashiria cha ujinga.
 
Back
Top Bottom