luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Oh nice memory,sisi Kilimanjaro makanisa makubwa na ya kisasa vijijin ndio kwenyewe,Yan makanisa uko UCHAGANI unaweza dhania upo St Etienne France [emoji1]View attachment 1703175Naona lami imefika kashosi na kibengwe bukoba vijijini 30km kutoka mjini bukoba.
Bukoba vijijini kunanoga
Hapo ni oldest mission church in bukoba .lilijengwa mwaka 1870sView attachment 1701986View attachment 1701987View attachment 1701988
Soma conversation ilipoanzia usidandie kwa mbele hutaelewaKwani kanda wa ziwa hakuna shule?
Nimempa za uso hadi amekimbilia kujificha kwa instanbul[emoji1][emoji1]We nawe utajigiaga kwa stress
Nimempa za uso hadi amekimbilia kujificha kwa instanbul[emoji1][emoji1]We nawe utajigiaga kwa stress
Usitafute huruma hapa,niambie ni wapi ktk maelezo yangu nimesema uongo simple like thatWewe luambo makiadi ni mchagga koko. Mchagga halisi hayuko kama wewe. Nina marafiki wengi wa kichagga lkn hawana hivi vijisifa unavyovileta hapa mtandaoni.
Kaskaz imeizd lake vingi tu kama shule,huduma za jamii kama umeme, barabara,makaz etcKaskazini haijazidi kanda ya ziwa chochote. Kama ni watu wenye pesa wapo kibao kanda ya ziwa kuanzia Kagera hadi Musoma. Usilinganishe Kilimanjaro na mkoa wa juzi kati wa Simiyu. Linganisha na Kagera, Mwanza na labda Mara.
Sijakataa kuwa lake zone wana hΓ©la,ila hawawez fikia kaskazKaskazini haijazidi kanda ya ziwa chochote. Kama ni watu wenye pesa wapo kibao kanda ya ziwa kuanzia Kagera hadi Musoma. Usilinganishe Kilimanjaro na mkoa wa juzi kati wa Simiyu. Linganisha na Kagera, Mwanza na labda Mara.
Sijakataa kuwa lake zone wana hΓ©la,ila hawawez fikia kaskazKaskazini haijazidi kanda ya ziwa chochote. Kama ni watu wenye pesa wapo kibao kanda ya ziwa kuanzia Kagera hadi Musoma. Usilinganishe Kilimanjaro na mkoa wa juzi kati wa Simiyu. Linganisha na Kagera, Mwanza na labda Mara.
Kuna Don mmoja wa Kilimanjaro anaitwa Hans Aingaya Macha . Huyu ndiye ndiye Mtanzania pekee as individual anayeimiliki bank ya crdb kwa zaidi ya 1% . Ukiondoa wale Wahindi wawili wenye hisa nyingi kwa pamoja huyu jamaa ni shidaaa. Halafu wala hapigi kelele katulia kama hayupo. Hawa washamba wakiona crdb imejaa wachagga watulie itakuwa Macha anawajaza huko πππππSijakataa kuwa lake zone hawana hΓ©la,ila hawawez fikia kaskaz
Mfano ile list ya mabilionea wazawa ilikuwa Ni kina marehemu mengi nk sikuona lacal bilionea wenu
Hata sasa hv hapo lake zone Hakuna mtu wa kumfikia bilionea shirima wa Precision air hapo sijakutajia kina panone,mosha n.k Kinyungu hebu njoo
Naona Midimay kakimbia alipoiona hii commentKuna Don mmoja wa Kilimanjaro anaitwa Hans Aingaya Macha . Huyu ndiye ndiye Mtanzania pekee as individual anayeimiliki bank ya crdb kwa zaidi ya 1% . Ukiondoa wale Wahindi wawili wenye hisa nyingi kwa pamoja huyu jamaa ni shidaaa. Halafu wala hapigi kelele katulia kama hayupo. Hawa washamba wakiona crdb imejaa wachagga watulie itakuwa Macha anawajaza huko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubiri mapovuu
View attachment 1703193
Kwa miaka hii utajiri wa nchi/ eneo hautegemei sana kilichopo ardhini ila technolojia.Fikiria mara mbili, iko mikoa tukigawana majimbo itasumbuka sana, mikoa ya kaskazini taabu ni kubwa zaidi, mikoa yenye neema kwa miaka mingi ijayo ni kanda ya ziwa.
Wana Ardhi yenye rutuba, wana maji ya kutosha, sasa hivi wana dhahabu nyingi ya akiba kuliko dhahabu tulio kwisha kuichimba tangu nchi hii iumbwe iko kwao Pole Pole Wilaya ya Sikonge. . Na Almasi ni hivyo hivyo .
Wako wengi ki uchumi maana yake ni soko, na ni watu wa bidii. Hawana kitu Watakosa labda elimu. Na ni naona jitihada ya shule ime ongezeka sana na sio wajinga madarasani.
Tutafute kingeni hiki hakina faida kwetu.
Kwenye suala la Rais kuongezewa mida ama la ni "busara" za CCM tu ndio zinahitajika.Alafu kuna watu wanataka kumuongezea muda π¬π¬π¬ Anyway kila mtu apambane na hali yake