Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Nakubaliana na wewe lakini majority walikuwa wachaga sababu hata kwa shule za msingi ilikuwa nazo nyingi kwahyo advantage ya watoto kusoma secondary huko huko ilikuwa kubwa
 
Kunywa kikombe kimoja Cha kahawa kwa bili yangu
 
Bila CCM imara taifa litayumba - JK Nyerere

Haya maneno yametimia !! Chama kinachotawala kwa sasa kinakwenda mwendo wa mateka....
 
Makanisa hayajawasaidia maana bado mnatambika na kulala na wakamwana zenu. Kwa hiyo ni kujilisha upepo tu.
Nyie huko kwenu yamewasaidia? Huko usukumani kwenu kwenye NDAGU ndio yamesaidia? Au kuua vikongwe wenye macho mekundu ? Rubbish kabisa
 
Kuzaa ni lazima tuzae sana tu. Kwani si tunauwezo huo sasa wewe mnywa mbege mpaka mkeo akatafute msaada kwa wanaume wa Kenya maana huna uwezo wa kuzaa.
Mna uwezo gani? Kuzaa vitoto dazani huku ukiwa huna uwezo wa kuwahudumia. ? Ndio maana umaskini huko kwenu hautakaa uishe hadi Masiha kurudi
 
Msukuma akiwa mpagani anakuwa mpagani hasa kwa 100% na akiamua kuokoka anaokoka kwa 100℅ hakuna uvuguvugu kama wachagga.
Nyie huko kwenu yamewasaidia? Huko usukumani kwenu kwenye NDAGU ndio yamesaidia? Au kuua vikongwe wenye macho mekundu ? Rubbish kabisa
 
Ulitakiwa kusema pale uliopoanza na wala sio wakati huu uikiwa umeota mizizi.
 
Kumbe hujui lolote kuhusu história ya Uhuru pole sana hujui hata nyerere nauli za kwenda un alifadhiliwa na boss aikael mbowe enz hizo?
Huwajui kina nsilo swai? Una miaka umri gani kwanza?
 
Kuhusu majumba, siku hizi yanajengwa kote nchini. Mikoa kama Kagera, Mbeya, Songwe, Manyara, Arusha, Morogoro, Shinyanga, Geita, Mwanza, majumba yanajengwa kote, mijini na kijijini. Swala la kijisifia nyumba bora ingekuwa miaka ya 90.
Wewe kumbe una reasoning ndogo mno,majumba yaliyo vijijin Kilimanjaro huez fananisha n'a popote Kijiji tz ,ni Sawa na kuifananisha dar na New-York kwa kigezo kuwa dar pia kuna ghorofa nadhani umeelewa
Awali ni awali tu
 
Nadeclare kwamba mimi sio msukuma, mimi ni mixer, muiraq na mmeru. Majirani zenu. Lakini nimeamua tu kuwatoa jasho kwa sababu siku hizo mnapenda sifa sana.
Hahaha usirudie Siku nyingine hutatoboa ulishawah ona Israël imeshindwa?
 
Nadeclare kwamba mimi sio msukuma, mimi ni mixer, muiraq na mmeru. Majirani zenu. Lakini nimeamua tu kuwatoa jasho kwa sababu siku hizo mnapenda sifa sana.

Kuna mchagga ametajirika tukamfahamu kwa sababu ya kahawa? Kahawa ilikuwepo na bado ipo Kagera, Mbeya, Songwe(Mbozi) na Arusha. Utasema Arusha Wamasai na Waarusha hawakuwa na elimu ya kutumia kahawa kutajirika na pengine Wanyiha. Hiw about Wanyakyusa wa Mbeya, Wahaya wa Bukoba? Mengi amepata utajiri kwenye kahawa na kufanya biashara Kenya? Shirima wa precision ametajirikia Kahawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…