Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Wachagga wanajivunia bidii ya mikono yao zaidi ya kazi za serikali,ndiyo maana wanajivunia nyumba bora,elimu bora,uchumi wa mtu mmoja mmoja na biashara zao zaidi ya viwanja vya ndege na makusanyo ya tra,hawajivunii ukoloni japo ukoloni ndiyo uliowawezesha kielimu kuliko hata serikali ya nchi yao,hivyo tuHivi humu si ndio kuna mada lukuki za watu kujidai eti mkoa wetu wa KILIMANJARO unaongoza kwa lami nyingi mpaka vijijini, umeme mpaka kwenye migombani. Na mikoa mingine ikidhihakiwa kwamba ni hohehae...