Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

CD aliamuru hosipitali ya wilaya ya Mwanga kujengwa kijijini kwake Usangi. Usijitoe ufahamu.
huu ni UONGO. hebu tueleze wilaya ya mwanga ina kitu gani cha ajabu ambacho kimepelekwa na msuya na mbunge mwingine hawezi kukipeleka. msuya ndiye aliyepewa jukumu la kujenga viwanda baada ya jumuiya ya afrika mashariki kuvunjika. je, mwanga kuna kiwanda chochote kile? kuna gofu la kiwanda kilichojengwa enzi za mwalimu na msuya? barabara za milimani zinazowashangaza wengi zilijengwa na wafumwa wakati wa mkoloni.

Hii habari ya kusema wapare walipendelewa ni uongo uongo uongo. wapare wa kusini wana barabara ya mkomazi mpaka same wanalia mpaka kesho kwamba haijajengwa kiwango cha lami. na hiyo ndiyo barabara kongwe nchini lakini kila raisi anaipiga danadana kuijenga, halafu kuna mtu leo nimemsoma anasema daniel yona alipendelea same na wapare.

kilichowainua wapare ni uamuzi wa wafumwa kuchangamkia elimu kwa kila mtoto ambao ulitekelezwa kwa majaribio wakati wa mkoloni. uamuzi huo ndio uliopelekea wapare wathamini elimu hata ya mtoto wa kike. wakati tunapata uhuru Waislamu wa Upare walikuwa na shule zaidi ya 20, wakati Waislamu nchi nzima wanaambiwa hawapendi kusoma.

Wapare walishawahi kuwa na gazeti lao habari za Upare. kingine kilichowainua ni tabia ya wapare kutoka maeneo walikozaliwa kwenda mijini kutafuta maisha na kutokusahau kwao. wapare waliotoka nje zamani ndio waliopeleka wazo la kupasua barabara za milimani wakati wa utawala wa wafumwa/ machifu.
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Aaahh..this is nonsense...when a politician fails to win in the ballot box..he will find any other means to justify his shoddy claims.. my fellow tzans..please lets be positive..can you emagine..what if mwalim favoured his home town, how would it be today? In the lake zone we would have two business centers..mwanza and let say butiama...things would have been better now..thanks to Magu..by developing Chato we are going to have mwanza..geita( chato) as business centers in the zone..infact if chato is well developed it will open the opportunities for any one to live, do business or any other economic activities..by doing that, there will be atleast equal distribution of our economy, insteady of having only dsm as a hub of tanzania economy.
Stop being negative always..political motivated..be positive bro!
 
Tatizo ni huu unafiki wa kushindwa hata kusema tatizo unaloliona na nani anapendelewa. Sema ni nani ili tujadili na kukemea tatizo. Unaogopa hata kusema unachofahamu kwa majina bandia!! Cowardice!

Miaka iliyopita sisi tuliposema wachaga wanakusanyana TRA, na CRDB tulipewa jibu la urahisi kwamba wamesoma sana! walikenua meno kwa furaha na kuamini kweli wamesoma.

Leo hii bado wamesoma? Kulikuwa na miaka Wanyakyusa walijaa NIC ya Mwaikambo na NBC ya Nsekela wakasingizia wingi na kusoma. Sijuyi leo wamepungua na hawasomi!

Watu wa Iringa nao sasa hivi wanajionesha na kuhalalisha sababu ya kusoma sana wakati tunajua wanaalikana na hata kuunda vikundi vya kutambulishana. Ujinga umewaanza baadaye watalia midomo wazi maana ubaya makabila machache yanapenda kuishi mikoa ya iringa na Njombe. Wahaya wamesemwa sana lakini hatujawahi kuwaona wakialikana kwenye ofisi au taasisi ya serikali.

Tuseme wazi acha kujidai mwana fasihi wakati unachoeleza unataka kijadiliwe.
Mkuu 'Zygot',

Nimekusoma mara mbili, na bado nikabaki katikati, sijui niegemee wapi kuhusu haya uliyoandika hapa.

Upendeleo wa aina yoyote, hasa huu wa kikabila ni janga kubwa sehemu yoyote.

Mifano uliyoitoa hapa, ya makabila hayo uliyotaja ni kweli ilisemwa na kweli ilikuwepo; lakini hiyo haikuihusisha ofisi kuu ya nchi. Mwalimu Nyerere aliwahi kuizungumzia mapema baada ya uhuru, na hakuacha kufanya juhudi za kuondoa hali hiyo kwa kueneza elimu nchi nzima.

Sasa ni tofauti kabisa, tunaona anayetakiwa kuzuia hali hiyo ya upendeleo ndiye anayehusika kuieneza. Ni tofauti sana na ulivyoeleza hayo uliyoyaeleza hapa.
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Mimi nitamlaumu Kikwette mpaka naingia kaburuni. Chuki yake dhidi ya Edward Lowassa na dhambi za mtandao wao wa 2005 ndiyo zimetufikisha hapa. Alimchukia Lowassa akalazimisha Benard Membe, na kwa hasira za WAJUMBE WA NEC tukauvaa huu mkenge.

Huyu mtu kumbe hata Mama yake mzazi anayeumwa aliwaonya kuwa hafai kwa kazi ya U-Rais, lakini kwa vile Kikwette alidhani anamuwekea Membe wapinzani dhaifu akakuta Meko kawa Rais.
 
Ina maana hujui kama kitovu cha utalii kwa kanda ya ziwa kipo chato???? usijisahaulishe bwana, haukumbuki maneno ya aliyekuwa mjumbe kisiki wa tume ya warioba kuhusu chato??? subiri kwanza tukamilishe kuigeuza chato iwe dubai
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Ubaguzi umekuwepo tangu kuanzishwa hili taifa ndia maana ulikua unasikia watu wakutoka kanda flani hawatakiwi kuwa marais nk, huu ni muendelezo tu. Watz wanaroho mbaya sana.
 
Eti wahaya hawaalikani? Naona umelewa rubisi si bure.

Infact hao uliosema wamejaa CRDB na TRA wapo na walikuwepo na watazidi kuwepo
Atakuwa muhaya, kuna kabila waliojazana kwenye taasisi za serikali kipindi cha nyuma kama wahaya? na wewe ni mchaga maana umesisitiza wataendelea kuwepo 😂😂😂😂
 
Fikiria mara mbili, iko mikoa tukigawana majimbo itasumbuka sana, mikoa ya kaskazini taabu ni kubwa zaidi, mikoa yenye neema kwa miaka mingi ijayo ni kanda ya ziwa.

Wana Ardhi yenye rutuba, wana maji ya kutosha, sasa hivi wana dhahabu nyingi ya akiba kuliko dhahabu tulio kwisha kuichimba tangu nchi hii iumbwe iko kwao Pole Pole Wilaya ya Sikonge. . Na Almasi ni hivyo hivyo .

Wako wengi ki uchumi maana yake ni soko, na ni watu wa bidii. Hawana kitu Watakosa labda elimu. Na ni naona jitihada ya shule ime ongezeka sana na sio wajinga madarasani.

Tutafute kingeni hiki hakina faida kwetu.
Uwe unaongea mambo uliyo na uhakika.

Hiyo dhahabu unayosema ni nyingi kuliko iliyokwishachimbwa, huko Sikonge ipo sehemu gani? Nani aliyefanya huo itafiti?

Dhahabu yote Tanzania iliyokwishachimbwa na iliyopo ni ounces 45m, ambayo ni kidogo kuliko dhahabu iliyochimbwa eneo moja tu la Nevada, USA (zaidi ya ounces 205m), au iliyochimbwa toka mgodi 1 wa Australia (Superpit - WA) au South Africa (Witwatersrand).
 
Rais Magufuli hakustahili kuwa kiongozi wa Taifa kwa sababu kwa hulka yake, inaonekana ni mtu mwenye moyo wa kupenda kupendelea, kuonea au kukomoa. Wwti wa nna hii wanastahili kuishia kwenye utendaji na kusimamiwa na mtu mwingine.

Anapopewa nafasi kubwa kama aliyo nayo sasa, halafu anaachwa aongoze kwa muda mrefu, alikabidhiwa nchi, yeye atakabidhi vipande vya nchi.

Si watu wengi wenye uwezo wa kujitenga na upendeleo. Ni wachache sana, mwalimu Nyerere alikuwa mwa hao wachache sana.
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
funguka zaidi tukuelewe kiongozi sema wazi kanda zipi /mikoa ipi au kabila zipi zinaonewa na na zipi zinapendelewa ili tuone uhalisia wake hii itatusaidia kuchangia kwa uwazi bila majungu
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Hee kumbe wapo watanzania wanaoona ! Nilidhani niko peke yangu. Tumwombe sana mungu atuepushe na majanga haya. Nadhani Nyerere haamini kinachoendelea kama kweli anaishi. Nafikiri ni makosa yetu wenyewe, tusimlaumu mtu .hatukufuata ushauri wake
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Hiyo miradi ingejengwa Kaskazini kusingekuwa na kelele ila kwa vile inajengwa maeneo mengine ya nchi ndo maana mnapanua vidole na midomo. Watu wa Kaskazini ni wabaguzi sana
 
Wewe ulimwelewaje ndugu ili nielewe?
Alisema hivi: "Una umri gani wewe? Upendeleo ulikuwepo miaka yote. Nahisi kuna watu upendeleo umewatega mgongo ndo maana wanalia lia! Walipopendelewa wakasema ni haki yao. tulieni nchi inyooke"

Maana yake - hata kabla ya uhuru na wakati wa awamu ya kwanza, na zilizofuata, kuna sehemu fulani Tanzania zilipendelewa sana na nyingine zilibaki nyuma - sasa basi hizo zilizopendelewa zililichukulia hili la upendeleo kama ni kawaida! Yaani lazima wapatiwe keki kubwa kuliko wenzao. Na sasa wanapoona sehemu nyingine zinaendelezwa na wao wana chapa mguu (mark time), wanakereka na kupinga vikali sana - hawatakii! Ni hivyo mkuu nilivyoelewa.
 
Hiyo miradi ingejengwa Kaskazini kusingekuwa na kelele ila kwa vile inajengwa maeneo mengine ya nchi ndo maana mnapanua vidole na midomo. Watu wa Kaskazini ni wabaguzi sana
Ni wapi ktk Post amezungumzia kaskazn?
Unawashwa na kaskazn?
Kaskazn ilishaendelea kitambo,kule Hakuna ufukara Kama huko lake zone kwenu hebu Soma hii ripoti ya serikali kwanza
1387592010.jpeg
 
Fikiria mara mbili, iko mikoa tukigawana majimbo itasumbuka sana, mikoa ya kaskazini taabu ni kubwa zaidi, mikoa yenye neema kwa miaka mingi ijayo ni kanda ya ziwa.

Wana Ardhi yenye rutuba, wana maji ya kutosha, sasa hivi wana dhahabu nyingi ya akiba kuliko dhahabu tulio kwisha kuichimba tangu nchi hii iumbwe iko kwao Pole Pole Wilaya ya Sikonge. . Na Almasi ni hivyo hivyo .

Wako wengi ki uchumi maana yake ni soko, na ni watu wa bidii. Hawana kitu Watakosa labda elimu. Na ni naona jitihada ya shule ime ongezeka sana na sio wajinga madarasani.

Tutafute kingeni hiki hakina faida kwetu.
Unaota ndoto wewe
Mbona kwasasa mikoa maskini 10 karibu yote Ni ya Kanda ya ziwa? Si tungetakiwa tuone wakiwa matajiri?
Kwasasa Kanda ya kaskazn haina mpinzani kimaendeleo sio tu ya kimkoa Bali ya mtu mmoja mmoja Bali
Soma ripoti hiyo
463541611.jpeg
 
huu ni UONGO. hebu tueleze wilaya ya mwanga ina kitu gani cha ajabu ambacho kimepelekwa na msuya na mbunge mwingine hawezi kukipeleka. msuya ndiye aliyepewa jukumu la kujenga viwanda baada ya jumuiya ya afrika mashariki kuvunjika. je, mwanga kuna kiwanda chochote kile? kuna gofu la kiwanda kilichojengwa enzi za mwalimu na msuya? barabara za milimani zinazowashangaza wengi zilijengwa na wafumwa wakati wa mkoloni.

Hii habari ya kusema wapare walipendelewa ni uongo uongo uongo. wapare wa kusini wana barabara ya mkomazi mpaka same wanalia mpaka kesho kwamba haijajengwa kiwango cha lami. na hiyo ndiyo barabara kongwe nchini lakini kila raisi anaipiga danadana kuijenga, halafu kuna mtu leo nimemsoma anasema daniel yona alipendelea same na wapare.

kilichowainua wapare ni uamuzi wa wafumwa kuchangamkia elimu kwa kila mtoto ambao ulitekelezwa kwa majaribio wakati wa mkoloni. uamuzi huo ndio uliopelekea wapare wathamini elimu hata ya mtoto wa kike. wakati tunapata uhuru Waislamu wa Upare walikuwa na shule zaidi ya 20, wakati Waislamu nchi nzima wanaambiwa hawapendi kusoma.

Wapare walishawahi kuwa na gazeti lao habari za Upare. kingine kilichowainua ni tabia ya wapare kutoka maeneo walikozaliwa kwenda mijini kutafuta maisha na kutokusahau kwao. wapare waliotoka nje zamani ndio waliopeleka wazo la kupasua barabara za milimani wakati wa utawala wa wafumwa/ machifu.
Asante mtani wangu kwa kiwaeleza,kiufupi watu wa Kilimanjaro maendeleo yaliyo kule mengi Ni juhudi zao
 
Hivi humu si ndio kuna mada lukuki za watu kujidai eti mkoa wetu wa KILIMANJARO unaongoza kwa lami nyingi mpaka vijijini, umeme mpaka kwenye migombani. Na mikoa mingine ikidhihakiwa kwamba ni hohehae.

Sasa tunaanza kulia lia nini wkt Serikali inapambania kuweka usawa wa maendeleo kwa mikoa na maeneo mengne yaliyosahaulika ktk nchi hii?

Tuvumiliane tu, mbio za vijiti ni kupokezana.
Infact Ni kweli Hakuna mkoa wowote tz wenye miundombinu bora vijijin kuizidi killinanjaro
Hata huduma za jamii Kama shule, zahanati ,vituo vya afya Kilimanjaro haina mpinzani
 
Wachagga wanajivunia bidii ya mikono yao zaidi ya kazi za serikali,ndiyo maana wanajivunia nyumba bora,elimu bora,uchumi wa mtu mmoja mmoja na biashara zao zaidi ya viwanja vya ndege na makusanyo ya tra,hawajivunii ukoloni japo ukoloni ndiyo uliowawezesha kielimu kuliko hata serikali ya nchi yao,hivyo tu
Kunywa balimi moja nitalipa
Kuna watu hawajui Siri ya maendeleo kule UCHAGANI Ni juhudi zao wenyewe,mfano Ile mighorofa huko migombani Ni juhudi binafsi
 
Back
Top Bottom