Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Kuna mambo mengine tukubali,kuna sehemu zilikuwa nyuma
lazima hatua za kimakusudi zichukuliwe ili nao wajione wapo tanzania/zilisahaulika.
Ninachoamini ni kuwa hakuna barabara yenye lami inawekewa lami juu ya lami kisa ipo ukanda wa kiongozi fulani.
wala sehemu zenye miundombinu ya maji au umeme kuongezewa maboresho wakati kwingine hakuna miundombinu hiyo.
Tujifunze kuvumiliana tunapoona sehemu nyingine zinapigishwa hatua angalau kuelekea tulipo sisi tusijisikie vibaya.
Tanzania ni yetu sote tujitahidi kugawana kilichopo kwa usawa.
 
N
Niambie toka aingie mdarakani Mbeya kafanya nini?
Mkuu,mbeya ni jiji nadhani hapo tunakubaliana,mbeya Kuna viwanda tena ving tu, airport n.k.lakini Kuna mikoa ilisahaulika Sana ,nadhani Ni busara kuiangalia hiyo mikoa ,angalau nayo isogee hata Kama haitalingana kabisa,huko pia Kuna vijana wanahitaji uwepo wa uwekezaji ili wapate fursa za ajira.
 
Mkuu,mbeya ni jiji nadhani hapo tunakubaliana,mbeya Kuna viwanda tena ving tu, airport n.k.lakini Kuna mikoa ilisahaulika Sana ,nadhani Ni busara kuiangalia hiyo mikoa ,angalau nayo isogee hata Kama haitalingana kabisa,huko pia Kuna vijana wanahitaji uwepo wa uwekezaji ili wapate fursa za ajira.
mkuu sikiliza kwa umakini sana, iko hivi mbeya ni jiji kama yalivyo majiji mengine lakini changamoto za mbeya ni sawa kabisa na kwamba sio jiji kitu cha kwanza mbeya ni jiji lakini stendi yake unaweza kudhani ni ya daladala. pia kuna shida nyingi sana mbeya hasa kero ya maji pia shida za mafarasa ya kutosha hamna shule hazina walimu zingine zimejengwa na nguvu ya wananchi lakini serikali imeshindwa hata kuzimalizia kwa kuwaletea walimu tu
 
mkuu sikiliza kwa umakini sana, iko hivi mbeya ni jiji kama yalivyo majiji mengine lakini changamoto za mbeya ni sawa kabisa na kwamba sio jiji kitu cha kwanza mbeya ni jiji lakini stendi yake unaweza kudhani ni ya daladala. pia kuna shida nyingi sana mbeya hasa kero ya maji pia shida za mafarasa ya kutosha hamna shule hazina walimu zingine zimejengwa na nguvu ya wananchi lakini serikali imeshindwa hata kuzimalizia kwa kuwaletea walimu tu
upande wa stend naungana na ww,ile stend ya mkoa inahitaji ijengwe nyingine.hapa tumulaumu mbunge au serikali??????. wakati mwingine sio serikali ila Ni ubunifu wa mbunge unahitajika mkuu.
 
upande wa stend naungana na ww,ile stend ya mkoa inahitaji ijengwe nyingine.hapa tumulaumu mbunge au serikali??????. wakati mwingine sio serikali ila Ni ubunifu wa mbunge unahitajika mkuu.
Kwani mbunge pesa za kujenga stendi anazitoa mfukoni mwake mkuu?
 
Kwani mbunge pesa za kujenga stendi anazitoa mfukoni mwake mkuu?
asilimia wanazobaki nazo za mapato ya jiji zinafanya nn??? iringa walizitumia kujenga hotel ndani ya stend yao ya mkoa,jiji la dodoma wao waliamua kujenga majengo mawili pacha ya gorofa hotel,huo ndo ubunifu ninaousema wa mbunge.mbunge ndo msimamizi na mbunifu namba moja ,halafu inafuata serikari.
 
Hiyo miradi ingejengwa Kaskazini kusingekuwa na kelele ila kwa vile inajengwa maeneo mengine ya nchi ndo maana mnapanua vidole na midomo. Watu wa Kaskazini ni wabaguzi sana
Tena wana roho mbaya ofis uoyote kiongoz akiwa anatokea kaskazin wafanyakaz watadhulumiwa sana na kunyanyaswa
 
mkuu sikiliza kwa umakini sana, iko hivi mbeya ni jiji kama yalivyo majiji mengine lakini changamoto za mbeya ni sawa kabisa na kwamba sio jiji kitu cha kwanza mbeya ni jiji lakini stendi yake unaweza kudhani ni ya daladala. pia kuna shida nyingi sana mbeya hasa kero ya maji pia shida za mafarasa ya kutosha hamna shule hazina walimu zingine zimejengwa na nguvu ya wananchi lakini serikali imeshindwa hata kuzimalizia kwa kuwaletea walimu tu
Kiujumla SERIKALI imegoma kuwekeza mkoa wa Mbeya kwa sababu zisizoeleweka kisiasa.
Magufuli amekuwa Waziri wa ujenzi miaka karibu 20 na mitano ya urais.

Hatujui kinyongo chake na Mbeya ni nini.
Barabara ya kuingia Mbeya toka Igawa hadi Tunduma ni ya kusikitisha.
Kilometa zile 10 toka Uyole na 10 kuelekea Mbalizi ni aibu kwa serikali ya CCM.
 
Kiujumla SERIKALI imegoma kuwekeza mkoa wa Mbeya kwa sababu zisizoeleweka kisiasa.Magufuli amekuwa Waziri wa ujenzi miaka karibu 20 na mitano ya urais.
Hatujui kinyongo chake na Mbeya ni nini.
Barabara ya kuingia Mbeya toka Igawa hadi Tunduma ni ya kusikitisha.
Kilometa zile 10 toka Uyole na 10 kuelekea Mbalizi ni aibu kwa serikali ya CCM.
Huo ndio ukweli wenyewe magufuli ana upendeleo wa waziwazi kabisa hakuna alilolifanya hapa mbeya miaka 6, sasa hali iko vilevile aliacha JK
 
Ulisoma Historia ya wapi wewe? Mikoa kama Kilimanjaro,Kagera,Mbeya na Arusha walinufaika sana kutokana na vipaumbele vya wakoloni kwenye mikoa hiyo,walianzisha shule nyingi huko,hospitali na huduma mbalimbali za jamii kiasi kwamba hata baada ya uhuru sehemu hizo kulikuwa na ustaarabu wa kutosha kuweza kuwanyanyua kimaisha,lakini ustaarabu huu tunaoulazimisha sasa kuna siku utakuja kuliponza taifa.
Hujanielewa vya kutosha nilivyoandika au inawezekana kukosewa kwa baadhi ya herufi kwenye mchango wangu kumekufanya usinielewe au nimeandika kwa haraka kidogo anyway sasa ni hiviiii hao waliopata ustaarabu
mwanzoni kupitia elimu baada ya Uhuru , ndio hao hao baadhi yao walitumia umuhimu waliokuwa nao nchini kudumaza wengine kwa kiasi Fulani ,sasa kilichotokea miaka hiyo na sasa ni mapacha tu wa mama mmoja Ila baba tofauti ambapo kwa ujumla vyote ni upuuzi usio na maana hata chembe zaidi ya kutumaliza tu....
 
Kwa sababu aliwapendelea wachagga na kuwaonea wasukuma ndio maana unasema alikuwa mzuri
Rais Magufuli hakustahili kuwa kiongozi wa Taifa kwa sababu kwa hulka yake, inaonekana ni mtu mwenye moyo wa kupenda kupendelea, kuonea au kukomoa. Wwti wa nna hii wanastahili kuishia kwenye utendaji na kusimamiwa na mtu mwingine.

Anapopewa nafasi kubwa kama aliyo nayo sasa, halafu anaachwa aongoze kwa muda mrefu, alikabidhiwa nchi, yeye atakabidhi vipande vya nchi.

Si watu wengi wenye uwezo wa kujitenga na upendeleo. Ni wachache sana, mwalimu Nyerere alikuwa mwa hao wachache sana.
 
Kaskazini ni mafukara tu. Unawezaje kuwa tajiri wakati unamiliki robo eka ya mchai chai ? Hauko serious. Sasa kama mlishaendelea kelele za nini ?
Ni wapi ktk Post amezungumzia kaskazn?
Unawashwa na kaskazn?
Kaskazn ilishaendelea kitambo,kule Hakuna ufukara Kama huko lake zone kwenu hebu Soma hii ripoti ya serikali kwanzaView attachment 1699969
 
Umefika upareni wewe huko gonja mawole kivukoni n.k. uone miundombinu iliyoko ? Huko watu wana shida na wewe unajidanganya eti Kilimanjaro ina miundombinu mizuri. Kamkoa kenyewe kadogo lakini kelele kibao. Kwa awamu hii kuna baadhi mtajinyonga kwa uchungu.
Infact Ni kweli Hakuna mkoa wowote tz wenye miundombinu bora vijijin kuizidi killinanjaro
Hata huduma za jamii Kama shule, zahanati ,vituo vya afya Kilimanjaro haina mpinzani
 
inakera Sana ,watu walifanyiwa mazuri mpaka wakaanza kujinadi humu,na bado wanafanyiwa mazuri,Cha ajabu wakifaniwa mazuri na wenzao wafanane Kama wao,tayari kwao kero wanaamza kubwata ovyo.selfish selfish you people.
Hata wakibwata haiwasaidii. Wakija kwenye sanduku la kura wanapigwa tu.
 
Back
Top Bottom