Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kanda ya Ziwa yote High School enzi zake ilikuwa mpaka Tabora boys .
Aliwaonea kwa Lipi? Mnazaliana kwa wingi na kuchunga mbuz shule hamuendi mlitaka mpate fursa gani? Mtoto wa kike huko usukumani ni kama kitega uchumi mnategemea kumuozesha mpate ng'ombe rubbish kabisa kwa mindset hizo mtamlaumu Nani?
Mbna hadi sasa hv mikoa maskini kwa mujibu wa ripoti Ni ya huko huko kwenu?
 
Kwan tumekwambia tuna shida na ikulu? Mbna nyie mikoa yenu ndio inaongoza kwa ufukara? Tumia common sense
Mikoa yenye maendeleo kwa watu wake ktk mikoa kumi ya kaskazn imo yote isipokuwa Tanga
Mikoa kumi maskini karibu 70% Ni ya huko kwenu
Chukueni hatua za kupunguza umaskini wenu hasa kupunguza kuzaliana ikulu haiwez kuwapunguzia umaskini ohoooo
Mnashida sana na ikulu ndio maana kelele nyingiiii. Mtu umiliki robo eka ya mchaichai halafu ujione tajiri . hauko seroius.
 
Kwanza huko Kilimanjaro ni makaburini tu kama ilivyo Kinondoni makaburini. Nani anaishi huko ? Mkifa ndio mnapelekwa kuzikwa.
1-Hii ripoti Ni currently ya mwaka unaoishia June 2021
2-utajiri hausiani na kumiliki robo eka wala ekari kumi, kwani kitega uchumi lazma kiwe ardhi? Hivi umesoma Hadi level gan wewe?
3-hali ya maisha hupimwa kwa vigezo kadhaa mfano makazi bora, miundombinu,upatikanaji wa huduma za kijamii,shughuli za uzalishaji nk kwa Kilimanjaro vitu vyote hivyo Ni 90%, Kilimanjaro huduma Kama shule,hospital Ni zaidi ya 120% vijijin Kuna Hadi supermarket,bank hii inaonyesha mzunguko mkubwa wa fedha
Kwahyo ripoti ya serikali kuwa wananchi wa Kilimanjaro Wana maisha Bora kwa 90% Ni sahihi
 
Kimkoa kidogo lakini kinakuburuza kila idara huoni aibu? Hushangai kamkoa kadogo lkn ndio kanaongoza tz nzima kwa shule nyingi? Ka pili watu wake kuishi maisha Bora kwa 90%?
2-hiyo gonja maore unayosema Ni asilimia ngapi ya Kilimanjaro yote? Ndio maana wamesema 90% na sio 100% kwahyo hiyo gonja maore,kivukoni nk zipo ndani ya 10% iliyobaki kufika 100% upo?
Kwani Gonja Mawole siyo Kilimanjaro au huko kwenye Magadi wilaya ya Siha siyo Kilimanjaro ? Kawadanganye wasiofika huko. Huko machame kwenyewe shina la mgomba kama paja la mbuzi, ardhi haina rutuba. Mnasema nyie matajiri ni lini Kanda ya Ziwa ilikuja kuomba msaada wa chakula huko ? We vipi ?
 
Mkuu si wengi wanaiona mantiki hiyo. Watu wengine wanoana sasa mtu wa kwetu amepata madaraka, ndo muda wa kula.
Nepotism! Peleka miundombinu na kila kitu kwenu.

Kwa mfano, hivi zkassim Majaliwa, akiwa na sifa zote, hata sasa anazo, achaguliwe baada ya awamu hii na amepata urais.
Kitu cha kwanza kujenga kiwanja cha kimataifa kule kwao Ruangwa, Lindi.

Cha pili kupeleka wanyama na kuanzisha mbuga na hoteli za kitalii.

Kujenga mabenki huko na vile vile Ikulu kule Rwangwa.

Of course mtu kwao becomes standard norm.
Afrikan nature
 
Eleza ni rais gani ametokea Kilimanjaro katika awamu zote zilizopita.
Usitake kupindisha mada ili kukidhi matakwa yako tu na kusahau kwamba wanaokusoma wana ufahamu zaidi ya ulio nao wewe.
Na hatatoka huko Rais wa nchi hii kwa ubaguzi wenu wa kidenzi. Mtatawaliwa mpaka mwisho wa dahari.
 
Vipi utaratibu wa kujenga uwanja wa ndege wa kimataifa chato wakati Arusha au mwanza au geita hamna ni sawa?
Ni sawa.sio lazima kilichopo arusha na mwanza kiwepo,au kilichopo geita na dodoma kiwepo,au kilichopo lindi na tanga kiwepo.ndio maana ikaitwa nchi.wanauchumi wanayajua haya , resources allocation, distribution and sharing.
 
Na hatatoka huko Rais wa nchi hii kwa ubaguzi wenu wa kidenzi. Mtatawaliwa mpaka mwisho wa dahari.
Kwani wewe ni shetani atakayezuia waTanzania wakiamua?
Hapo ulipo wewe ni mbaguzi zaidi ya hao unaowaita wabaguzi.

Kwa nini urundike watu wote wa eneo katika kundi moja; mbona huko kwenu kuna watu wenye akili timamu kuliko yako? Kamwe hatuwezi kuwaweka ndugu na jamaa wooote wanaotokea huko unakotoka wewe kuwa nao wote ni wapuuzi kama wewe. Kama ni ukichaa ni wako, sio wa hao ndugu zetu waTanzania wengine unaojifanya kuwasemea hapa.
Bure Kabisa.
 
nani alibaguliwa fara
acha kukurupukia topic,Hilo swali muulize mtoa mada,Kama hukumuelewa tafuta reply ya joesky pia.kwa nn wanasema Bora kugawa majimbo?!!! acha jazba njoo na hoja,unaongea na mtu mwenye akili kubwa bwna mdogo. Magoda yako wewe!!! Zzzzzyuhuuuu!!!!
 
Utaendaje kujenga hospital ya wilaya kijijni ukaacha Makao Makuu ya Wilaya ?
wewe umelewa CHUKI tu. hujui historia ya wilaya ya mwanga na mkoa kilimanjaro kwa ujumla upo hapa kubwabwaja tu.

kukuelewasha ni kwamba mwaka 1980 wakati wilaya ya mwanga inaanzishwa kulikuwa hakuna hospitali ya wilaya. sasa badala ya serikali kujenga hospitali mpya, kituo cha afya cha usangi kilipandishwa hadhi kuwa hospitali ya wilaya.

hata bila ya ukweli huo wa kihistoria, hakuna suala la upendeleo hapo. kwanza, mwanga mjini na usangi ziko ktk wilaya moja. pili, mbunge cd msuya unayemsingizia kuwa ana upendeleo, hatokei usangi, kwao ni chomvu.
 
Kanda ya Ziwa yote High School enzi zake ilikuwa mpaka Tabora boys .

Tabora Boys ilikuwa ni shule ya serikali ya mkoloni. sasa tueleze enzi za Tabora Boys kulikuwa na shule gani nyingine ya serikali ya mkoloni ktk Tanganyika? wasomi wa nchi nzima waliokuwa wakisomeshwa na serikali miaka ya 1950 na 60 walikuwa wanapelekwa Tabora Boys na wakifaulu wanakwenda Makerere. Nakushauri usome HISTORIA utaona kwamba Tabora ilichukua wanafunzi toka kanda zote za Tz. Viongozi wengi ktk awamu ya kwanza walisoma pamoja Tabora na baadae wakasoma Makerere.
 
Tusiposema sasa mawe yatasema.

Sasa hivi nchi inapitia ubaguzi wa wazi kieneo, ukabila na upendeleo wa wazi kwa sehemu fulani fulani nchini Tanzania.

Haya ni mambo ambayo Tanzania hatukuyazoea wala kushuhudia toka enzi za kupata uhuru.

Mwalimu alijishusha mno na hata hakupendelea kwao kwa jinsi tunavyoshuhudia sasa, mimi Butiama nimefika.

Ubaguzi wa aina yoyote una mwisho si mzuri kwa mustakabali wa Taifa.

Chama kimelala.
Bunge ndio kabisa.
Lakini wahenga wanasema tutavuna tunachopanda.
Sawa mwalimu hakupendelea kwao ila alipendelea maeneo mengine,ndo maana Kuna maeneo tofauti na mara yamekua na maendeleo kuliko mkoa wa Mara toka enzi zake.Usipo wapenda wa kwenu ww ni mtumwa.
 
Huo ndio ukweli mchungu
Kwani wewe ni shetani atakayezuia waTanzania wakiamua?
Hapo ulipo wewe ni mbaguzi zaidi ya hao unaowaita wabaguzi.

Kwa nini urundike watu wote wa eneo katika kundi moja; mbona huko kwenu kuna watu wenye akili timamu kuliko yako? Kamwe hatuwezi kuwaweka ndugu na jamaa wooote wanaotokea huko unakotoka wewe kuwa nao wote ni wapuuzi kama wewe. Kama ni ukichaa ni wako, sio wa hao ndugu zetu waTanzania wengine unaojifanya kuwasemea hapa.
Bure Kabisa.
 
Tanga school
Tabora Boys ilikuwa ni shule ya serikali ya mkoloni. sasa tueleze enzi za Tabora Boys kulikuwa na shule gani nyingine ya serikali ya mkoloni ktk Tanganyika? wasomi wa nchi nzima waliokuwa wakisomeshwa na serikali miaka ya 1950 na 60 walikuwa wanapelekwa Tabora Boys na wakifaulu wanakwenda Makerere. Nakushauri usome HISTORIA utaona kwamba Tabora ilichukua wanafunzi toka kanda zote za Tz. Viongozi wengi ktk awamu ya kwanza walisoma pamoja Tabora na baadae wakasoma Makerere.
 
Back
Top Bottom