Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Kuongezeka kwa ubaguzi wa kiuchumi, kieneo na ukabila nchini Tanzania

Hao waendelee kupiga kelele wala hata hatujali. Kamkoa kenyewe unatembea hata kwa baiskeli unakamaliza siku moja tu halafu kelele kibao.
Tena wana roho mbaya ofis uoyote kiongoz akiwa anatokea kaskazin wafanyakaz watadhulumiwa sana na kunyanyaswa
 
Majivuno ya kikabila unatuletea, haya basi mmesoma sana nyie

wewe ulitaka mtudhalilishe kuwa tumependelewa na sisi tukae kimya tu. maendeleo kwa kilimanjaro / upare yametokana na juhudi za wananchi wenyewe. hatukuwahi kupendelewa na mkoloni, na hatukupendelewa na serikali baada ya uhuru. kama unadai tumesoma hiyo ni kutokana na juhudi zetu, ndiyo maana nikakwambia Pare Muslim Association ilikuwa na shule 20+ wakati tunapata uhuru. sasa mimi sijawahi kusikia mkoloni aliyesapoti elimu kwa Waislamu wa hapa kwetu.
 
CD aliamuru hosipitali ya wilaya ya Mwanga kujengwa kijijini kwake Usangi. Usijitoe ufahamu.
cleopa msuya ni mzaliwa wa chomvu, na wala siyo wa ukoo wa wasangi. zaidi usangi ni sehemu ya wilaya ya mwanga. hoja yako ingekuwa na msingi kama mwanga na usangi zingekuwa ktk wilaya tofauti.
 
Nani akaishi huko kwenye ukungu na umande kama nyani. Huko panawafaa nyie tu.
Huko ndio hali ya hewa swafi Kama ulaya,umeona jinsi watu wanavyoporomosha mijengo ya kifahari migombani? Ulitaka kuwe jangwani na vijumba vya tembe Kama kule kwenu MEATU?
 
Kwa sababu aliwapendelea wachagga na kuwaonea wasukuma ndio maana unasema alikuwa mzuri
Aliwaonea kwa Lipi? Mnazaliana kwa wingi na kuchunga mbuz shule hamuendi mlitaka mpate fursa gani? Mtoto wa kike huko usukumani ni kama kitega uchumi mnategemea kumuozesha mpate ng'ombe rubbish kabisa kwa mindset hizo mtamlaumu Nani?
Mbna hadi sasa hv mikoa maskini kwa mujibu wa ripoti Ni ya huko huko kwenu?
 
Wabaguzi sana na Ikulu hawataingia kamwe
Kwan tumekwambia tuna shida na ikulu? Mbna nyie mikoa yenu ndio inaongoza kwa ufukara? Tumia common sense
Mikoa yenye maendeleo kwa watu wake ktk mikoa kumi ya kaskazn imo yote isipokuwa Tanga
Mikoa kumi maskini karibu 70% Ni ya huko kwenu
Chukueni hatua za kupunguza umaskini wenu hasa kupunguza kuzaliana ikulu haiwez kuwapunguzia umaskini ohoooo
 
Kaskazini ni mafukara tu. Unawezaje kuwa tajiri wakati unamiliki robo eka ya mchai chai ? Hauko serious. Sasa kama mlishaendelea kelele za nini ?
Hiyo ripioti ni ya mwaka gani ? Usikariri.
1-Hii ripoti Ni currently ya mwaka unaoishia June 2021
2-utajiri hausiani na kumiliki robo eka wala ekari kumi, kwani kitega uchumi lazma kiwe ardhi? Hivi umesoma Hadi level gan wewe?
3-hali ya maisha hupimwa kwa vigezo kadhaa mfano makazi bora, miundombinu,upatikanaji wa huduma za kijamii,shughuli za uzalishaji nk kwa Kilimanjaro vitu vyote hivyo Ni 90%, Kilimanjaro huduma Kama shule,hospital Ni zaidi ya 120% vijijin Kuna Hadi supermarket,bank hii inaonyesha mzunguko mkubwa wa fedha
Kwahyo ripoti ya serikali kuwa wananchi wa Kilimanjaro Wana maisha Bora kwa 90% Ni sahihi
 
Umefika upareni wewe huko gonja mawole kivukoni n.k. uone miundombinu iliyoko ? Huko watu wana shida na wewe unajidanganya eti Kilimanjaro ina miundombinu mizuri. Kamkoa kenyewe kadogo lakini kelele kibao. Kwa awamu hii kuna baadhi mtajinyonga kwa uchungu.
Kimkoa kidogo lakini kinakuburuza kila idara huoni aibu? Hushangai kamkoa kadogo lkn ndio kanaongoza tz nzima kwa shule nyingi? Ka pili watu wake kuishi maisha Bora kwa 90%?
2-hiyo gonja maore unayosema Ni asilimia ngapi ya Kilimanjaro yote? Ndio maana wamesema 90% na sio 100% kwahyo hiyo gonja maore,kivukoni nk zipo ndani ya 10% iliyobaki kufika 100% upo?
 
cleopa msuya ni mzaliwa wa chomvu, na wala siyo wa ukoo wa wasangi. zaidi usangi ni sehemu ya wilaya ya mwanga. hoja yako ingekuwa na msingi kama mwanga na usangi zingekuwa ktk wilaya tofauti.
Hajui lolote huyu mchunga mbuzi wa meatu msamehe tu
 
Hata wakibwata haiwasaidii. Wakija kwenye sanduku la kura wanapigwa tu.
Mtapiga kelele nyie mikoa maskini [emoji1][emoji1] sisi Kuna kipi kipya ambacho hakipo Kilimanjaro? Mashule,ma barabara,ma airport ya kimataifa nk blessed Kilimanjaro
 
Hivi humu si ndio kuna mada lukuki za watu kujidai eti mkoa wetu wa KILIMANJARO unaongoza kwa lami nyingi mpaka vijijini, umeme mpaka kwenye migombani. Na mikoa mingine ikidhihakiwa kwamba ni hohehae.

Sasa tunaanza kulia lia nini wkt Serikali inapambania kuweka usawa wa maendeleo kwa mikoa na maeneo mengne yaliyosahaulika ktk nchi hii?

Tuvumiliane tu, mbio za vijiti ni kupokezana.
Inaonekana wazi hata hujui mada inazungumzia nini, ingawa najua unajifanya wewe ni mjuaji!
 
Kwan hospital ya wilaya Ina tatizo gani?.
Kwani usangi haipo mwanga au
Eleza ni rais gani ametokea Kilimanjaro katika awamu zote zilizopita.
Usitake kupindisha mada ili kukidhi matakwa yako tu na kusahau kwamba wanaokusoma wana ufahamu zaidi ya ulio nao wewe.
 
Kuna mambo mengine tukubali,kuna sehemu zilikuwa nyuma
lazima hatua za kimakusudi zichukuliwe ili nao wajione wapo tanzania/zilisahaulika.
Ninachoamini ni kuwa hakuna barabara yenye lami inawekewa lami juu ya lami kisa ipo ukanda wa kiongozi fulani.
wala sehemu zenye miundombinu ya maji au umeme kuongezewa maboresho wakati kwingine hakuna miundombinu hiyo.
Tujifunze kuvumiliana tunapoona sehemu nyingine zinapigishwa hatua angalau kuelekea tulipo sisi tusijisikie vibaya.
Tanzania ni yetu sote tujitahidi kugawana kilichopo kwa usawa.
Ni kweli mkuu, maendeleo azima yawe kila sehemu.
Lakini ukiona unapigishwa mark time na huku sehemu kubwa ya pato lako linaenda kwa mtawala utajisikiaje?
Nimetoa mfano wa barabra ya Igawa -Mbeya, na ile ya kukatisha Jiji la Mbeya, wakati Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi na sasa Rais.
Barabara zinaeta ajai kila kukicha na ni barabara muhimu kwend nchi za jirani.
Pale Mbalizi sasa hivi barabara ni One-Way.
One way ya kuelekea na kutoka nchi jirani!!!!!

Hakuna anyepinga kujengwa daraja la Busisi, tena kwa gaharama za kufa mtu.
Lakini tunajiuliza , mizania iko wapi?
 
Ni kweli mkuu, maendeleo azima yawe kila sehemu.
Lakini ukiona unapigishwa mark time na huku sehemu kubwa ya pato lako linaenda kwa mtawala utajisikiaje?
Nimetoa mfano wa barabra ya Igawa -Mbeya, na ile ya kukatisha Jiji la Mbeya, wakati Magufuli akiwa waziri wa Ujenzi na sasa Rais.
Barabara zinaeta ajai kila kukicha na ni barabara muhimu kwend nchi za jirani.
Pale Mbalizi sasa hivi barabara ni One-Way.
One way ya kuelekea na kutoka nchi jirani!!!!!

Hakuna anyepinga kujengwa daraja la Busisi, tena kwa gaharama za kufa mtu.
Lakini tunajiuliza , mizania iko wapi?
Umenena mkuu.
 
Haya mmesoma, kwa hiyo ?
wewe ulitaka mtudhalilishe kuwa tumependelewa na sisi tukae kimya tu. maendeleo kwa kilimanjaro / upare yametokana na juhudi za wananchi wenyewe. hatukuwahi kupendelewa na mkoloni, na hatukupendelewa na serikali baada ya uhuru. kama unadai tumesoma hiyo ni kutokana na juhudi zetu, ndiyo maana nikakwambia Pare Muslim Association ilikuwa na shule 20+ wakati tunapata uhuru. sasa mimi sijawahi kusikia mkoloni aliyesapoti elimu kwa Waislamu wa hapa kwetu.
 
Utaendaje kujenga hospital ya wilaya kijijni ukaacha Makao Makuu ya Wilaya ?
cleopa msuya ni mzaliwa wa chomvu, na wala siyo wa ukoo wa wasangi. zaidi usangi ni sehemu ya wilaya ya mwanga. hoja yako ingekuwa na msingi kama mwanga na usangi zingekuwa ktk wilaya tofauti.
 
Back
Top Bottom