Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.

Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.

Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana hasa za kizazi cha leo,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.

Jidanganye kuolewa na mtu ambaye mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.

Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga,utahira,uzezeta na uzwazwa wa wazazi.

Ni hayo tu.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.

Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.

Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.

Jidanganye kuolewa na mtu mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.

Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga wa wazazi.

Ni hayo tu.
Hii ni kweli kabsa mtoto wa nyoka ni nyoka.
 
Wewe mtoa maada ukijiangalia upo upande gani kati hizo ulizitaja???.
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.

Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.

Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.

Jidanganye kuolewa na mtu mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.

Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga wa wazazi.

Ni hayo tu.
Wewe mtoa maada ukijiangalia upo upande gani kati hizo ulizitaja???.
 
Tako liheshimiwe bhana. Msingi wa familia ni baba. Baba akifeli, familia imefeli. Siwezi kuacha kuchagua mwanamke Mwenye shape nzuri kisa naogopa atanizalia wajinga. We live once so we must enjoy life effectively
Hahahah tutafika tu🤣
 
haujawahi kuona mtoto ametoka kwenye familia ya kistaarabu kabisa halafu anakua wa hovyo??

jinsi mtoto atakavyokua iko nje ya uwezo wa mzazi.

huu ndo ukweli.
Ukimtamani mke wa mtu umeshazini nae ata kama haujashiriki lakini una chembechembe za nia ovu ndani yako ata kama haijajitokeza ,unaweza kusema familia ni ya kistaarabu ila ina kiini cha uovu , sema tu ile tabia itakuja kujimanifest baadae kizazi kingne.
 
Back
Top Bottom