YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Muhindi ndio kila kitu
Wizo hana kakaye aniweke na mie kwa kuch kuch otahe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhindi ndio kila kitu
Hahahah utaweza kula pili pili lakiniWizo hana kakaye aniweke na mie kwa kuch kuch otahe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah utaweza kula pili pili lakini
Babu weeeeh tatizo ni CCM wala si matako makubwaNsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.
Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.
Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana hasa za kizazi cha leo,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.
Jidanganye kuolewa na mtu ambaye mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.
Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga,utahira,uzezeta na uzwazwa wa wazazi.
Ni hayo tu.
Labda kama Huyo ni Kaini wa Familiahaujawahi kuona mtoto ametoka kwenye familia ya kistaarabu kabisa halafu anakua wa hovyo??
jinsi mtoto atakavyokua iko nje ya uwezo wa mzazi.
huu ndo ukweli.
Fact📌 sanaNsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.
Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.
Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana hasa za kizazi cha leo,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.
Jidanganye kuolewa na mtu ambaye mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.
Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga,utahira,uzezeta na uzwazwa wa wazazi.
Ni hayo tu.
Fact📌 sanaNsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.
Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.
Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.
Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana hasa za kizazi cha leo,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.
Jidanganye kuolewa na mtu ambaye mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.
Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga,utahira,uzezeta na uzwazwa wa wazazi.
Ni hayo tu.