Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

Mkuu so nawewe umeji include!? maana ulimuelewa Rehema siku ya kwanza tu kumuona pale sokoni buguruni kisa ana TAKO! na kwa maelezo yako ndiye wifi yetu hadi leo na mmezaa ila ulituambia ana sura personal but TAKO lilimbeba🙄🙄🤗
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna weusi, afu kuna weusi tii!!
Hao ndio hapana km Wassira unamkiss vipi?? Sura imeshuka km kamwagiwa uji uliopoa
Khaaa! Ila ni sahii lazima uwenamtu unayemfurahia
 
Taifa limekua na makasiriko,Tulikubaliana chagua Mwenye TAKO akili atatumia zako 😅
 
Walio anzisha elimu walikua na akili , elimu haiongezi akili kamwe ila akili inaongeza elimu.
Sio kweli

Mbona wewe hukuzaliwa unajua kusoma na kuandika? Si ungezaliwa tu kama una akili za kuzaliwa baada tu ya kuzaliwa ungekuwa tayari unajua kuendesha,gari ,ndege na treni na udaktari na ujenzi wa majengo na barabara nk mbona lazima uende shule kwa nini huzaliwi tu ukiwa tayari mtaalamu

Akili huwa developed .Tofauti ya wazungu na sisi waafrika wote huzaliwa tukiwa uchi na brain zetu.zikiwa zero point mbona wazungu kutwa hugundua vitu vipya sisi kutwa kusomeshwa walivyogundua? Sababu kubwa ni kuwa wao elimu yao ina develop akili zao to higher level kuzikuza sisi tumekalia tu ushirikina na majungu tu

Bara zima la Afrika kama akili ni Inborn tumegundua nini kinachofahamika duniani na kinachosaidia dunia nzima lama akili ni kitu cha kuzaliwa tu kisichohitaji kuwa developed ? Taja kimoja tu

Kusema kuna akili ya kuzaliwa mmmmm
 
mzazi unapenda kwa mparange unazani utazaa kizazi cha namna gani kama sio cha matahira?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo chacha
Kifutu ni Nyoka Mpole sana, ila akichokozwa akiamua Kukung'ata jua ni mawili Ujeruhiwe vibaya au Akuue kabisa kwa Sumu yake Kali isiyokuwa na Dawa nyepesi na ya haraka ya Kutibu / Kukutibu na huyo ndiyo Mimi GENTAMIYCINE.
 
Sio kweli

Mbona wewe hukuzaliwa unajua kusoma na kuandika? Si ungezaliwa tu kama una akili za kuzaliwa baada tu ya kuzaliwa ungekuwa tayari unajua kuendesha,gari ,ndege na treni na udaktari na ujenzi wa majengo na barabara nk mbona lazima uende shule kwa nini huzaliwi tu ukiwa tayari mtaalamu

Akili huwa developed .Tofauti ya wazungu na sisi waafrika wote huzaliwa tukiwa uchi na brain zetu.zikiwa zero point mbona wazungu kutwa hugundua vitu vipya sisi kutwa kusomeshwa walivyogundua? Sababu kubwa ni kuwa wao elimu yao ina develop akili zao to higher level kuzikuza sisi tumekalia tu ushirikina na majungu tu

Bara zima la Afrika kama akili ni Inborn tumegundua nini kinachofahamika duniani na kinachosaidia dunia nzima lama akili ni kitu cha kuzaliwa tu kisichohitaji kuwa developed ? Taja kimoja tu

Kusema kuna akili ya kuzaliwa mmmmm
Akili tunazo ila tumeacha kuzitumia tunategemea kutumia za wengne , elimu inaongeza maarifa na sio akili , elimu sio lazima uipate shuleni tu , elimu unaipata ata kwenye mazingira yako ila ili uweze kutumia hayo maarifa uliyoyapata lazima uwe na akili , alafu kusoma na kuandika sio akili unaweza usijue kosoma na kuandika ila ukawa na akili , akili inabudi ujuzi , wenye maarifa wanauchukua ule ujuzi wanauweka kwenye kumbukumbu za kimaandishi unakuja tumika kama muuongozo, africa tulifua chuma kwa kutumia akili bila kujua kusoma wala kuandika , tulikosa umoja tu ndio maana tukatengwa na kuacha vya kwetu na kufuata vyao.
 
Kifutu ni Nyoka Mpole sana, ila akichokozwa akiamua Kukung'ata jua ni mawili Ujeruhiwe vibaya au Akuue kabisa kwa Sumu yake Kali isiyokuwa na Dawa nyepesi na ya haraka ya Kutibu / Kukutibu na huyo ndiyo Mimi GENTAMIYCINE.

Sawa sawa kifutu, tupe ladha weekend ichangamke ndio imeanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akili tunazo ila tumeacha kuzitumia tunategemea kutumia za wengne , elimu inaongeza maarifa na sio akili , elimu sio lazima uipate shuleni tu , elimu unaipata ata kwenye mazingira yako ila ili uweze kutumia hayo maarifa uliyoyapata lazima uwe na akili , alafu kusoma na kuandika sio akili unaweza usijue kosoma na kuandika ila ukawa na akili , akili inabudi ujuzi , wenye maarifa wanauchukua ule ujuzi wanauweka kwenye kumbukumbu za kimaandishi unakuja tumika kama muuongozo, africa tulifua chuma kwa kutumia akili bila kujua kusoma wala kuandika , tulikosa umoja tu ndio maana tukatengwa na kuacha vya kwetu na kufuata vyao.
Unaleta kwenye theory fikirika za how Europe undeveloped Africa mbona wao wazungu walianza kama wahunzi.kama sisi mbona walidevelop to higher technology

Sisi uhunzi wetu tulikuwa tunatengeneza vitu vya kibwege wakati wazungu wahunzi wakitengeneza silaha za kijeshi bunduki na risasi za chuma kuja kuvamia Africa na kututawala

Tulikosa priority kipi.kiwe kipi na ndio tatizo la Africa hadi leo hatujielewi vipau.mbele vyetu nini na tunataka nini tunadandia kila penye hela akisema mwenye hela kipau mbele watoto wenye mimba warudi shule.mbio.tunatimka na kusema hiki kipau mbele watoto waoata mimba wakiwa shule warudi shule baada ya kujifungua hopeless kabisa.Loooo
 
Naunga mkono hoja.

Walimu failures, wazazi failures, tutegemee nini zaidi?


Mimi nasema, ili kufuta tatizo la ujinga, sasa waajiriwe Walimu wenye GPA za juu tu. Kuanzia chekechea mpaka kupanda juu huko.
 
Unaleta kwenye theory fikirika za how Europe undeveloped Africa mbona wao wazungu walianza kama wahunzi.kama sisi mbona walidevelop to higher technology

Sisi uhunzi wetu tulikuwa tunatengeneza vitu vya kibwege wakati wazungu wahunzi wakitengeneza silaha za kijeshi bunduki na risasi za chuma kuja kuvamia Africa na kututawala

Tulikosa priority kipi.kiwe kipi na ndio tatizo la Africa hadi leo hatujielewi vipau.mbele vyetu nini na tunataka nini tunadandia kila penye hela akisema mwenye hela kipau mbele watoto wenye mimba warudi shule.mbio.tunatimka na kusema hiki kipau mbele watoto waoata mimba wakiwa shule warudi shule baada ya kujifungua hopeless kabisa.Loooo
Walidevelop kwenye kona yao ya tafsiri ya maendeleo ata sisi tungeendelea kwenye kona yetu ya tafsiri ya maendeleo, tulikubali kuamini vya kwao na kuacha vya kwetu , angalia dunaia nzima nan kaacha mpka imani yake kama sio sisi tu.
 
Akili tunazo ila tumeacha kuzitumia tunategemea kutumia za wengne , elimu inaongeza maarifa na sio akili , elimu sio lazima uipate shuleni tu , elimu unaipata ata kwenye mazingira yako ila ili uweze kutumia hayo maarifa uliyoyapata lazima uwe na akili , alafu kusoma na kuandika sio akili unaweza usijue kosoma na kuandika ila ukawa na akili , akili inabudi ujuzi , wenye maarifa wanauchukua ule ujuzi wanauweka kwenye kumbukumbu za kimaandishi unakuja tumika kama muuongozo, africa tulifua chuma kwa kutumia akili bila kujua kusoma wala kuandika , tulikosa umoja tu ndio maana tukatengwa na kuacha vya kwetu na kufuata vyao.
Kiufupi elimu ni mawazo ya watu walio tumia akili zao kufanya mambo mbalimbali kama ya kisayanisi,siasa,uchumi na kijamii na wasivyo wachiyo wakayaweka katika maandishi nasi tunayapitia na kuyaongezea baada ya kuyatafakari katika akili zetu

Ata wazee wetu wangetuwekea mambo yetu kikamilifu yatiba,ujenzi,vita, utengenezaji silaha na vifaa vingine pamoja na kilimo na ufugaji tungekuwa tunayaendeleza tena kwamisingi yetu ya kiafrika lakini imekua wandoto[emoji26]
 
Naunga mkono hoja.

Walimu failures, wazazi failures, tutegemee nini zaidi?


Mimi nasema, ili kufuta tatizo la ujinga, sasa waajiriwe Walimu wenye GPA za juu tu. Kuanzia chekechea mpaka kupanda juu huko.
Hata walimu wajao pia watakuwa na mapungufu baadhi sababu wameandaliwa na walimu hawahawa wanaolalmikiwa

Kiufupi tusiifanye elimu kuwa biashara kama zilivyo biashara nyingine tuache mazoea
 
Back
Top Bottom