Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

You are absolutely right!!!!!!!

Katika kitu ambacho huwa nawaambia watu wangu wa karibu ni hicho....
Tembea na watu hovyo kadri utakavyo, hata ukitaka kuoa/olewa tu ilimradi utajijua mwenyewe, ila kwa faida ya afya ya akili yako, na kwa faida ya kizazi chako, kua muangalifu sana na mwanamke/mwanaume utakae zaa nae.

Ukizingua kwenye hilo unakua umevuruga maisha ya watu wengi sana maana haitoku-affect wewe ama mwanao tu, bali pia jamii na watu wengine wengi wanaowazunguka.
 
Ukimtamani mke wa mtu umeshazini nae ata kama haujashiriki lakini una chembechembe za nia ovu ndani yako ata kama haijajitokeza ,unaweza kusema familia ni ya kistaarabu ila ina kiini cha uovu , sema tu ile tabia itakuja kujimanifest baadae kizazi kingne.
navosema ya kistaarabu namaanisha iliyokamilika, yaani kuna maadili.

mtoto muda wake mwingi hata hautumii na wazazi, kuna mambo ya shule n.k

wazazi wanafanya tu kutoa maelekezo ya hapa na pale, ila mtoto vitu vingi sana anjifunza duniani.
 
navosema ya kistaarabu namaanisha iliyokamilika, yaani kuna maadili.

mtoto muda wake mwingi hata hautumii na wazazi, kuna mambo ya shule n.k

wazazi wanafanya tu kutoa maelekezo ya hapa na pale, ila mtoto vitu vingi sana anjifunza duniani.
Ata kama atajifunza duniani ila kuna ule utashi wa kuchambua hayo anayojifunza , ule utashi unatoka kwenye vina saba japo kwa uchache mazingira yana adhiri,ila ile essence ya ndani inabaki strong.
 
Ata kama atajifunza duniani ila kuna ule utashi wa kuchambua hayo anayojifunza , ule utashi unatoka kwenye vina saba japo kwa uchache mazingira yana adhiri,ila ile essence ya ndani inabaki strong.
sawa kuna tabia watoto wanarithi, ila hio haihakikishi mtoto atakua mwema. mambo ni mengi mkuu hakuna mtu ni copy 100% ya mzazi wake.
 
Kabsa kwa sababu kuundwa kwa mtoto kunategemea vina saba vya mpka kizazi cha kale zaidi cha pande zote mbili mke na mume.
simaanishi hivyošŸ˜‚ namaanisha mazingira ndio yana mchango mkubwa.

kukua kwa mtoto imekaa isaikolojia sana, kuna vitu vidogo watu wanapuuzia ila vina mchango mkubwa....

mfano; muonekano wa mtotošŸ˜‚ sura na jinsi alivyo, inachangia jinsi watu watakavokua wanamchukulia, na hii itapelekea yeye kujiamini au kujichukia
 
You are absolutely right!!!!!!!

Katika kitu ambacho huwa nawaambia watu wangu wa karibu ni hicho....
Tembea na watu hovyo kadri utakavyo, hata ukitaka kuoa/olewa tu ilimradi utajijua mwenyewe, ila kwa faida ya afya ya akili yako, na kwa faida ya kizazi chako, kua muangalifu sana na mwanamke/mwanaume utakae zaa nae.

Ukizingua kwenye hilo unakua umevuruga maisha ya watu wengi sana maana haitoku-affect wewe ama mwanao tu, bali pia jamii na watu wengine wengi wanaowazunguka.
Hahahah itatuaffect jamii nzima🤣
 
simaanishi hivyo[emoji23] namaanisha mazingira ndio yana mchango mkubwa.

kukua kwa mtoto imekaa isaikolojia sana, kuna vitu vidogo watu wanapuuzia ila vina mchango mkubwa....

mfano; muonekano wa mtoto[emoji23] sura na jinsi alivyo, inachangia jinsi watu watakavokua wanamchukulia, na hii itapelekea yeye kujiamini au kujichukia
Mazingira ni sawa mkuu ila ata vina saba ni sawa pia , hii ya mwonekano au sura ni kwel watu wenye mwonekano mzuri zaid na wale wenye mbaya zaidi wanafanikiwa sna japo wale wabaya zaidi wengi hawajatambua nguvu hii.
 
Mazingira ni sawa mkuu ila ata vina saba ni sawa pia , hii ya mwonekano au sura ni kwel watu wenye mwonekano mzuri zaid na wale wenye mbaya zaidi wanafanikiwa sna japo wale wabaya zaidi wengi hawajatambua nguvu hii.
hapo sawa mkuu sasa tunaelewanašŸ˜‚
 
inaitwa laana ya ukoo.
kuna koo zina laana ya ufukara. ukioa/kuolewa na mtu anayetokea familia ya aina hiyo, hata upambane vipi, hutoki kimaisha, utaishia kupata ya from hand to mouth. na hata mkizaa watoto, ustawi wao wa kiafya, elimu na kimaisha unakuwa na mitihani sana.
 
hapo sawa mkuu sasa tunaelewana[emoji23]
Ni kweli kabsa mazingira yanachangia tabia za maisha ya mtoto ila vina saba vinaunda tabia za kimaumbile mfano baba alikua anatabia ya kung'ata ulimi akikasirika ,kuna watoto watarithi , kukuja miguu akikaa ,kukunja ndita na nk.
 
Ni kweli kabsa mazingira yanachangia tabia za maisha ya mtoto ila vina saba vinaunda tabia za kimaumbile mfano baba alikua anatabia ya kung'ata ulimi akikasirika ,kuna watoto watarithi , kukuja miguu akikaa ,kukunja ndita na nk.
sasa hivo ni vitu vidogošŸ˜‚

kukunja ndita kunamsaidia mtu kufanikiwa kimaisha??
 
Back
Top Bottom