Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

Kuongezeka kwa watu wajinga katika taifa ni matokeo ya kuzaa na mwanamke/mwanaume mjinga

Tako liheshimiwe bhana. Msingi wa familia ni baba. Baba akifeli, familia imefeli. Siwezi kuacha kuchagua mwanamke Mwenye shape nzuri kisa naogopa atanizalia wajinga. We live once so we must enjoy life effectively

NAKAZIA [emoji419][emoji375] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.

Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.

Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.

Jidanganye kuolewa na mtu mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.

Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga wa wazazi.

Ni hayo tu.
Penaaati!.
Screenshot_20230622-113411.jpg
 
Elimu inakuongezea maarifa, mengine ni utashi wako binafsi
Kabisa maarifa ya kuishi kwenye mazingira yako kwa experience za watu wengne walio kutangulia kufikiri kwa akili .
 
Tangia niachane na Mama yako umekuwa na Chuki sana nami. Mwambie Mwanaume siko peke yangu Safari hii aende kwa Wengine watampa tu Ushirikiano wao sawa?

Idiot.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo chacha
 
Kwahiyo ulitaka watu wajinga wasiwe wanapata watoto? Ili taifa lisiwe na watu wajinga?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.

Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.

Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.

Jidanganye kuolewa na mtu mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.

Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga wa wazazi.

Ni hayo tu.
Moja ya tafiti za hovyo zilizowahi fanywa na wasomi wa siku hizi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh

Sitaki kukaa na vitoto vibaya vyeusi tii km usiku wa balaa, kisa baba yao ana akili ebooh!!

Dunia yenyewe tunapita hakuna kuishi milele
Nitese nafsi yangu ya nini?!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.

Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.

Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.

Jidanganye kuolewa na mtu mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.

Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga wa wazazi.

Ni hayo tu.
Point

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Sitaki kukaa na vitoto vibaya vyeusi tii km usiku wa balaa, kisa baba yao ana akili ebooh!!

Dunia yenyewe tunapita hakuna kuishi milele
Nitese nafsi yangu ya nini?!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa hiyo Sisi wenye Sura ya Kazi hututaki, Acha ubaguzi mrembo. Tutakupa majumba na magari
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!.


Ukweli uko hivyo na kama unadhani nakutania wewe zaa na mwanamke/mwanaume mjinga halafu matokeo utakuja kuyaona kwenye kizazi chako.

Nyinyi nyote ni mashaidi,ukiona kuna familia watoto wao wamepiga hatua za kiakili na kimaendeleo basi wachunguze wazazi wao utagundua walikuwa ni wazazi wenye akili,wanaojiheshimu na wanaojitambua.

Tamaa ya kuoa wanawake wenye makalio makubwa imezigharimu familia nyingi sana hasa za kizazi cha leo,kwa bahati mbaya ulikimbilia kuoa matako makubwa bila kuchunguza akili ya mwenzako na baadae ndipo ukagundua ukweli na ukawa umechelewa tayari.

Jidanganye kuolewa na mtu ambaye mmekutana tu huko viwanja vya starehe akakujali kwa muda ukadhani huyo ndiye mume sahihi,ukiingia tu kwenye ndoa au akikupa mimba ndipo utagundua umezaa na tahira,kibaya zaidi utakuwa umechelewa!.

Hakikisheni kabla ya kuoa na kuolewa unamjua kwa undani zaidi huyo unayependana nae ili isije kugharimu kizazi chako na Taifa kwa ujumla.Taifa linapitia mambo ya ovyo kutoka kwa vijana kwasababu ya ujinga,utahira,uzezeta na uzwazwa wa wazazi.

Ni hayo tu.
Uko sahihi kabisa ila nao Kuna mahala Wana fit
 
Sitaki kukaa na vitoto vibaya vyeusi tii km usiku wa balaa, kisa baba yao ana akili ebooh!!

Dunia yenyewe tunapita hakuna kuishi milele
Nitese nafsi yangu ya nini?!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daaah![emoji1787][emoji23] Ko tuanze kutumia kitaulo
 
Kwa hiyo Sisi wenye Sura ya Kazi hututaki, Acha ubaguzi mrembo. Tutakupa majumba na magari

Akhu!!! Bwana akiongea sauti km radi, guu kubwa, refu km giant niishi nalo kisa lina akili?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapaanaaa kwa kweli
 
Daaah![emoji1787][emoji23] Ko tuanze kutumia kitaulo

[emoji23][emoji23][emoji23] kuna weusi, afu kuna weusi tii!!
Hao ndio hapana km Wassira unamkiss vipi?? Sura imeshuka km kamwagiwa uji uliopoa
 
Back
Top Bottom